17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Dajjaal ataingia kila nchi duniani kudanganya na kufitinisha watu.<br />

Ulaghai atoutumia kama vile kumfufua aliekufa siku nyingi na kuleta<br />

mvua na kuotesha mazao mashambani utavutia watu mno kiasi cha<br />

kumwamini kuwa mungu. Yeye atakuwa na pepo na moto. Wataomkubali<br />

atawatia ndani ya pepo yake, wataomkataa atawatia motoni. Lakini ukweli<br />

wa mambo ni kinyume nyume. Watoingizwa peponi ndiyo watoingia<br />

motoni, na wale watoingia motoni ndiyo watoingia pepo ya Mnyezi<br />

Mungu wa kweli. Nchi pekee ambazo hataingia Dajjaal ni Makka na<br />

Madina.<br />

3. Kuteremka seyyidna Isa AS. (Ambaye<br />

atakuja kumpiga vita na kumuondoa (huyo<br />

Dajjaal). Baadaye ataishi siyo kama Mtume, bali<br />

kama mja mwema aliye mchaji ). – Ataoa ataishi<br />

miaka arubaini atakufa, na Madina katika Rawdha<br />

karibu ya Bwana Mtume SAW ndipo atazikwa.<br />

4. Kutokea Juju wa Majuju. (Ambao Dhyl Qarneyn)<br />

aliyewafungia ndani ya ukuta fulani tangu siku hizo hadi leo<br />

hii bila shaka.<br />

5. Kutokea kwa Dabba. (Mnyama wa ajabu ). Mnyama huyu<br />

atawasemeza watu yale ambayo wanakataa kuyakinisha.<br />

Hakika hii .inafahamishwa kwetu na Qur an ya Mnyezi<br />

Mungu; kwa kila mtu kujipatia mwangaza wa mbele kabla<br />

kuwadia wakati wake ambao kutokea karne hii ya ishirini na<br />

moja sio mbali tena.<br />

Tunaanza kuzoeshwa kumzowea mnyama huyo kabla ya kufika<br />

kwake ili tu, tusifikie mshtuko ambao unaweza kuitoa roho ya mtu mbichi<br />

mbichi. Mfano wa “Mapi show” Unajihusisha vizuri sana.<br />

Mnyama huyo atakuwa na mwendo mkali mno, hatakikosa<br />

atakachokifukuza wala hakitampata kitachomfukuza. Ataandika usoni<br />

mwa muumini: “huyu ni mtu wa peponi”. Na uso wa mtu huyo utang`aa<br />

sana. Na katika uso wa mtu wa motoni ataandika: “huyu ni ka fir” na uso<br />

wake utapiga weusi. Na leo praktizi za kujitia weusi zimeanza hali ya<br />

kuwa huyo Dabba wenyewe hajaja. Dabba atakuwa miungoni mwa dalili<br />

za mwisho tena.<br />

6. Kuchomoza jua magharibi ya ardhi:<br />

Hii ni ishara ya wazi wazi yenye kuogofya ( kuogopesha)<br />

mno – <strong>Al</strong>lahu Akbar. Bila ya shaka ionekanapo hitilafu<br />

katika maumbile bin adam hushangaa,<br />

20

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!