12.07.2015 Views

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

constitution of kenya review commission - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS
  • No tags were found...

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

34Com. Mosonik : Kwanza tukimaliza kukusanya maoini, tunaandika report ya Katiba kulingana na maoni ya raia. Halafu hiyoreport na ile Katiba tumeiandika, tunawasilisha kwa mkutano wa kitaifa – National Constitutional Conference, ambapokutakuwa na watu kama mia-sita hivi. Wajumbe wote wa Bunge, waakilishi watatu wa kila wilaya, waakilishi wa vyama vyasiasa kama arobaini na mbili hivi, Makamishna wenyewe, na waakilishi tunaowaita civil society. Watu kama mia sita wajadiliane,na wasikilizane na wakubali report yetu na Katiba vile tumeiandika kulingana na maoni ya raia. Na kama hawatasilizana,tutarudisha report na ile Katiba kwenu kupitia kura ya maoni, inaitwa Referendum. Tutapiga kura kusema hatujakubali amatumekubali. Halafu baada ya hapo inawasilishwa Bunge, vile mwenzangu ameeleza kupitia kwa Attorney General. Kwa hivyotuwe na imani kwamba kazi tunaifanya ni ya maana. Okay. Councillor Badi Amir please.Councillor Badi Amir : Salaam Aleykum wa rahamtulilahi wa barakatu. Jina langu ni Councillor Badi Amir, naakilisha area hiiya Faza.Maoni yangu ni kuhusu mali ya asili – mazingira. Katiba ya sasa iliyoko, kitu hutumiwa sasa, kimewapa nguvu sana watu wamazingira, wizara ya mazingira na wizara ya mali ya asili. Kwa sababu hivi sasa, kuweza kuzungumza, mazingira tulipata kwanamna kadha hakuna ruhusa kukuwa, ikawa ni sheria. Hakuna ruhusa kukata mti, ikawa ni sheria. Pasi napenda sheria kamahii Katiba imerekebishe hapo kidogo, kwa sababu uvuvi ni mti wa mgongo wa mwananchi wa huku kwetu. Miti ndio majamviyetu, majumba yetu, kila kitu kinategemea hiyo. Lakini sasa iwapo itakuwa sheria, ipite mara moja kwa moja kwa wizara tukama hivi sasa. Hivi sasa wajua miti fulani hakuna ruhusa ya kuikata. Hivi sasa kama mwambiwa, “Mwangati” hakuna ruhusamkate. Watu wakifika baraka wanataka kukata mwangati, wakiwa game wanawarudisha rudini hamna ruhusa ya kuukata.Nayo ndio riziki ya kwetu na hatuwezi kwenda anywhere and continue. Kwa hivyo Katiba iweze kuangatia hivyo, badala yakumlemea mwananchi. Napenda Katiba hapo irudishiwe mwananchi wa kawaida awe ndiye atatoa maoni hapo,washaurianevipi tutarudisha mazingira, sisi tutaendelea vipi?Kwa upande wa mazingira na mali ya asili – Utaona mali ya asili kama mnyama anahifadhiwa sana. Lakini mahali ikiliwa namnyama , hahifadhiwi. Yule mnyama ni wako? Hivi sasa ngombe wako akiharibu shamba utamshtaki wapi, ati ng’ombeameharibu shamba wewe mwenyewe utalipa. Ndovu akiharibu shamba utapelekwa huku, upelekwe huku, upelekwe huku namalipo yakija hailingani na uharibifu wake. Wakati mwingine ndovu amemuua mtu badala alipwe si kiasi kile amelipwa. Basiiangaliwe, hukumu hizi zirudie kwa wananchi, wawe wananchi ndio wenye kushauriana katika mambo hayo.Kuhusu malipo katika serikali za wilaya – serikali za wilaya, councillor na mjumbe wako karibu kuwa sawa. Wotewameteuliwa kwa kura. Lakini nashangaa kuambiwa councillor alipwe na baraza, mjumbe wake analipwa na kamati fulani zaBunge. Napenda pia hawa councillor kama wateuliwa na kura na malipo yao na wa Bunge ni mahali pamoja, kama vilemshahara utoka kwa Bunge, ndio mshahara wao ndio utoke. Kwa sababu aambiwapo kwa baraza lile Baraza lenye kumletamwananchi, akafika huko akatupwa huko hapatikani. Hupatikana wakati wa hawa macouncillor kulipwa na Barazalinapoendelea basi naona hii irudi kwao.Pale wanapolipwa wabunge, basi Baraza vile vile wafanyikazi wake walipwe hapo

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!