17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Wakati seyyidna Jibril AS (The holy ghost ) alipomshukia Bwana<br />

Mtume SAW ( katika karne ya saba) ili amfundishe DINI (ISLAM) kwa<br />

njia ya kumuuliza maswali, akawa anasadikisha kila alipojibiwa, swala<br />

lilikuwa moja zito sana. Lakini aliomba afahamishwe dalili zake tu baada<br />

ya kujibiwa kua “Hakuwa mwenye kuulizwa kwacho ( hicho kiyama)<br />

mwenye kujua kuliko muulizaji”. Bwana Mtume SAW alielezea dalili<br />

zake tu, nazo zilikuwa kama hivi:<br />

i. Mjakazi ( Amati – pia ni jam-u ya umma) yaani: mama.<br />

ii. Utaona wenda miguu chini na uchi, wachunga<br />

mbuzi (cowboys) wakipitana kwa majumba marefu marefu<br />

(Zama ambapo sky scrappers za USA hazikuwepo).<br />

iii. Wanawake wanapokosa haya na kuota mikia.<br />

iv. Qur an itapodharauliwa na kudhalilika.<br />

Bwana Mtume SAW aliendelea mno kuelezea watu juu ya dalili za kiyama baadae<br />

kiasi cha kujenga picha kama hii:<br />

v. Mbali itapokuwa karibu. - ( Ibara hii inadhihirisha umuhimu<br />

wa usafiri kwa vyombo viendavyo mbio kuliko ngamia na<br />

farasi - Kwani wakati farasi anakimbia mfano wa masafa ya<br />

maili sitini kwa saa, roketi itafunika masafa yenye maili<br />

ishirini na tano elfu kwa muda huo huo), na mara mbili ya<br />

roketi, challenger inakwenda maili hamsini elfu katika saa<br />

moja.<br />

vi. Chuma kitapotamka.- ( Mfano wa redio, simu na Telex ambazo<br />

hazikuwepo katika zama zile ).<br />

vii. Mtu mweusi kutawala – ( labda katika zama zile mtawala<br />

mweusi alikuwa ni Mfalme Nagash wa Ethiopia, na katika karne<br />

ya kumi na tisa dunia imejaa watawala weusi, aliyajuaje Bwana<br />

Mtume Muhammad SAW haya?).<br />

18

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!