17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Katika sura hii tunaona kuwa saa moja yake ni sawa na miaka<br />

2083-2088. Mtu mwenye akili timamu hakosi kuona kuwa katika saa<br />

yake hiyo ni kiasi ambacho kinamfikia Nabii Zakari AS, Yunus AS, nk.<br />

Mtu akitafakuri juu ya mtoto wa digi digi aliozaliwa na baada ya saa<br />

moja tu anaenda mbio na mama yake, wakati binadamu labda miaka<br />

miwili na zaidi ndio aje kumudu zoezi hilo, basi ni sawa na kusema:<br />

“Saa moja ya digi digi ni sawa na miaka<br />

miwili ya mwanaadam”.<br />

Ndani ya nyakati mbili hizi mtu yoyote mwenye akili<br />

hatokosa kuona kuwa suala la: “kupitwa na wakati”, kama<br />

ilivyozoeleka mno kwa vijana wa leo, ni kama upumbavu<br />

mtupu. Msemo huu unawaandama masikini wa kutafakari<br />

katika jamii.<br />

Katika wakati wa kwanza na wa pili walioudiriki ni Seyyidna<br />

Adam ASW na Mama Hawwa AS. Katika wanaadamu. Na pia<br />

wamediriki huu wakati wetu wa masaa 24. Wakaishi hadi miaka 1001<br />

(elfu moja na moja ) hapa duniani.<br />

Wanasayansi waliochunguza na wakakubaliana kuwa ndiyo<br />

hakika kwamba mwanga wa jua unatembea miaka 186 elfu kwa sekunde<br />

moja, nyota aina ya GALAXY katika muda huo huo inakwenda kiasi<br />

cha maili 105 ya mwanga, ambapo kila mwaka wake mmoja ni sawa na<br />

miaka Trillion sita (6, 000,000,000,000,000,000 ). Suala la kupitwa na<br />

wakati hapa ni la kipumbavu kabisa.<br />

Mfano wa Betilquise ( Beyt jawzaa ), nyota moja<br />

kubwa mno, imethibitishwa kielimu ( Science ). Mwanga<br />

wa jua kwa spidi yake ya 186,000 maili kwa sekunde,<br />

itakuwa kiasi cha miaka 32 elfu kufikia mara moja na si tena<br />

illa baada ya miaka elfu 32 mingine. Na papo zipo nyakati<br />

ambazo haziwezi kuingia ndani ya akili ya mtu. Dakika<br />

moja ni sawa na miaka mia tano ya anga.<br />

Na upo huo wakati wa milele ambao ndani ya akili<br />

ya mtu haufikirikiki kabisa. Mnyezi Mungu ndiye anayejua<br />

– Wallahu ya`alam bi swa waah.<br />

WABILLAHIT TAWFEEQ.<br />

25

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!