12.07.2015 Views

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

10Upande wa mali ya asili na rasilimali: ningependelea kuwe kuna sheria ya watu wasiruhusiwe kusafirisha vitu vya mali ya asilikama antiques zipelekwe nje. Pia kuwe na sheria vile vitu ambavyo viko nje viregeshwe Kenya kwa sababu penginewamevichukua kwa dhuluma na pengine vitu vile hazipatikani tena Kenya.Upande wa mikoko: kuna miji mingine hapa ambao watu wanategemea mikoko ndio rasimali yao. Pia tungependelea mikokoiwe preserved. Hatutaki kuwa, tuseme ikatwe yote lakini pengine wangeshauriwa watu ikatwe upande moja na upande mojamikoko iendelee, kwa sababu wale watu ndio uchumi wao kupata maisha.Upande wa uvuvi: ningependelea serikali kuwa wawape ujuzi zaidi wavuvi wapate ujuzi wa kuvua samaki zaidi. Pia wasiwekevikwazo vingi kama hizo nets, pengine, nets number kumi ama ngapi. Serikali isitoe license ama ruhusa kwa meli hizi za Chinatrollers zije zivue samaki ambao watu wa hapa hapa watapata taabu.Upande wa wakulima, hapa tuna makao mengi kama simsim, makopa, na kwa bahati mbaya hatuna soko. Kwa hivyotungependelea pia bidhaa zetu ziuzwe tupate soko na tupate faida zaidi.Pia hizi rasilimali zetu ambazo zinatoka kwetu, tunataka 80% zifaidishe watu wa pale pale kuliko ifaidishe serikali. Bunge liwelitasimamia hukusanyaji wa pesa hii, na hiyo African cake ikija zote na sisi tupate sawa sawa kama wale watu wengine.Kuwe na tume ya huduma kuondoa ufisadi iangalie kama ufisadi umemalizika ama bado.Uchaguzi: Kuwe na utaratibu wa uchaguzi mzuri. Ikiwa kura ni tano wanawake wapewe angalai kura tatu na wanaume kurambili, wasiwekwe nyuma wanawake. Kusiwe na idadi ya watu kama percentage fulani kuambiwa kuwa mtu ndio atachaguliwaawe Mbunge na rais, hiyo iondoshwe.Kwa madiwani pia, tusiwe na percentage fulani, kwa sababu minority, wale watu wadogo wanapata taabu na wameonewa. Piasio lazima madiwani wawe na elimu kubwa sana, muhimu ni kuwa wakilishi wazuri, si lazima wawe wamesoma sana, borawawe wanajua kusoma na kuandika.Kuwe na waakilisha zaidi, mfano kama hapa Lamu, tunao Lamu East na Lamu West. Tungependelea pia ikiwa tutakuwa naLamu Central ipate kuakilishwa zaidi na kuwafikishia watu zaidi.Pia tungependelea kuwa tarehe ya uchaguzi itiwe kwenye Katiba na Rais achaguliwe moja kwa moja na wananchi na akishakuapishwa wakati ule ule rais aanze kazi yake. Rais awe na miaka arobaini na awe na degree. Majukumu ya rais yatiwekwenye katiba watu wajue kazi yake ni nini.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!