12.07.2015 Views

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

46Mashirika ya serikali ambayo yaundwa na watu binafsi ikiwa ni kuundwa, pia wakaazi wapewe nafasi ya kwanza, wa eneo hilo,lenye mali ya asiliMaafisa wote wanaoenda kinyume na maadili ya ufanyaji kazi na matumishi ya pesa, mali ya umma, na huduma za umma,katika jamii washtakiwe.(inaudible) Fedha au mali yaliyopotezwa yarudishwe.Tume ya maendeleo ya kitaifa – ifikirie kusambaza huduma za maendeleo kila wilaya na sehemu za kuakilishi Bungeni.Na kitu kingine kile kiliungwa na watu wa Pate Location, ni muundo wa utaratibu wa uchaguzi: katika uchaguzi mwenye kuranyingi zaidi sanandiye mshindi lakini awe amepita kwa asili mia hamsini (50%). Iwapo kiwango hakikufikiwa kwa asili miahamsini (50%), uwe na duru la pili kwa mshindi wa kwanza na wapili.Three, Walemavu na akina mama wawe na viti maalumu katika uwakilishi Bungeni.Katika kugusa uchumi wa nchi na maendeleo katika nchi:Kuguza kwingine kulikuwa ni kuhusu haki za kimsingi: Serikali iwe na jukumu la kuhakikisha, na kuudumisha haki za kimsingizote. Two, elimu iwe ya bure hasa elimu ya msingi kutoka darasa la kwanza mpaka la nane. Three, uhai wa raia ulindwe na kuheshimawa . Four, huduma za majadiliano katika Bunge: Inapoendelea iwasilishwe kwa wananchi moja kwa moja kupitaRadio kama vile Tanzania wanafanya.Tuseme, mwisho ni kuhusu Bunge: Ili Katiba ya Kenya iweze kufanyiwa mabadiliko ni lazima iungwe mkono na asili miathemanini ya wabunge, badala ya asili mia sitini na tano. Ikiwa maoni ya watu wengi yatachukuliwa kurekebisha Katiba,.kishaigeuzwe na wabunge wapatao asili mia sitini na tano, idadi hii itakuwa ni ndogo sana. Two, umri wa kugombea kiti cha Bungeuwe ni kuanzia miaka ishirini na tano badala ya miaka ishirini na moja. Maana ukaona kutoka miaka kumi na nane mtu huwa naakili ya kitoto, lakini akiwa na miaka ishirini na mitano akili wenda kuanza kukomaa. Three, wananchi wawe na nafasi yakumregesha nyumbani, mbunge wao kwa kupigia kura ya kutokuwa na imani naye. Ikiwa mbuge hategemezi wajibu wake kwawatu waliomchagua,kura ya kutokuwa na imani iwe baada ya miaka miwili. Baada ya kwenda bunge itakuwa na hatekeleziwajibu wake anapotea potea,haonekani, kama yule mwenzangu alivyosema, huwa mtu anachaguliwa kisha anaenda kuishi kamaNairobi au Mombasa na wale wananchi walimchagua hawamuoni na wana taabu, mtu kama huyo baada ya miaka miwiliapigiwe kura ya kutokua na imani. Shukrani.Com. Mosonik: Kuna ahmed A. Sholo, wewe ndio Sholo?Sholo: Ehe—

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!