17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“Enyi mliomini jisaidieni (katika mambo<br />

yenu) kwa subira na sala, bila shaka<br />

Mwenyezi Mungu yu pamoja na wanaosubiri.”<br />

Mnyezi Mungu ndiyo huba kubwa (The greatest love). Na kila<br />

anayependa hua hapendi kuwa (kukaa) mbali na mpenzi wake. Basi ikiwa<br />

amri ya mambo ndiyo iko hivyo, basi ni budi kuzidisha subra zetu kila<br />

siku. Fakhri iliyoje kwa watu kusikia kuwa Rais au Mfalme wa nchi yuko<br />

kwa fulani. Siyo yeye yuko kwa Rais au Mfalme, Aa! Rais au Mfalme ndo<br />

yuko kwake au yuko pamoja naye.<br />

Hakuna njia ambapo anafikilia mja katika bahri ya mapenzi yake<br />

kwa Mnyezi Mungu ila kwa kupitia mabalaa. Lakini kwa sababu nafsi ya<br />

neno lenyewe Balaa siyo kiswahili, uzito wake umekuwa na sura ya<br />

tofauti na vile lilivyo hasa. Katika lugha ya kiswahili Balaa inatupa<br />

tafhuma ya hatari isiyoweza kusubiria ndani yake. Na pia inapotafsiriwa<br />

kuwa ni Fitna ndiyo kabisa na inapotafsiriwa kuwa ni mitihani hapa<br />

kidogo ule mmeremeto wa ubaya unapungua kasi. Kadhalika Majaribio<br />

yote ikiwa ni neno lile lile lakini uzito unazidi kupungua, pamoja na kuwa<br />

kwake maneno yote hayo –Balaa, Fitna, Mitihani na Majaribio hakuna<br />

hata moja la kiswahili. Sasa ikiwa hatujapata neno la kiswahili kwa –<br />

“Balaa”- vipi tunaelewa tutakavyo tu. Mnyezi Mungu anatwambia: Qur<br />

an 47:31.<br />

“Na tutakufanyieni mitihani mpaka<br />

tuwadhihirishe (wajulikane ) wale<br />

wanaopigania dini miongoni mwenu na<br />

wanaosubiri, nasi tutadhihirisha habari<br />

zenu.”<br />

8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!