16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

la Mw<strong>and</strong>ishi Maalum. Ulinzi unaeleweka kuwa<br />

pamoja na ulinzi wa watetezi wenyewe na ulinzi wa<br />

haki yao ya kutetea haki <strong>za</strong> binadamu.<br />

Mkakati wa ulinzi na hatua ya kuwaunga mkono<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu ieleweke kama zile<br />

juhudi zote ikiwa ni pamoja na <strong>za</strong> kisiasa, kisheria na<br />

kiutendaji, ambazo husaidia kuboresha mazingira<br />

ambayo watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu hufanyia kazi.<br />

Hatua <strong>za</strong> ulinzi zenye ufanisi <strong>za</strong>idi ni zile ambazo zina<br />

matokeo ya pamoja na zile zinazoendeshwa kwa<br />

utashi wa kisiasa. Kuendele<strong>za</strong> na kulinda haki ya<br />

kutetea haki <strong>za</strong> binadamu kimsingi hailindi tu haki<br />

ya kufanya kazi ya haki <strong>za</strong> binadamu bali pia kulinda<br />

wale wana<strong>of</strong>anya kazi hii na kuilinda kazi yenyewe.<br />

Kwa maneno mengine, ni kuhusu kulinda haki <strong>za</strong><br />

kisheria hali kadhalika heshima ya maumbile ya mtu<br />

na mazingira ya kazi.<br />

(B) Mta<strong>za</strong>mo mpana wa ufafanuzi wa<br />

istilahi ‘watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu’<br />

Azimio halitaji mahali popote katika ma<strong>and</strong>iko haya<br />

istilahi ‘mtetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu’. Linataja’’<br />

Watu binafsi, Vikundi na Vyombo vya Kijamii’’. Bila<br />

shaka, hiki ni kigezo cha shida iliyokuwepo wakati<br />

wa mchakato wa mazungumzo na wa ku<strong>and</strong>ika<br />

rasimu. Si kwamba tu kipindi ilichochukua kupitisha<br />

Azimio hili kilikuwa kirefu sana bali pia jina la Azimio<br />

linadhihirisha ugumu ulioukabili mchakato mzima.<br />

Hata hivyo, kukosekana kwa ufafanuzi wa sentensi<br />

moja kungewe<strong>za</strong> kumaanisha kwamba kuna fursa<br />

kwa mshika madaraka kutumia mta<strong>za</strong>mo wa jumla<br />

na mpana kwa kundi lengwa.<br />

Kila itakavyokuwa, masuala yafuatayo yanahitaji<br />

kubaki kwa kumfikiria atakayekuwa chini ya ulinzi wa<br />

Azimio hili.<br />

Watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu hutambuliwa <strong>za</strong>idi<br />

ya wote kutokana na kile wanach<strong>of</strong>anya na istilahi<br />

hii inawe<strong>za</strong> ikaelezewa vizuri <strong>za</strong>idi kwa njia ya<br />

maelezo ya matendo yao na ya baadhi ya mazingira<br />

wanay<strong>of</strong>anyia kazi.<br />

Watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu lazima wafafanulike<br />

na kukubalika kwa mujibu wa haki wanazotetea na<br />

kwa mujibu wa haki yao ya kufanya hivyo, ilimradi<br />

wafanye hivyo kwa njia ya amani. Jambo muhimu<br />

<strong>za</strong>idi katika kumpambanua mtu kama mtetezi wa<br />

haki <strong>za</strong> binadamu si cheo cha mtu au jina la shirika<br />

anal<strong>of</strong>anyia kazi, bali sifa bainifu ya kazi ya haki <strong>za</strong><br />

binadamu inay<strong>of</strong>anyika. Watu wengi hutumikia<br />

kama watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu hata kama kazi<br />

<strong>za</strong>o <strong>za</strong> kila siku zinaelezwa katika istilahi t<strong>of</strong>auti, kwa<br />

mfano kama “maendeleo”. Watu wengi hufanya kazi<br />

kama watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu nje ya mazingira<br />

ya taaluma au ajira yoyote.<br />

Katika Afrika, watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu ni<br />

pamoja na watu ambao wenyewe wanawe<strong>za</strong><br />

wasijieleze hivyo, lakini ambao matokeo ya shughuli<br />

<strong>za</strong>o katika uhamasishaji au taaluma au vinginevyo<br />

huendele<strong>za</strong> heshima ya haki <strong>za</strong> binadamu barani<br />

Afrika.<br />

“Watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu” ni istilahi<br />

inayotumika kuelezea watu ambao, mtu binafsi au<br />

pamoja na watu wengine, huendele<strong>za</strong> au kulinda<br />

haki <strong>za</strong> binadamu. Imekuwa ikitumika <strong>za</strong>idi tangu<br />

kupitishwa kwa Azimio kuhusu watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu mwaka 1998. Hadi wakati huo, maneno<br />

kama vile “mwanaharakati” wa haki <strong>za</strong> binadamu,<br />

“mtaalamu”, “mfanyakazi” au “kufuatilia” yamekuwa<br />

ya kawaida. Istilahi “watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu”<br />

inaonekana kama istilahi husika na inay<strong>of</strong>aa <strong>za</strong>idi.<br />

Mifano ya shughuli <strong>za</strong> watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

ambayo kwa kawaida hutolewa si orodha kamili.<br />

Jaribio muhimu ni kama mtu anatetea haki <strong>za</strong><br />

binadamu au la.<br />

(C) Mta<strong>za</strong>mo wa kik<strong>and</strong>a wa utekele<strong>za</strong>ji<br />

wa Azimio<br />

Mshika madaraka ya Umoja wa Mataifa daima<br />

alikuwa akiele<strong>za</strong> haja ya kutekele<strong>za</strong> Azimio la<br />

Umoja wa Mataifa kwa mta<strong>za</strong>mo wa kik<strong>and</strong>a na<br />

huu ulikuwa ujumbe wa Bi Hila Jilani kwa Tume ya<br />

Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu,<br />

kikao kilich<strong>of</strong>anyika Pretoria mwezi Mei, 2002.<br />

Mwitikio kutoka Amerika, Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya<br />

na Afrika unatia moyo. Katika suala hili, changamoto<br />

ni Mashariki ya Kati na Asia ambako hakuna chombo<br />

cha kik<strong>and</strong>a kinach<strong>of</strong>anana.<br />

Ili kuweka mta<strong>za</strong>mo huu katika vitendo, Bibi<br />

Margaret Sekaggya na mwen<strong>za</strong>ke Bibi Reine Alapini-<br />

Gansou katika Tume ya Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu (angalia chini) walifanya<br />

ziara ya pamoja nchini Togo mwaka 2008. Wa<strong>and</strong>ishi<br />

Maalum wa Umoja wa Mataifa na Afrika pia walitoa<br />

taarifa ya pamoja katika vyombo vya habari.<br />

Matendo haya hufanya mapendekezo yao yajulikane<br />

na kuyapa uzito <strong>za</strong>idi, na jitihada zinaendelea ili<br />

kuhamasisha ushirikiano kama huo kwa mapana<br />

<strong>za</strong>idi kati ya Umoja wa Mataifa na taratibu maalum<br />

<strong>za</strong> Afrika.<br />

(D) Mawasiliano na watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu<br />

Kwan<strong>za</strong> kabisa, Mw<strong>and</strong>ishi Maalum anajaribu<br />

kupatikana na watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili 5

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!