17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

TUKIO LA KIYAMA:<br />

Tofauti kati ya mwislamu na kafiri ni kuamini mambo ya ghayb ( fact<br />

in exisence) mwislamu ni lazima aamini kiyama kuwa kitakuja bila<br />

shaka yeyote (without any doubt) lau sio lazima kujua kuja kwake.<br />

Qur an Naziat 79:42-44<br />

“Wanakuuliza kiyama kutokea kwake<br />

kutakua lini?. Uko wapi na kuweza<br />

kutaja (wakati wa kuja kiyama ). Mwisho<br />

(wa ujuzi ) wake uko kwa Mola wako.”<br />

Mnyezi Mungu anamweleza Mtume wake Nabii Muhammad<br />

SAW kwa kawli ya wazi wazi kua kipo, hicho kiyama, lakini wale tu<br />

wanaokiogopa ambao watakumbushika, wengine laa !. Na katika dalili<br />

za wazi wazi ambazo ni muhimu kuzijua kwa jicho la mazingatio ya<br />

hali ya juu kabisa ni hizi:<br />

1. Kudhihiri Mahdi<br />

2. Kutokea kwa Dajjaal (Atazaliwa akiwa na jicho moja<br />

kama walivyokuwa kawmu NISA. (Amerika katika noti<br />

yao ya dola 100 ambapo inaonyesha picha ya jicho moja,<br />

utadhani walipata habari zake).<br />

Huyo mlaghai mkubwa jitu moja lenye fitna kubwa kabisa,<br />

ambaye atadai uungu kama alivyodai Firauni wa zama za Nabii Mussa<br />

AS, na tofauti ya muda wa Firauni miaka mia nne, Dajjaal atadumu<br />

duniani kwa muda wa siku arubaini ambazo ni tofauti na siku ya<br />

kawaida. Siku kumi za mwanzo kila siku moja itakuwa kama mwaka<br />

(kwa hiyo ni miaka kumi) siku kumi za pili kila siku moja kama mwezi.<br />

Siku kumi za tatu kila siku yake ni kama wiki moja Na siku kumi za<br />

mwisho kila siku ni kama siku ya kawaida.<br />

Kwa hiyo, siku kumi za mwanzo ni kama miaka kumi. Kumi la pili ni kama<br />

miezi kumi. Kumi la tatu ni siku sabini, ( yaani miezi miwili na siku kumi). Na kumi la<br />

nne ni siku kumi. Jumla ni miaka kumi na mbili na siku ishirini.<br />

19

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!