You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
mashaka na madhara na wakatetemeshwa<br />
sana hata mitume walioamini pamoja nao<br />
wakasema: “Nusura ya Mwenyezi Mungu itafika<br />
lini?”. Jueni kuwa nusura ya Mwenyezi Mungu<br />
iko karibu”.<br />
Zipo balaa za kujitafutia mtu mwenyewe- mathalan mtu<br />
kutumbukiza kidole mwenye sega la nyuki na wenyewe wamo ndani.<br />
Zipo balaa nyingine Mnyezi Mungu anaelezea mwenye Qur an<br />
2:195<br />
“Na toeni katika njia ya Mwenyezi Mungu, wala<br />
msijitie kwa mikono yenu katika maangamizi –<br />
zo. Na fanyeni wema, hakika Mwenyezi Mungu<br />
huwapenda wafanyao wema”.<br />
Na mifano kama hiyo mingi Mnyezi Mungu kwa rehma zake<br />
atukinge nayo. Mnyezi Mungu anafundisha tena jinsi ambavyo<br />
tutaweza kufaulu katika kukabiliana na mitahani yake. Ni kama<br />
anaetoa jawabu zake mbele kabla ya mitihani kuletwa: Qur an<br />
2:153<br />
7