12.07.2015 Views

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

6Com. Mosonik : Endelea, endeleaShariff Hassin Mohamed: Chief Kadhi, ningeomba kwa maoni yangu ya kuwa awe na naibu. Maana yake Chief Kadhaiwakati huu hana naibu. Akiwa hapo nafasi yake inachukuliwa na Kadhi ya Wilaya ya Mombasa. Kwa hivyo twataka naibu waChief Kadhi kwa Kenya mzima.Com. Mosonik: EndeleaShariff Hassin Mohamed: Pia Chief Kadhi ateuliwe, sio kupewa na serikali, ateuliwe na Ma-Imam. Chief Kadhi na MachiefKadhi wateuliwe na Ma-Imam wa Misikiti, sio kuchaguliwa na serikali na kupewa.Com. Mosonik: Endelea—Shariff Hassim Mohamed: Na apewe hukumu yeye mwenyewe sio kupeleka high court. Mambo ya kiislam yasipelekwe highcourt, yeye amalize.Uhuru wa dini tulio nao isibadilishwe, maana yake tuna uhuru wa kuabudu, serikali imetupa, isibadilishwe kabisa, kwamba bilauhuru wa kuabudu inaweza leta taabu sana. Vipindi vya dini ya Kislamu katika radio ni kidogo sana. Twaona dini zingine wananyingi sana, na kama dini zingene nasi tupewa nafasi sawa sawa katika vipindi hivi vya dini ya Kislamu katika radio.Uvuvi ni muhimu sana kwetu, tunaiomba serikali isiweke vikwazo kwa kuvua. Isaidie serikali ipatikane soko la kuwekeasamaki watu wapate mahali pa kuuzia. Serikali tunaiomba iwape makao bora, wavuvi. Maana yake hakuna kazi nyingine hukuPwani, katika division hizi mbili au tatu.Elimu iwe bure kwa watoto, hawa kwa watoto mayatima wasaidiwe maana yake wazazi wao wamefariki.Mwisho, akina mama wapewe haki sawa na waume kwa kazi na elimu.Com. Mosonik: Asante, nakushukuru, upitiye hapo tafadhali na usign vile nilieleza muwe mukipitia hapo. Mwingine ni NajimShaffi.Najim Shaffi : Salaam Aleykum wa Rahmatullahi Wabarakatu – Haya ni maoni yangu binafsi. Jina langu ni Najim Shaffikutoka Tchumba location. Maoni yangu binafsi nikuelezea kuhusu Chief Kadhi.Ya kwanza, kuhusu kuchaguliwa Chieh Kadhi na naibu wake, ningependelea wachaguliwe na wasomi, wasichaguliwe na

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!