Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Wengine hufanza Tawasssul nyingi nyingi tu, kwa sababu<br />
Mnyezi Mungu ni mwenye kupenda kuombwa na huchukia asipoombwa.<br />
Kinyume na sisi. Tusipoombwa hufurahi, na tunachukia - illa wachache tu<br />
labda, tunapoombwa. Mnyezi Mungu anawataja waja wake wema kwa<br />
kutuambia: Qur an 51:19<br />
“Na katika mali zao ilikuwako haki ya kupewa<br />
maskini aombaye na ajizuiaye kuomba.”<br />
Pia katika Suratul Ma’arij 70:24-25.<br />
“Na ambao katika mali zao iko sehemu maalumu.<br />
Kwa ajili ya aombaye na anayejizuilia kuomba<br />
(japo muhitaji)”.<br />
Sisi tunajitoa katika sifa tukufu kama hizo kwa kuchukia kuombwa.<br />
Kwa hiyo kumuomba Mnyezi Mungu ndiyo jawabu tunapokuwa mwenye<br />
mabalaa. Siku nyingi zilizopita waliteseka baadhi ya watu kwa sababu ya<br />
kumuomba Mnyezi Mungu mpaka ikafikia kuambiwa: Qur an 22:40<br />
10