Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Na Muhammad ni Mjumbe wake, kusali, kutoa<br />
zaka, kufunga Ramadhani, na kwenda Ma<br />
kka ukiweza”. “Umesema kweli”, alisadikisha<br />
yule mgeni. Tulipigwa na mshangao kwa kumuuliza<br />
na kisha yeye muulizaji kusadikisha.<br />
Akauliza tena “Nambie kuhusu Imaan”. Akamjibu<br />
Ni kumwamini Mnyezi Mungu, Malaika<br />
Wake, vitabu Vyake, Mitume wake, Siku ya<br />
kiyama na kuamini kuwa kheri na shari zote<br />
Zinatoka kwake.” “Umesema kweli” akasadi-<br />
Kisha yule mgeni. Akauliza tena: “Hebu<br />
Nieleze juu ya Ihsan”. <strong>Al</strong>isema SAW: Ni kumuabudu<br />
Mnyezi Mungu kama vile unamuona japokuwa<br />
humuoni yeye anakuona.” Akauliza<br />
tena. “Niambie juu ya kiyama”. Bwana Mtume<br />
SAW alisema: “Anaeulizwa hajui zaidi<br />
Kuliko aneuliza”. Yule mgeni akasema: “Nambie<br />
alama zake”. <strong>Al</strong>isema SAW “Kijakazi atamz<br />
aa bwana wake na utaona wachunga wenda<br />
miguu chini, wenda uchi, mafukara (wasiokuwa<br />
na hata makazi) wakishindana kujenga majumba<br />
ya fakhri. Muda mfupi baada ya yule mgeni<br />
kuondoka, Bwana mtume SAW akauliza:<br />
“Ewe Omar jee unamjua ni nani yule aliekuwa<br />
akiuliza? “ Nilisema “Mnyezi Mungu na Mjumbe<br />
wake wanajua zaidi.” <strong>Al</strong>isema ni Jibril<br />
alikuja kuwafundisha Dini yenu (Kwa njia ya<br />
maswali)”.<br />
Imepokewa na Muslim.<br />
17