12.07.2015 Views

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

50Com. Mosonik : Nikuulize swali – wewe ukasema tuwe na uongozi wa pwani, na Rais wa Bara. Ulikuwa unamaanisha nini?Councillor Kicheko : Nilikuwa namaanishaa tuwe na serikali ya majimbo. Tuwe na serikali yetu na serikali ya Bara. Kuanziahuko Taita Taveta kuja huku, ndio tuwe na President, mbunge na councillors wetu, na kule Bara wawe na MPs wao, kamaTanzania bara na Zanzibar.Com. Mosonik : Kwa hivyo hatutakuwa na Rais upande huu?Councillor Kicheko : Upande huu tutakuwa na Rais wetu. Na watu wa Bara watakuwa na President wao. Kama TanzaniaBara na Zanzibar.Com. Mosonik : Kuna President wa Pwani ?Councillor Kicheko: Yes, kama kuna President Zanzibar?Com. Mosonik : Yes.Councillor Kicheko: President ni mainland, kama ni main land kuna --- Kwa hivyo ndio tunasema sisi kila mahali tuwe naPresident wake na ma-Vice wake.(inaudible)Com. Mosonik : Na sasa umetaka shauri kwamba hawatakuwa na majimbo yao, wako inchi moja? Kuhusu jimbo na hatawengine wawe na majimbo yao. Je unataka kuwaunganisha?Councillow Kicheko: Yaani nataka tuwe na jimbo ili tujiongoze sisi wenyewe, na watu wa Bara wawe na jimbo lao.Com. Mosonik : Kwa hivyo majimbo yatatoka mawili.? Na sasa tutasikia kutoka kwa Walladhu Muhaji. Unataka kusematuwe na jimbo hapa na watu wa bara watengeze jimbo laovile wataona? Ndiyo hivyo?Councillor Walladhu Muhaji: Jina langu ni Councillor Walladhu Muhaji wa Tchundwa location na ninaakilisha chama chaSafina Party. Langu ni kuwashukuru sana kutupatia wakati kama huu. Katika maoni yangu nimegawa sehemu kumi na moja(inaudible). Kwa hivyo ningewomba tusikilize kwa utulivu kwa sababu wakati niko nao bila haraka yoyote.Kwanza matibabu na elimu – Serikali ina jukumu itoe elimu na matibabu ya bure kwa wananchi wote, hasa makiba madogomadogo na yaliyo masikini.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!