12.07.2015 Views

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

22Com. Mosonik : Halima Mukhdhar wa Ndeleni S. H. G.Halima Mukhdhar : Salaam Aleykum, wananchi mliohudhuria hapa nyote. Ni mimi Halima Mukhdhar kutoka Tchudwa nakikundi changu ni Ndeleni self group. Sina mengi isipokuwa, naakilisha kikundi changu kutoka Tchudwa. Naomba tumeiongezewa muda kwa sababu kuna sehemu fulani ambazo hazijafikiriwa kufundishwa kwa sababu zisoweza kuepukika upandewa kifedha, upande wa security. Tunaomba tume ituongezee muda wa kufanya kazi hii. Kwa hivyo sina mengi. A salaamAleykum.Com. Mosonik : Bakari Bunu. Bakari Bunu please.Bakari Bunu : Salaam Aleykum : Mimi maoni yangu ni juu ya mnyonge. Mnyonge kupata haki ni mwenye nguvu kupenda.Kwa hivyo ningependekeza serikali iwe na haki, ili iweze kuchunguza haki za wananchi kisawasawa. Samahani, nitakaosemaukweli ukijikiri uwongo hujitenge. Ningependekeza kwamba serikali iwe ya ukweli. Wakati wote itakapokosa ukweli sherianayo haitakuwa kisawasawa. Kwa sababu vile inatuletea udhaifa sisi wanyonge, wale wanao nguvu, serikali haiwezi kuangalia.Ningependekeza kwamba wanyonge waweze kupatiwa haki kisawa sawa. Hata ni heri kuangalia wanyonge zaidi kulikowenye nguvu.Lingine, ningependekeza kuhusu upande wa ma-headmen. Ma-headmen ni watu wenye jukumu, ningependekeza serikali iwezekuwapatia malipo angalau wahamasike ili nao waweze kutumikia nci sawa sawa.Lingine – ningependekeza baraza la wazee wa kijiji watachaguliwa na watakuwa wakipata malipo nao kwa kwendakushugulikia wananchi. Kama tume ilitolewa na wanalipwa na wananchi, na wazee wa kijiji nao walipwe angalani kitu kidogocha kuwainua mgongo.Kitu kingine kuhusu vitambulisho, ningependekeza ipitishwe kwamba: kila moja anaweza kupata kitambulisho katika Divisionyake, na anaweza kupata passport kulingana na wilaya yake, bila kupitia mahali pengine. Wilaya iwe inashughulika na mamboyote. Na pia isiwe na mivutano ama karatasi ya kuulizwa nyanya yako na babu yako. Kwa sababu wao wengi hawakuwa namakaratasi hayo, wamefika hivyo hivyo, sasa ukiuliza karatasi ya mzazi na mzee hakuna. Kitosheleze kitambulisho cha baba aumama, mambo yote yawe yatatimiya.Ningependa vyama vya siasa viweze kuwekwa kwa mpango, isiwe ni holela. Kwenda kuwekwa kama vyama ni vitatu au viwili.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!