12.07.2015 Views

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

20Vile vile polisi akishuku mtu, mtu yule achunguzwe polisi kwa masaa manane, ikiwa hakuwa na hatia mtu yule kwa masaa hayoaachiliwe.Passport: tusiwe na vikwazo vya kutolewa passport, ati mpaka birth certificate za manyanya na mababu, hapana. Msingi nimama na baba. Kitambulisho cha baba na mama utosheleze kwa passport kwa Katiba hii mpya. Katiba ya zamani, mambo yazamani, tuwachane nayo.Machiefs wasichaguliwe kwa kura: Ikiwa watachaguliwa kwa kura basi nidhamu ya machief itaanguka. Chifu ikiwaatachaguliwa kwa kura kwa hivyo atakuwa tayari mwanasiasa na hatakuwa na dhamani na ataanguka cheo. Kwa hivyo mimimaoni yangu naonelea machief wasichaguliwe kwa kura waandikwe na serikali. Kama vile tunavyoendelea kwa Katiba hii tukonayo.Lingine ni kwamba maeneo yetu ya Dondori tupatiwe wenyewe ile Kenya dhamani yetu iliyoweka maboya iondoshwe maramoja kwa Katiba hii mpya, ili wakulima wetu waende kule kwenye mazao. Hapa tulipo sisi, hakuna mazao kwa ukulima wetu.Dondori ni ardhi bora kwa watu, wetu rutuba kubwa iko hapo, na ----- imetuwekea maboya, na maboya kwa katiba mpyaisiwe ikiendelea, iondoswe mara moja. Jambo la mwisho ni kusema: wavuvi, wa coast wawe na haki kama vile wavuvi wasehemu zingine walivyo na haki. Wavuvi wetu wa coast hawapatiwi msaada wala mikopo. Kwa hivyo Katiba mpya ipitishwena wavuvi wetu wa coast misaada, mikopo, wapatiwe ikiwa ni kweli ninavyo sema maana napenda kusema ukweli. Nafikirinitakomea hapa, naambia kwaherini.Com. Mosonik : Asante sana councillor. Kwanza tungependa kuwaomba wote ambao wamekuja kwa kikao wajiandikishenje hapo, hata kama hawapeani maoni. Kwa ajili mwishowe tutataka ku-report kwamba watu wa Lamu East wa Faza,nambari yao ilikuwa ni ngapi? Walikuwa na hoja kusikiliza na kutoa maoni kwa tume. Kwa hivyo mjiandikishe please. Sasakusema kuhusu Tume, Councillor akasema ameona Tume nyingi zimekuja na kwenda. Tuna imani kwamba hii ni tume ile yawananchi wenyewe, imeundwa na bunge, kuyasikiliza maoni na kuandika Katiba mpya. Kwa hivyo tuna imani kwamba yalemaoini mtayatoa kwa tume hii hayatapotea bure, tuna imani. Haya, please, Bibi Bakari wa Bunoa Women Community. Nayeye ana memorandum atatupea mwishowe.Bibi Bakari : Asalaam Aleykum, mimi jina langu naitwa Bibi Bakari Ali kutoka Tchulwa location na nawakilisha wanawakewa Tchulwa. Nitaanza na Haki za akina mama – wanawake wasibaguliwe katika kazi. Mwanamke wa Kislamu ambaye nimfanyakazi wa serikali aruhusiwe akae eda miezi minne na siku kumi nyumbani, na alipwe mshahara wake kama kawaida.Mume akiachana na mkewe achukuliwe hatua au alazimishwe atunze watoto kwa mahitaji yeyote kama: chakula, elimu,matibabu na nguo. Haya, mume achukuliwe hatua serikalini iwapo atampiga mkewe. Mama asipokonywe watoto pindi babaanapomtaliki mkewe. Kunajisiwa kwa wanawake ambayo ni raping: Mtu yeyote mwenye kumnajisi mwanamke ahukumiwe

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!