You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
“Na kama tukimuonjesha mwanaadamu rehema<br />
inayotokana nasi; kisha tukaiondoa kwake, mara<br />
moja anakuwa mwenye kukata tamaa kabisa na<br />
asiyekuwa na shukurani. Na kama tukimuonjesha<br />
neema baada ya dhara iliyompata mara husema:<br />
“Taabu zimekwisha ondoka kwangu”. (Wala<br />
hashughuliki kufanya mema wala kumshukuru<br />
Mnyezi Mungu). Basi huwa (sasa) ni mwenye<br />
kufurahi sana (na) mwenye kujivuna kabisa”.<br />
Pengine mtu hupewa balaa katika neema, naye mtu hufurahia<br />
na kukongoea kule kukirimiwa kwake. Na anapobalaiwa (tiwa balaa)<br />
katika upungufu wa neema, mara hupayuka akadai kuwa Mnyezi<br />
Mungu amemsahau. Qur an Surat Fajr 89:15-16.<br />
“Lakini mwanaadam, mola wake anapomfanyia<br />
mtihani akamtukuza na kumneemesha, basi husema :<br />
“Mola wangu amenitukuza;” (wala hashughuliki<br />
kufanya mema ili kutengeneza akhera yake). Na<br />
Anapomfanyia mtihani Akampunguzia rizki yake,<br />
husema: “Mola wangu amenidhalilisha, (nikifanya<br />
mema au mabaya ni sawa sawa, hatayashughulikia,<br />
basi naendelea kufanya mabaya)”<br />
3