17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

DIBAJI<br />

بسم<br />

هللا الر حمن الر حيم<br />

Tunamshukuru Mwenyeenzi Mungu kwa fadhila zake na neema zake nyingi<br />

sana zisizohesabika. Na Swala na Salaam zimfikie Mtume Muhammad (SAW)<br />

pamoja na ali zake na awaridhiye maswahaba wake wote – Amin.<br />

Amma Baad : Amesema Mola katika Quran takatifu surati <strong>Al</strong> Ankabuut:<br />

Qur an 29 : 1 – 3.<br />

“Watu wanadhani kuwa wataachiwa pindi wakisema kuwa<br />

tumeamini bila ya kupata misukosuko. Hakika tuliwatiya<br />

katika misukosuko wale ambao waliyokuwa kabla yao wao,<br />

kwa yakini mwenyeenzi Mungu atawatambulisha wale walio<br />

wakweli na atawatambulisha wale ambao ni warongo”.<br />

Ni katika moja ya hekima zake Mwenyeenzi Mungu katika kuwapima waumini<br />

kwa viwango vya imani zao kwake yeye kwa kuwaletea aina mbali mbali za<br />

misukosuko na mabalaa. Na ingawa anavijua Kabla ya kuvipima viwango hivyo.<br />

Na Mwenyeenzi Mungu anafanya hivyo kwa kudhihirisha mapenzi yake kwa<br />

anayemleteya misukosuko na mabalaa, kama alivyosema Mtume Muhammad<br />

(SAW):<br />

ان هللا اذااحب عبدا ابتاله فاذاصبر نجاه واذارضا اصطفاه<br />

(Hakika Mwenyenzi Mungu akimpenda mja humpa mabalaa<br />

na kama akisubiri anamuokowa nayo na akiridhika nayo<br />

humchaguwa (kuwa mja wake wa karibu).<br />

Kwa hivyo basi, muumini wa kweli amewajabika kuridhika na hukumu ya<br />

Mwenyenzi Mungu kwake yeye hata ikiwa ina uchungu wa namna gani. Amesema<br />

Mtume Muhammad (SAW) katika <strong>Al</strong>-Hadithi <strong>Al</strong>- kudsiyy;<br />

من لم يزض تقضاى فا لىتجذر تا سوا ى<br />

iv

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!