17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

WAKATI<br />

Na tarehe yetu yote ni daraja sekunde dakika na saa – SAA!<br />

Wakati umegawika katika mafungu matatu, manne :<br />

i. Uliopita ( Past )<br />

ii. Uliopo ( present )<br />

iii. Ujao ( future )<br />

iv. Milele ( Eternal or Eternity ).<br />

Waliopita huenda waliyajua ya kwetu kama: yajayo; na<br />

wajao hawajui ya kwetu wala waliopita na yajayo. Kwa hivyo<br />

sisi tumekuwa bora kuliko waliopita. Mnyezi Mungu anasema<br />

(ili kuthibitisha ubora wetu kwa kawli fupi kama hii): Qur an<br />

3:110.<br />

“Nyinyi (ndio mmekua ) umma bora (miongoni mwa<br />

nyumma) zilizoletwa kwa watu------“.<br />

Hadithi:<br />

Imetokana na Seyyidna Omar (R.A) alisema:<br />

“Siku moja tulikuwa tumekaa na Bwana Mtume<br />

SAW. Hapo alitokea mtu ambaye nguo zake<br />

zilikuwa nyeupe Pepe na nywele zake zilikuwa<br />

nyeusi sana; hakuwa na alama ya machofu<br />

ya safari na wala hapakuwa na hata mmoja<br />

katika sisi aliyemtambua. <strong>Al</strong>ienda akakaa karibu<br />

na Bwana Mtume SAW. Akiweka magoti yake<br />

karibu na magoti ya Bwana Mtume SAW aliweka<br />

viganja vyake juu ya mapaja yake, akasema<br />

“Ewe Muhammad nambie kuhusu Uislamu.”<br />

Mtume wa ALLAH SWT alisema: “Uislamu ni<br />

Kukiri kuwa hakuna Mungu isipokuwa ALLAH<br />

16

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!