17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

بسم<br />

هللا الر حمن الر حيم<br />

UTANGULIZI<br />

<strong>Al</strong>-hamdullilahi wal khayru wash-sharru bima<br />

shiyati Llah. <strong>Al</strong>lahu mma swalli a`laa habibika Seyyidna<br />

Muhammad wa alih waswahbihi ajmaina wat tabi ina lahum<br />

biihsa nin ilaa yawmid dina. Waba`ad:<br />

Inaonyesha kuwa watu wengi wanaishi bila kujua vipi kuishi.<br />

AJABU. Kufa kila mtu anajua, hata mtoto mdogo haitaji<br />

maelezo yoyote kwa suala hilo la kufa. Kutokana na illa hiyo,<br />

tumeonelea iko haja ya kuandika kijitabu kama hiki ambapo<br />

mtu anaweza kustafidi mengi katika suala la kuishi na<br />

kupambana na mitihani ambayo ndiyo hasa lengo lake. Baada<br />

ya kusoma kitabu hiki utashangaa kuona kuwa umefunukiwa<br />

na akili kiupana ambao labda ingekuchukua siku nyingi<br />

kuelewa hakika yake. Balaa, mitihani, fitna na majaribu ni<br />

neno moja ambalo katika kiswahili hatuna sawa yake. Na hata<br />

tukisema misukosuko haitoshelezi kuwa ndiyo balaa, kwa<br />

sababu misukosuko ni neno jingine kabisa. Mnyezi Mungu<br />

ametaja vifwatavyo kama fitna kubwa kwa mtu ; pesa, mke,<br />

watoto, mali, njaa, mauti, upungufu wa mali na kadhalika.<br />

Lakini wengi watashangazwa na listi hiyo pamoja na kuwa<br />

navyo vitu hivyo siku nyingi sana zilizokwisha kupitia<br />

maishani mwetu. Kila kitu kinategemea ilmu na hakuna lolote<br />

ambalo tunalifanza halina ilmu ndani yake.<br />

Qur an Suratul Twaha 20:50.<br />

"(Musa) akasema: “Mola wetu ni yule liyekipa<br />

kila kitu umbo lake kisha akakiongoza (kufuata kinachowafiki<br />

umbo lake hilo).”<br />

Bila ilmu hatuwezi kuongoza njia - Ndo maana Bwana Mtume<br />

SWA. katuambia:<br />

طَلب العلم فريضة على كل مسلم ومسلمة<br />

ii

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!