17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Amma kwa dalili za kiyama, kila muislamu anajua kwa hiyo siyo<br />

rahisi kuvutiwa na hadithi za dhana dhana na kudanganya watu. Mfano<br />

wa utabiri wa Pop wa 1959 kuwa mwaka 1960 ingekuwa mwisho wa<br />

dunia. Miaka arubaini baadaye utabiri wa Nishel Nostrodamus kwa july<br />

4 na kama hizo. Kiama hakitatokea ila chini ya bendera ya uislam.<br />

Kiama hakitatokea mpaka akosekane katika uso wa ardhi ambaye<br />

anasema: “<strong>Al</strong>lah, <strong>Al</strong>lah"; Lau baadhi ya dalili zimeisha jitokeza,<br />

mfano wa kwenda uchi, wanawake kukosa haya, wanawake kuwa na<br />

mikia, na nundu kama ya ngamia kichwani, mbali kuwa karibu, vyuma<br />

kuzungumza na mtu mweusi kutawala. Lakini hizo tisa bado kuanza<br />

hata moja. Mambo yatakapokuwa tayari, bila shaka yeyote tutaanza<br />

kuzishuhudia moja baada ya moja kama tutakuwepo.<br />

23

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!