Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
“Ambao wametolewa majumbani, (mjini) Mwao<br />
pasipo haki ila kwa sababu wanasema: “Mola<br />
wetu ni Mwenyezi Mungu.” Na kama Mwenyezi<br />
Mungu asingaliwakinga watu, baadhi yao kwa<br />
wengine, bila shaka yangalivujwa mahekalu na<br />
makanisa na nyumba nyingine za ibada na<br />
misikiti ambamo Jina la Mwenyezi Mungu<br />
hutajwa kwa wingi. Na bila shaka Mwenyezi<br />
Mungu humsaidia yule anayesaidia Dini Yake.<br />
Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na<br />
Mwenye kushinda.”<br />
Subra ikienda na dua na matendo mema, ndipo Mnyezi<br />
Mungu huepushia watu mabalaa yao. Na miongoni mwa jawabu<br />
hakuna kama ISTIKTHAAR (kufanza wingi ) mambo ya swadaka na<br />
ISTIGHFAAR (kutaka msamaha) kwake yeye Mnyezi Mungu.<br />
Mambo mawili hayo yanapata ( Support ) kutiwa nguvu na aya : Qur<br />
an 71:10-12<br />
"Nikawaambia: Ombeni msamaha kwa<br />
Mola wenu. Hakika yeye ni mwingi wa<br />
Msamaha. Atakuleteeni mawingu yanyeshayo<br />
mvua nyingi. Na atakupeni mali na watoto,<br />
na atakupeni mabustani, na atakufanyieni mito.”<br />
Vile vile Mnyezi Mungu amesema: Qur an Suratul Anfal 8:33<br />
11