17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Ambao wametolewa majumbani, (mjini) Mwao<br />

pasipo haki ila kwa sababu wanasema: “Mola<br />

wetu ni Mwenyezi Mungu.” Na kama Mwenyezi<br />

Mungu asingaliwakinga watu, baadhi yao kwa<br />

wengine, bila shaka yangalivujwa mahekalu na<br />

makanisa na nyumba nyingine za ibada na<br />

misikiti ambamo Jina la Mwenyezi Mungu<br />

hutajwa kwa wingi. Na bila shaka Mwenyezi<br />

Mungu humsaidia yule anayesaidia Dini Yake.<br />

Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na<br />

Mwenye kushinda.”<br />

Subra ikienda na dua na matendo mema, ndipo Mnyezi<br />

Mungu huepushia watu mabalaa yao. Na miongoni mwa jawabu<br />

hakuna kama ISTIKTHAAR (kufanza wingi ) mambo ya swadaka na<br />

ISTIGHFAAR (kutaka msamaha) kwake yeye Mnyezi Mungu.<br />

Mambo mawili hayo yanapata ( Support ) kutiwa nguvu na aya : Qur<br />

an 71:10-12<br />

"Nikawaambia: Ombeni msamaha kwa<br />

Mola wenu. Hakika yeye ni mwingi wa<br />

Msamaha. Atakuleteeni mawingu yanyeshayo<br />

mvua nyingi. Na atakupeni mali na watoto,<br />

na atakupeni mabustani, na atakufanyieni mito.”<br />

Vile vile Mnyezi Mungu amesema: Qur an Suratul Anfal 8:33<br />

11

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!