Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Katika sura hii tunaona kuwa saa moja yake ni sawa na miaka<br />
2083-2088. Mtu mwenye akili timamu hakosi kuona kuwa katika saa<br />
yake hiyo ni kiasi ambacho kinamfikia Nabii Zakari AS, Yunus AS, nk.<br />
Mtu akitafakuri juu ya mtoto wa digi digi aliozaliwa na baada ya saa<br />
moja tu anaenda mbio na mama yake, wakati binadamu labda miaka<br />
miwili na zaidi ndio aje kumudu zoezi hilo, basi ni sawa na kusema:<br />
“Saa moja ya digi digi ni sawa na miaka<br />
miwili ya mwanaadam”.<br />
Ndani ya nyakati mbili hizi mtu yoyote mwenye akili<br />
hatokosa kuona kuwa suala la: “kupitwa na wakati”, kama<br />
ilivyozoeleka mno kwa vijana wa leo, ni kama upumbavu<br />
mtupu. Msemo huu unawaandama masikini wa kutafakari<br />
katika jamii.<br />
Katika wakati wa kwanza na wa pili walioudiriki ni Seyyidna<br />
Adam ASW na Mama Hawwa AS. Katika wanaadamu. Na pia<br />
wamediriki huu wakati wetu wa masaa 24. Wakaishi hadi miaka 1001<br />
(elfu moja na moja ) hapa duniani.<br />
Wanasayansi waliochunguza na wakakubaliana kuwa ndiyo<br />
hakika kwamba mwanga wa jua unatembea miaka 186 elfu kwa sekunde<br />
moja, nyota aina ya GALAXY katika muda huo huo inakwenda kiasi<br />
cha maili 105 ya mwanga, ambapo kila mwaka wake mmoja ni sawa na<br />
miaka Trillion sita (6, 000,000,000,000,000,000 ). Suala la kupitwa na<br />
wakati hapa ni la kipumbavu kabisa.<br />
Mfano wa Betilquise ( Beyt jawzaa ), nyota moja<br />
kubwa mno, imethibitishwa kielimu ( Science ). Mwanga<br />
wa jua kwa spidi yake ya 186,000 maili kwa sekunde,<br />
itakuwa kiasi cha miaka 32 elfu kufikia mara moja na si tena<br />
illa baada ya miaka elfu 32 mingine. Na papo zipo nyakati<br />
ambazo haziwezi kuingia ndani ya akili ya mtu. Dakika<br />
moja ni sawa na miaka mia tano ya anga.<br />
Na upo huo wakati wa milele ambao ndani ya akili<br />
ya mtu haufikirikiki kabisa. Mnyezi Mungu ndiye anayejua<br />
– Wallahu ya`alam bi swa waah.<br />
WABILLAHIT TAWFEEQ.<br />
25