17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

mashaka na madhara na wakatetemeshwa<br />

sana hata mitume walioamini pamoja nao<br />

wakasema: “Nusura ya Mwenyezi Mungu itafika<br />

lini?”. Jueni kuwa nusura ya Mwenyezi Mungu<br />

iko karibu”.<br />

Zipo balaa za kujitafutia mtu mwenyewe- mathalan mtu<br />

kutumbukiza kidole mwenye sega la nyuki na wenyewe wamo ndani.<br />

Zipo balaa nyingine Mnyezi Mungu anaelezea mwenye Qur an<br />

2:195<br />

“Na toeni katika njia ya Mwenyezi Mungu, wala<br />

msijitie kwa mikono yenu katika maangamizi –<br />

zo. Na fanyeni wema, hakika Mwenyezi Mungu<br />

huwapenda wafanyao wema”.<br />

Na mifano kama hiyo mingi Mnyezi Mungu kwa rehma zake<br />

atukinge nayo. Mnyezi Mungu anafundisha tena jinsi ambavyo<br />

tutaweza kufaulu katika kukabiliana na mitahani yake. Ni kama<br />

anaetoa jawabu zake mbele kabla ya mitihani kuletwa: Qur an<br />

2:153<br />

7

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!