12.07.2015 Views

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

42ningeona kwamba itangazwe pia kwamba Israel ni katika taifa moja la terrorism, lweze pia kutengwa na tusiwe na uhusiano wakibalozi na Israel.Land – Tatizo la ardhi nimeona kwamba ni tatizo sugu ambalo limewasumbua Wa<strong>kenya</strong> wengi. Kwanza tumeomba kwambasheria za Trust land ziundwe kila community ambao ni wenye wanaishi kwa hizo ardhi, iwe ni trust land wao wapewe, umilikikwa hiyo ardhi. Tuseme ardhi ambayo imezungukwa na bond trust land, kama ardhi ambayo imekaliwa na Bajuni kwa miakaelfu mbili, iwe ni Bajuni trust land, isiwe ardhi ya kila mtu. Watu watoke Murang’a, Kiambu, Kano,Western waseme ardhi hii niya watu wote. Maana tunasema hatuwezi hili, tunabaguliwa, na hatuwezi kupewa ardhi za kukaa katika sehemu zingine.Government Structure (Yaani utaratibu wa kiserikili): Tungeomba serikali hii iwe na Rais ambaye uwezo wake umekuwaukipunguzwa. Awe chini ya sheria, sio kuwa juu ya sheria. Kwa sababu akiwa Rais ni juu ya sheria, basi mambo yoteatajiwekea: vile atachagua Ma-PS, Judiciary --- na kadhalika. Tuseme tuwe na Prime Minister ambaye atashugulika na mamboya executive. Vile vile tuwe na Deputy Prime Minister wawili na Vice President wawili, kutoka ile winning party. Kuwe navyama visivyozidi vitatu, katika serikali. Vyama vingine vitupiliwe mbali ambavyo havitakuwa na msingi thabiti ama vina msingiwa kikabila.Jambo lingine ningependa kuzungumza ni kuhusu Electoral Commission – Electoral Commision iwe inachaguliwa na Bunge: Iwewatu wanaomba, majina yao yapelekwe katika Bunge, halafu Bunge ipitishe, iseme hawa ndio watakuwa ni Makamishna. Sioawe President ana uwezo wa kuchagua Tume ambalo anataka yeye. Tume na haki lisiwe likichaguliwa na Rais. Tunaonakwamba Tume la uchaguzi ndiyo itakuwa na uwazi. Sio kwamba niko kazini baada ya siku tatu ama miezi miwili mara nafutwa.Taratibu kama hizi tunaomba zitupiliwe mbali.Local Government: Local government ni ile serikali ya wilaya na mitaa. Ningeomba kwamba Councillor achaguliwe angalauamehitimu, isiwe amepungua kilasi cha saba, ndio mambo mengi ataweza kuyafahamu, sio tu kusoma na kuandika. Kulikokuchagua watu ambao hata kwa hakuona.Ningeomba vile vile, powers <strong>of</strong> government <strong>of</strong>ficers ziwe reduced. Kama Clerk <strong>of</strong> Council, uwezo wake upunguzwe. Clerkaweze kuchaguliwa na committee ya Council. Asiwe atakuwa answerable to the Permanent secretary. Council ipewe uwezowa kuandika na kufuta, isiwe ceremonial. Awe councillor au Mayor, atachaguliwa directly na wananchi. Kuweko na goodconduct. Mtu kuchunguzwa tabia yake. Vile vile councillor achaguliwa akiwa na mali. Kiasi siyo millionaire, angalau awekiwango cha chini ,awe naelfu hamsini. (inaudible). Councillor anaweza kuchaguliwa kulingana na wisdom <strong>of</strong> leadership. Awena historia ya uongozi: tangu zamani ashawahi pengine kuongoza hata--- lakini siyo mtu kuchaguliwa hana rekodi yoyote yauongozi.(inaudible).Natural Resources - Mipango yoyote itakayo fanywa kuhusu natural resources, lazima wanakijiji washirikishwe. Siyo

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!