17.02.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Wengine hufanza Tawasssul nyingi nyingi tu, kwa sababu<br />

Mnyezi Mungu ni mwenye kupenda kuombwa na huchukia asipoombwa.<br />

Kinyume na sisi. Tusipoombwa hufurahi, na tunachukia - illa wachache tu<br />

labda, tunapoombwa. Mnyezi Mungu anawataja waja wake wema kwa<br />

kutuambia: Qur an 51:19<br />

“Na katika mali zao ilikuwako haki ya kupewa<br />

maskini aombaye na ajizuiaye kuomba.”<br />

Pia katika Suratul Ma’arij 70:24-25.<br />

“Na ambao katika mali zao iko sehemu maalumu.<br />

Kwa ajili ya aombaye na anayejizuilia kuomba<br />

(japo muhitaji)”.<br />

Sisi tunajitoa katika sifa tukufu kama hizo kwa kuchukia kuombwa.<br />

Kwa hiyo kumuomba Mnyezi Mungu ndiyo jawabu tunapokuwa mwenye<br />

mabalaa. Siku nyingi zilizopita waliteseka baadhi ya watu kwa sababu ya<br />

kumuomba Mnyezi Mungu mpaka ikafikia kuambiwa: Qur an 22:40<br />

10

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!