17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

(Hakika Mnyezi Mungu alotukuka anapompenda<br />

mja wake humpa mabalaa. Basi akisubiri humuepusha<br />

na balaa hilo. Na akiridhia basi humchagua<br />

(kuwa mja wake).<br />

Hadithi hii inatupa maarifa mazuri ndani yake, nayo si<br />

mengine bali ni yale yanayotuwezesha kugundua siri ya kupendwa na<br />

Mnyezi Mungu imo ndani ya kujaribiwa. Tofauti na mapenzi ya<br />

binadamu anayekuletea kisababu, balaa basi huyo hakupendi. Na<br />

anayekukunjulia mkono basi huyo ndiyo anayekupenda na<br />

kukuhurumia<br />

Mnyezi Mungu anafahamisha mwenye Qur an 2: 155-156.<br />

“Na tutakutieni katika msukosuko wa (baadhi<br />

ya mambo haya); hofu na njaa na upungufu wa<br />

mali na watu na wa matunda. Na wapashe habari<br />

njema wanaosubiri. Ambao uwapatapo msiba<br />

husema: “hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na<br />

kwake yeye tutarejea (atatupa jaza yake).”<br />

Hiyo: “…Wape bishara njema wenye kusubiri…<br />

Wapashe habari njema…” Inagusia pale pale katika kutarajiwa<br />

yule alonakamishwa kuwa atasubiri. Kusubiri ndiyo jawabu la<br />

mtihani, au majaribio, au balaa.<br />

Bwana Mtume S.A.W. amesema:<br />

‏"....وماجزاءالصبر االالجنو<br />

5

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!