Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Wakati seyyidna Jibril AS (The holy ghost ) alipomshukia Bwana<br />
Mtume SAW ( katika karne ya saba) ili amfundishe DINI (ISLAM) kwa<br />
njia ya kumuuliza maswali, akawa anasadikisha kila alipojibiwa, swala<br />
lilikuwa moja zito sana. Lakini aliomba afahamishwe dalili zake tu baada<br />
ya kujibiwa kua “Hakuwa mwenye kuulizwa kwacho ( hicho kiyama)<br />
mwenye kujua kuliko muulizaji”. Bwana Mtume SAW alielezea dalili<br />
zake tu, nazo zilikuwa kama hivi:<br />
i. Mjakazi ( Amati – pia ni jam-u ya umma) yaani: mama.<br />
ii. Utaona wenda miguu chini na uchi, wachunga<br />
mbuzi (cowboys) wakipitana kwa majumba marefu marefu<br />
(Zama ambapo sky scrappers za USA hazikuwepo).<br />
iii. Wanawake wanapokosa haya na kuota mikia.<br />
iv. Qur an itapodharauliwa na kudhalilika.<br />
Bwana Mtume SAW aliendelea mno kuelezea watu juu ya dalili za kiyama baadae<br />
kiasi cha kujenga picha kama hii:<br />
v. Mbali itapokuwa karibu. - ( Ibara hii inadhihirisha umuhimu<br />
wa usafiri kwa vyombo viendavyo mbio kuliko ngamia na<br />
farasi - Kwani wakati farasi anakimbia mfano wa masafa ya<br />
maili sitini kwa saa, roketi itafunika masafa yenye maili<br />
ishirini na tano elfu kwa muda huo huo), na mara mbili ya<br />
roketi, challenger inakwenda maili hamsini elfu katika saa<br />
moja.<br />
vi. Chuma kitapotamka.- ( Mfano wa redio, simu na Telex ambazo<br />
hazikuwepo katika zama zile ).<br />
vii. Mtu mweusi kutawala – ( labda katika zama zile mtawala<br />
mweusi alikuwa ni Mfalme Nagash wa Ethiopia, na katika karne<br />
ya kumi na tisa dunia imejaa watawala weusi, aliyajuaje Bwana<br />
Mtume Muhammad SAW haya?).<br />
18