17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Katika hali kama hiyo mwanaadamu humuomba Mnyezi Mungu kwa<br />

hali ya unyenyekevu na utakaso mkubwa kweli kweli. Qur an Surat<br />

Yunus: 10:22.<br />

“Yeye ndiye anayekuendesheni katika bara na baharini.<br />

Hata mnapokuwa katika majahazi na yanakwenda nao<br />

Kwa upepo mzuri na wakafurahi nao; mara upepo mkali<br />

Unayajia na mawimbi yanawajia kutoka kila upande, na<br />

wanaanza kufikiri ya kwamba wametingwa. ( Hapo ndipo)<br />

wanapomuomba Mwenyezi Mungu kwa kumtakasia<br />

utii, (wakisema): “Ukituokoa katika haya, bila shaka tutakuwa<br />

miongoni mwa wanaoshukuru.”<br />

Lakini anapookolewa na akawasili katika ardhi salama kabisa hapo<br />

hapo humfanzia mola wake chungu ya washirika kama siye yeye<br />

aliyekiomba kwa hali ya Ikhlaas kubwa moyoni mwake. Quran Surat<br />

Hud 11:9 –10.<br />

2

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!