17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

بسم<br />

هللا الر حمن الر حيم<br />

SIRI YA BALAA:<br />

Bin Adam hana pahala ambapo hupata utakaso wa moyo kama<br />

anapofikwa na balaa. Mfano ambao ameuelezea Mnyezi Mungu<br />

mwenyewe ndani ya Qur an hakuna kama ule anapotokea mtu kuwamo<br />

ndani ya chombo baharini na ghafla ikaanza mchafuko wa hali ya hewa.<br />

Dharuba toka kila upande, mawimbi mazito na makubwa kama mlima<br />

hakuna nchi yeyote karibuni bali ni bahari pana tu, ambayo mwisho wa<br />

mandhari yake mtu kila upande ni ile ya maji kukamatana na mawingu<br />

tu. Mandhari hiyo lau tofauti ni ndogo na ile ya siifu (khasf: yaani:<br />

“ Quick sends” ), ambaye anayetumbukia ndani yake hukiona kifo ni<br />

chenye kumvaa bila ubishi wowote, lakini mtu hujiona kabisa anakufa<br />

na kukata tamaa ya kunusurika kama aliyoipitia Edmond Dause.<br />

<strong>Al</strong>isema:<br />

“The angry waves and the sight of dangerous<br />

rocks told me that death was near. and the<br />

thought of death made me afraid. I used all my<br />

powers as a man and as a sea man to ascape.<br />

But I did so because I was happy, because I<br />

didn`t coated death, and because I didn`t<br />

wish that I, a living thing made by the service<br />

of God, should became food for the birds and<br />

beasts of the sea……..”.<br />

“mawimbi ya ghadhabu na mandhari ya majabali ya<br />

hatari yaliniambia kuwa kifo kilikuwa kimekaribia, na<br />

mawazo ya kifo yalifanza niogope. Nilitumia uwezo<br />

wangu wote kama mwanamme na baharia hasa, ili<br />

kuikwepa ajali hiyo. Lakini nilifanya hivyo kwa sababu<br />

nilikuwa na furaha; kwa sababu sikuwa nimefunikwa na<br />

kifo. Na kwa sababu sikutegemea kuwa mimi kiumbe<br />

chenye uhai uliotengenezwa kwa huduma yake Mnyezi<br />

Mungu, nije kuwa chakula cha ndege na wanyama wa<br />

baharini…“<br />

1

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!