Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
(Hakika Mnyezi Mungu alotukuka anapompenda<br />
mja wake humpa mabalaa. Basi akisubiri humuepusha<br />
na balaa hilo. Na akiridhia basi humchagua<br />
(kuwa mja wake).<br />
Hadithi hii inatupa maarifa mazuri ndani yake, nayo si<br />
mengine bali ni yale yanayotuwezesha kugundua siri ya kupendwa na<br />
Mnyezi Mungu imo ndani ya kujaribiwa. Tofauti na mapenzi ya<br />
binadamu anayekuletea kisababu, balaa basi huyo hakupendi. Na<br />
anayekukunjulia mkono basi huyo ndiyo anayekupenda na<br />
kukuhurumia<br />
Mnyezi Mungu anafahamisha mwenye Qur an 2: 155-156.<br />
“Na tutakutieni katika msukosuko wa (baadhi<br />
ya mambo haya); hofu na njaa na upungufu wa<br />
mali na watu na wa matunda. Na wapashe habari<br />
njema wanaosubiri. Ambao uwapatapo msiba<br />
husema: “hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na<br />
kwake yeye tutarejea (atatupa jaza yake).”<br />
Hiyo: “…Wape bishara njema wenye kusubiri…<br />
Wapashe habari njema…” Inagusia pale pale katika kutarajiwa<br />
yule alonakamishwa kuwa atasubiri. Kusubiri ndiyo jawabu la<br />
mtihani, au majaribio, au balaa.<br />
Bwana Mtume S.A.W. amesema:<br />
"....وماجزاءالصبر االالجنو<br />
5