You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
TUKIO LA KIYAMA:<br />
Tofauti kati ya mwislamu na kafiri ni kuamini mambo ya ghayb ( fact<br />
in exisence) mwislamu ni lazima aamini kiyama kuwa kitakuja bila<br />
shaka yeyote (without any doubt) lau sio lazima kujua kuja kwake.<br />
Qur an Naziat 79:42-44<br />
“Wanakuuliza kiyama kutokea kwake<br />
kutakua lini?. Uko wapi na kuweza<br />
kutaja (wakati wa kuja kiyama ). Mwisho<br />
(wa ujuzi ) wake uko kwa Mola wako.”<br />
Mnyezi Mungu anamweleza Mtume wake Nabii Muhammad<br />
SAW kwa kawli ya wazi wazi kua kipo, hicho kiyama, lakini wale tu<br />
wanaokiogopa ambao watakumbushika, wengine laa !. Na katika dalili<br />
za wazi wazi ambazo ni muhimu kuzijua kwa jicho la mazingatio ya<br />
hali ya juu kabisa ni hizi:<br />
1. Kudhihiri Mahdi<br />
2. Kutokea kwa Dajjaal (Atazaliwa akiwa na jicho moja<br />
kama walivyokuwa kawmu NISA. (Amerika katika noti<br />
yao ya dola 100 ambapo inaonyesha picha ya jicho moja,<br />
utadhani walipata habari zake).<br />
Huyo mlaghai mkubwa jitu moja lenye fitna kubwa kabisa,<br />
ambaye atadai uungu kama alivyodai Firauni wa zama za Nabii Mussa<br />
AS, na tofauti ya muda wa Firauni miaka mia nne, Dajjaal atadumu<br />
duniani kwa muda wa siku arubaini ambazo ni tofauti na siku ya<br />
kawaida. Siku kumi za mwanzo kila siku moja itakuwa kama mwaka<br />
(kwa hiyo ni miaka kumi) siku kumi za pili kila siku moja kama mwezi.<br />
Siku kumi za tatu kila siku yake ni kama wiki moja Na siku kumi za<br />
mwisho kila siku ni kama siku ya kawaida.<br />
Kwa hiyo, siku kumi za mwanzo ni kama miaka kumi. Kumi la pili ni kama<br />
miezi kumi. Kumi la tatu ni siku sabini, ( yaani miezi miwili na siku kumi). Na kumi la<br />
nne ni siku kumi. Jumla ni miaka kumi na mbili na siku ishirini.<br />
19