17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

hushtuka na pengine humiliki hali fulani akataka afanze<br />

ambalo uwezo wake ungeruhusu.<br />

Viumbe vyote vimezoea kuona jua likichomoza toka mashariki ya<br />

dunia kwenda magharibi. Lakini siku hiyo litachomoza toka magharibi<br />

na kuja zake hadi katikati ( kama inavyokuwa saa sita, saa za kulingana<br />

kinvuli ), na litarudi huko huko maghribi.<br />

7. Utapodhihiri moshi: Moshi uliokusudiwa hapa ni ambao<br />

utaenea dunia nzima. Moshi huu utakuwepo duniani muda wa<br />

siku arubaini. Moshi utakuwa ukitoka puani, machoni na<br />

kwenye duburi ( tupu ya nyuma ) ya kila kafir mpaka<br />

ataonekana kama mlevi.<br />

Hali hii ya kuonekana watu walevi na hali hawakunywa pombe,<br />

bali ni adhabu ya Mnyezi Mungu ni kali. Imetajwa ndani ya Qur an<br />

ikiashiria juu ya dalili za kiama vile zitavyojionyesha. Taathira ya<br />

moshi kwa muumini itakuwa kama mafua mafua tu hivi. –<br />

Hizi ni miungoni mwa taabira ( prophecies ) alizozielezea Bwana<br />

Mtume SAW. Na kila mtu ni muhimu azijue mapema na kuwafundisha<br />

watoto wake.<br />

8. Kuharibika <strong>Al</strong> Kaaba: Baada ya kufa nabii Isa AS. Na<br />

kuzikwa Madina, <strong>Al</strong> kaaba itaharibika juu ya mikono ya<br />

Habash.<br />

Katika karne ya saba wakati wa uzawa wa Bwana Mtume SAW<br />

<strong>Al</strong> kaaba ilitaka kuharibiwa na Abraha – Ambaye alikuwa mfalme<br />

muhabesh aliyeweka jeshi lake Yemen. Mnyezi Mungu alituma jeshi la<br />

ndege -Ababiil - wakiwa na vijiwe midomoni idadi ya jeshi zima la<br />

Abraha, wakawa kama majani yaliyotafunwa na kisha yakatemwa.<br />

Baada ya tukio hilo hakuna nchi yeyote duniani iliyojasiri kutaka<br />

kuihujumu nyumba ya Mnyezi Mungu mpaka hii leo. Lakini<br />

ipo kawli toka kwa Bwana Mtume SAW kuwa katika akheriz zaman<br />

madola makubwa ya dunia yatapata kishawishi kutaka kuihujumu<br />

lakini Mnyezi Mungu atawateremshia mabalaa mjini mwao washindwe<br />

kujitambua nafsi zao. Hakika ya <strong>Al</strong> kaaba inabaki kuwa ni nyumba ya<br />

Mnyezi Mungu ambayo iliyojengwa na Seyyidna Ibrahim ASW.<br />

akisaidiana na mwanawe Seyyidna Ismail AS. Na ni pahala pa amani<br />

siku zote, na hilo limetimia tangu wakati wa seyyidna Ibrahim ASW<br />

mpaka leo, si chini ya miaka elfu sita iliyokwishapita.<br />

21

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!