12.07.2015 Views

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

57dhulumma? Ikiwa dhulumma kama hii itaendelea tutafika wapi? Sasa twasema tunataka usawa, haki za binadamu ndio hiitunamaanisha. Utaona mwanamume, hati kama hiyo yeye hupewa mara moja, anapewa Visa anatia saini na mambo yakeyanakwisha.Swala lingine Bwana Commissioner, kubwa kwa mwanamke wa Kenya. Mwanamke anayefanya kazi kwa madaraka yoyotehapa Kenya akipewa transfer mara mbili - - kuna kita inaitwa disturbance allowance yaani ile kusumbuliwa sumbuliwaukipelekwa hapa na pale - - mwanamke wa Kenya hio apewi kabisa. Hii napenda kuona kwamba nidhuluma. Kwa sababuyeye ,wanamke yule yule anafanya kazi kama huyo mwanaume. Lakini kwa sababu ya ule ubaguzi tuli nao ambao anatokanyuma na kumdharau mwanamke, twaendelea kungandamiza.Kwa hivyo Bwana Commissioner, nimezileta kwa hii Katiba mpya ambayo tumejitolea kuirekebisha maoni kama haya yanguyaangaliwe vizuri sana. Nikirudia kwa ufupi: mwanamke yeyote ambaye ameolewa - - kwa sababu hana haki yeye kamamume - - akiolewa na mumewe pia awe na hiyo haki moja kwa moja bila kusumbuliwa. Kama mimi leo nataka kuoa, nikija namke wangu hapa Kenya anakua raia, kwa nini mwanamke asiwe hivyo? Kwa sababu yeye anaolewa na mwanaume wa nchinyingine, ukimchukua ampeleke kwao huyu mwanamke ni mwananchi. Au mwanamke wa kuko akiolewa na bwana wa huku,pia anakuwa raia. Na nchi nyingine pia utakavyoona kwa hali ya ubinadamu, wewe ni refugee umekwenda kule lakini umezaawatoto, yule mtoto kuzaliwa pande ile tayari amekwisha sajiliwa uraia kwa wazazi wake wote. Kwa sababu, haiwezekanimtoto yule alelewe vizuri kama hatakuwa na uhusiano na wazazi walili. Kwa hayo asante sana.Com. Mosonik : Asante. Haji Shilu. Hayuko? Mohamed OmarMohamed Omar : Bwana Makamishna, DO wetu, wafanyikazi wasaidizi wa hii <strong>commission</strong>, viongozi na wote mabibi namabwana, Salaam Aleykum. Jina langu ni Mohamed Omar Abdallah na ninafanya kazi na hii <strong>commission</strong>, mwanakamati waLamu Mashariki. Yangu mimi pengine yatakuwa machache, kwa sababu nilipewa maoni ambayo ni wasilishe kwa hii<strong>commission</strong> na watu ambao hawakuweza kufika mahali kama hapa. Kwa hivyo ikiwa mapendeleo ya Commission nisomemaoni haya, basi nitaendelea. La wakiona haitakuwa sawa niwaakilishe kwa Commission, basi nitawakabithi hiyo Commission.Com. Mosonik : Tafadhali uyasome.Mohamed Omar: Asante. Mapendekezo ya kuasilisha kwa Tume ya Kurekebisha Katiba ya Kenya, yaani kwa ufupi CKRC.Wasema “sisi watu tunaoishi katika kijiji cha Siu, tarafa ya Faza, wilaya ya Lamu, tunamapendekezo yafwatayo kuhusumaswala t<strong>of</strong>auti t<strong>of</strong>auti”: (Hapa nitataja maswali matano). Ikiwa moja wapo ni: swali la Ardhi, sheria za kidini, elimu, afya nauchaguzi.Swala la ardhi, wameeleza hivi. Sisi ni watu ambao tumeishi katika upande wa pwani, tumetakikana wandugu zetu walioishi

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!