17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“Na kama tukimuonjesha mwanaadamu rehema<br />

inayotokana nasi; kisha tukaiondoa kwake, mara<br />

moja anakuwa mwenye kukata tamaa kabisa na<br />

asiyekuwa na shukurani. Na kama tukimuonjesha<br />

neema baada ya dhara iliyompata mara husema:<br />

“Taabu zimekwisha ondoka kwangu”. (Wala<br />

hashughuliki kufanya mema wala kumshukuru<br />

Mnyezi Mungu). Basi huwa (sasa) ni mwenye<br />

kufurahi sana (na) mwenye kujivuna kabisa”.<br />

Pengine mtu hupewa balaa katika neema, naye mtu hufurahia<br />

na kukongoea kule kukirimiwa kwake. Na anapobalaiwa (tiwa balaa)<br />

katika upungufu wa neema, mara hupayuka akadai kuwa Mnyezi<br />

Mungu amemsahau. Qur an Surat Fajr 89:15-16.<br />

“Lakini mwanaadam, mola wake anapomfanyia<br />

mtihani akamtukuza na kumneemesha, basi husema :<br />

“Mola wangu amenitukuza;” (wala hashughuliki<br />

kufanya mema ili kutengeneza akhera yake). Na<br />

Anapomfanyia mtihani Akampunguzia rizki yake,<br />

husema: “Mola wangu amenidhalilisha, (nikifanya<br />

mema au mabaya ni sawa sawa, hatayashughulikia,<br />

basi naendelea kufanya mabaya)”<br />

3

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!