17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Na Muhammad ni Mjumbe wake, kusali, kutoa<br />

zaka, kufunga Ramadhani, na kwenda Ma<br />

kka ukiweza”. “Umesema kweli”, alisadikisha<br />

yule mgeni. Tulipigwa na mshangao kwa kumuuliza<br />

na kisha yeye muulizaji kusadikisha.<br />

Akauliza tena “Nambie kuhusu Imaan”. Akamjibu<br />

Ni kumwamini Mnyezi Mungu, Malaika<br />

Wake, vitabu Vyake, Mitume wake, Siku ya<br />

kiyama na kuamini kuwa kheri na shari zote<br />

Zinatoka kwake.” “Umesema kweli” akasadi-<br />

Kisha yule mgeni. Akauliza tena: “Hebu<br />

Nieleze juu ya Ihsan”. <strong>Al</strong>isema SAW: Ni kumuabudu<br />

Mnyezi Mungu kama vile unamuona japokuwa<br />

humuoni yeye anakuona.” Akauliza<br />

tena. “Niambie juu ya kiyama”. Bwana Mtume<br />

SAW alisema: “Anaeulizwa hajui zaidi<br />

Kuliko aneuliza”. Yule mgeni akasema: “Nambie<br />

alama zake”. <strong>Al</strong>isema SAW “Kijakazi atamz<br />

aa bwana wake na utaona wachunga wenda<br />

miguu chini, wenda uchi, mafukara (wasiokuwa<br />

na hata makazi) wakishindana kujenga majumba<br />

ya fakhri. Muda mfupi baada ya yule mgeni<br />

kuondoka, Bwana mtume SAW akauliza:<br />

“Ewe Omar jee unamjua ni nani yule aliekuwa<br />

akiuliza? “ Nilisema “Mnyezi Mungu na Mjumbe<br />

wake wanajua zaidi.” <strong>Al</strong>isema ni Jibril<br />

alikuja kuwafundisha Dini yenu (Kwa njia ya<br />

maswali)”.<br />

Imepokewa na Muslim.<br />

17

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!