17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

DIBAJI<br />

“Asiyeridhika na hukumu yangu, basi na<br />

awe na mola asiyekuwa mimi”.<br />

Kupendwa na Mwenyenzi Mungu kwa njia ya kuteremshiwa mabalaa na<br />

misukosuko ni moja wapo ya neema zake ambayo inazalisha ndani yake<br />

neema nyinginezo zilizo nzuri na muhimu kwa maisha ya muumini hapa<br />

duniani, ikiwemo neema na sifa ya subira. Na subira kama alivyosema Mtume<br />

Muhammad (SAW):-<br />

ا لصثز نصف ا ال ى مان<br />

Sote tunaelewa kuwa Mtume Muhammad (SAW) ni kipenzi cha<br />

Mwenyeenzi Mungu kuliko watu wote. Na katika historia ya maisha yake<br />

kama Mtume wa Mwenyeenzi Mungu alifiliwa na mke wake wa kwanza bibi<br />

Khadija RA na kufuatiliya kufa ami yake na mlezi wake Bwana Abiy twaalib<br />

katika mwaka mmoja. Na Bwana Mtume aliusiya kwa kuwita mwaka huo ni<br />

mwaka wa huzuni.<br />

Na alipokwenda mjini Twaaif katika mwaka huo huo kuwahubiriya watu<br />

wake ujumbe wa Mwenyeenzi Mungu wa Dini ya Islam walimpiga mawe na<br />

kuukataa. Na kwa kuwa ni kama alivyoamrishwa na Mwenyeenzi Mungu<br />

katika Qurani Takatifu Surat <strong>Al</strong> Ahkaaf kuwa awe mwenye subira: Qur an<br />

46:35.<br />

“ Subiri (ewe Muhammad) kama walivyosubiri Mitume<br />

Uwlu-<strong>Al</strong>-Azim. Nao ni: Mitume Nuhu, Ibrahim, Mussa<br />

na Isa (AS)”v<br />

Subira aliyokuwa nayo Mtume Muhammad (SAW) ndiyo iliyokuwa<br />

moja wapo ya silaha aliyotumia Mtume Muhammad (SAW) katika<br />

kuufanikisha kwa kuufikisha ujumbe wa Mwenyeenzi Mungu kwa watu wote<br />

kama Nabii wa mwisho na Mtume kwa watu wote.<br />

Mwenyenzi Mungu amkubaliye <strong>Al</strong> Marhuum Sheikh Ahmad Sheikh wa<br />

Majaalis – Sinza athari yake hii aliyetuachia na nyinginezo kwa manufaa ya<br />

ndugu zake Waislam, na alijaaliye Kaburi lake (Kibaha ) bustani miungoni<br />

mwa mabustani ya peponi- Amin.<br />

v<br />

Ahmad Haydar Mwinyimvua,<br />

Dar es salaam Tanzania.<br />

14 Ramadhani 1424,<br />

9 November, 2003.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!