Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
la Mw<strong>and</strong>ishi Maalum. Ulinzi unaeleweka kuwa<br />
pamoja na ulinzi wa watetezi wenyewe na ulinzi wa<br />
haki yao ya kutetea haki <strong>za</strong> binadamu.<br />
Mkakati wa ulinzi na hatua ya kuwaunga mkono<br />
watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu ieleweke kama zile<br />
juhudi zote ikiwa ni pamoja na <strong>za</strong> kisiasa, kisheria na<br />
kiutendaji, ambazo husaidia kuboresha mazingira<br />
ambayo watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu hufanyia kazi.<br />
Hatua <strong>za</strong> ulinzi zenye ufanisi <strong>za</strong>idi ni zile ambazo zina<br />
matokeo ya pamoja na zile zinazoendeshwa kwa<br />
utashi wa kisiasa. Kuendele<strong>za</strong> na kulinda haki ya<br />
kutetea haki <strong>za</strong> binadamu kimsingi hailindi tu haki<br />
ya kufanya kazi ya haki <strong>za</strong> binadamu bali pia kulinda<br />
wale wana<strong>of</strong>anya kazi hii na kuilinda kazi yenyewe.<br />
Kwa maneno mengine, ni kuhusu kulinda haki <strong>za</strong><br />
kisheria hali kadhalika heshima ya maumbile ya mtu<br />
na mazingira ya kazi.<br />
(B) Mta<strong>za</strong>mo mpana wa ufafanuzi wa<br />
istilahi ‘watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu’<br />
Azimio halitaji mahali popote katika ma<strong>and</strong>iko haya<br />
istilahi ‘mtetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu’. Linataja’’<br />
Watu binafsi, Vikundi na Vyombo vya Kijamii’’. Bila<br />
shaka, hiki ni kigezo cha shida iliyokuwepo wakati<br />
wa mchakato wa mazungumzo na wa ku<strong>and</strong>ika<br />
rasimu. Si kwamba tu kipindi ilichochukua kupitisha<br />
Azimio hili kilikuwa kirefu sana bali pia jina la Azimio<br />
linadhihirisha ugumu ulioukabili mchakato mzima.<br />
Hata hivyo, kukosekana kwa ufafanuzi wa sentensi<br />
moja kungewe<strong>za</strong> kumaanisha kwamba kuna fursa<br />
kwa mshika madaraka kutumia mta<strong>za</strong>mo wa jumla<br />
na mpana kwa kundi lengwa.<br />
Kila itakavyokuwa, masuala yafuatayo yanahitaji<br />
kubaki kwa kumfikiria atakayekuwa chini ya ulinzi wa<br />
Azimio hili.<br />
Watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu hutambuliwa <strong>za</strong>idi<br />
ya wote kutokana na kile wanach<strong>of</strong>anya na istilahi<br />
hii inawe<strong>za</strong> ikaelezewa vizuri <strong>za</strong>idi kwa njia ya<br />
maelezo ya matendo yao na ya baadhi ya mazingira<br />
wanay<strong>of</strong>anyia kazi.<br />
Watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu lazima wafafanulike<br />
na kukubalika kwa mujibu wa haki wanazotetea na<br />
kwa mujibu wa haki yao ya kufanya hivyo, ilimradi<br />
wafanye hivyo kwa njia ya amani. Jambo muhimu<br />
<strong>za</strong>idi katika kumpambanua mtu kama mtetezi wa<br />
haki <strong>za</strong> binadamu si cheo cha mtu au jina la shirika<br />
anal<strong>of</strong>anyia kazi, bali sifa bainifu ya kazi ya haki <strong>za</strong><br />
binadamu inay<strong>of</strong>anyika. Watu wengi hutumikia<br />
kama watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu hata kama kazi<br />
<strong>za</strong>o <strong>za</strong> kila siku zinaelezwa katika istilahi t<strong>of</strong>auti, kwa<br />
mfano kama “maendeleo”. Watu wengi hufanya kazi<br />
kama watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu nje ya mazingira<br />
ya taaluma au ajira yoyote.<br />
Katika Afrika, watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu ni<br />
pamoja na watu ambao wenyewe wanawe<strong>za</strong><br />
wasijieleze hivyo, lakini ambao matokeo ya shughuli<br />
<strong>za</strong>o katika uhamasishaji au taaluma au vinginevyo<br />
huendele<strong>za</strong> heshima ya haki <strong>za</strong> binadamu barani<br />
Afrika.<br />
“Watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu” ni istilahi<br />
inayotumika kuelezea watu ambao, mtu binafsi au<br />
pamoja na watu wengine, huendele<strong>za</strong> au kulinda<br />
haki <strong>za</strong> binadamu. Imekuwa ikitumika <strong>za</strong>idi tangu<br />
kupitishwa kwa Azimio kuhusu watetezi wa haki <strong>za</strong><br />
binadamu mwaka 1998. Hadi wakati huo, maneno<br />
kama vile “mwanaharakati” wa haki <strong>za</strong> binadamu,<br />
“mtaalamu”, “mfanyakazi” au “kufuatilia” yamekuwa<br />
ya kawaida. Istilahi “watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu”<br />
inaonekana kama istilahi husika na inay<strong>of</strong>aa <strong>za</strong>idi.<br />
Mifano ya shughuli <strong>za</strong> watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />
ambayo kwa kawaida hutolewa si orodha kamili.<br />
Jaribio muhimu ni kama mtu anatetea haki <strong>za</strong><br />
binadamu au la.<br />
(C) Mta<strong>za</strong>mo wa kik<strong>and</strong>a wa utekele<strong>za</strong>ji<br />
wa Azimio<br />
Mshika madaraka ya Umoja wa Mataifa daima<br />
alikuwa akiele<strong>za</strong> haja ya kutekele<strong>za</strong> Azimio la<br />
Umoja wa Mataifa kwa mta<strong>za</strong>mo wa kik<strong>and</strong>a na<br />
huu ulikuwa ujumbe wa Bi Hila Jilani kwa Tume ya<br />
Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu,<br />
kikao kilich<strong>of</strong>anyika Pretoria mwezi Mei, 2002.<br />
Mwitikio kutoka Amerika, Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya<br />
na Afrika unatia moyo. Katika suala hili, changamoto<br />
ni Mashariki ya Kati na Asia ambako hakuna chombo<br />
cha kik<strong>and</strong>a kinach<strong>of</strong>anana.<br />
Ili kuweka mta<strong>za</strong>mo huu katika vitendo, Bibi<br />
Margaret Sekaggya na mwen<strong>za</strong>ke Bibi Reine Alapini-<br />
Gansou katika Tume ya Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />
<strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu (angalia chini) walifanya<br />
ziara ya pamoja nchini Togo mwaka 2008. Wa<strong>and</strong>ishi<br />
Maalum wa Umoja wa Mataifa na Afrika pia walitoa<br />
taarifa ya pamoja katika vyombo vya habari.<br />
Matendo haya hufanya mapendekezo yao yajulikane<br />
na kuyapa uzito <strong>za</strong>idi, na jitihada zinaendelea ili<br />
kuhamasisha ushirikiano kama huo kwa mapana<br />
<strong>za</strong>idi kati ya Umoja wa Mataifa na taratibu maalum<br />
<strong>za</strong> Afrika.<br />
(D) Mawasiliano na watetezi wa haki <strong>za</strong><br />
binadamu<br />
Kwan<strong>za</strong> kabisa, Mw<strong>and</strong>ishi Maalum anajaribu<br />
kupatikana na watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />
<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili 5