12.07.2015 Views

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

64mapendekezo yenu yatapata support, kwa ajili ni kusikilizana, inaitwa consensus, kama ni simple majority - - watu mia tatu namoja kama ni watu mia sita, na maswala ya ki Katiba - - tuseme two thirds yaani watu mia nne kati ya mia sita. Kwa hivyomtaweza kutick yale maneno kuhusu ukame, North Eastern hatupingi, hili North Eastern wamesupport, Rift Valley wamesemani sawa, yaani mnafanya tena campaign kidogo kidogo. Ndio hayo nilitaka kuongeza. AsanteniBwana DO : Asante sana Daktari Arap Korir. Wazungu wanasema ‘experience is the best teacher’ kwa hivyo vile mumekujaFaza Island, iangalie vile iko, unapata kuna watu na tunaishi nao. Sitaki kuchukua muda mrefu, nafikiria maoni mengine yenyeyalitolewa, hasa kama ya councillor Haji. Yake nafikiria ilikuwa kuhusiana na Hon. Nicholas Biwot. Yale yalikuwa yake nafikiria na ikitoka hapa sifikirii pengine ni kitu tunaweza kuongea.Nataka kuita Ustadh moja, vile tulianza na dua, atufungie mkutano wa leo na mkienda nyumbani mtaenda salama salimini.Mkikutana na Commissioner, wasalimie, waangalie kama ni wageni wetu, shida zenye wako nazo, tujaribu kuangalia. Mimimwenyewe ninajua maji yameenda na ninaangalia kama iko. Ustadh Zakaria.Ustadh Zakaria : Nilikuwa na swali la kuuliza --- kulingana na mazungumzo ambayo tumekua nayo.Bwana DO : Nafikiria wakati wenye tutakuwa tumefunga mkutano, tufunge na uwe umeisha.Ustadh Zakaria : Dua la Kislamu kwa lugha ya kiarabu.Meeting ended at 5.30 p.m.&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&&

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!