16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Dibaji<br />

Miaka mitano imepita tangu Mradi wa Watetezi wa<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> Afrika ya Mashariki na Pembe<br />

ya Afrika ulipochapisha toleo la kwan<strong>za</strong> la <strong>Kutetea</strong><br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Rejea kwa Watetezi<br />

wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>. Baada ya hapo changamoto<br />

mpya zimeendelea kukua na kutengene<strong>za</strong> mazingira<br />

ambayo watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu wanafanyia<br />

kazi.<br />

Nchi mbalimbali zinaendelea kutumia sheria<br />

zenye vikwazo vinavyozuia uhuru wa kuendesha<br />

kazi ya haki <strong>za</strong> binadamu. Hatua dhidi ya vitisho<br />

ziliz<strong>of</strong>ikiria <strong>za</strong>idi kuimarisha utekele<strong>za</strong>ji wa sheria ya<br />

uhuru wa kuamua na kutumia mabavu, pamoja na<br />

kupitiwa kwa mahakama katika upungu<strong>za</strong>ji uzito au<br />

ucheleweshaji wa kesi zinazidi kutumika ili kuzuia<br />

mbinu halali <strong>za</strong> uchunguzi na upin<strong>za</strong>ni kutoka kwa<br />

watendaji wa asasi <strong>za</strong> kiraia. Ushirikiano na nchi<br />

<strong>za</strong> nje ina maana watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

waliolazimishwa kuingia kizuizini wanawe<strong>za</strong><br />

kuendelea kunyanyasika hata katika nchi <strong>za</strong>o <strong>za</strong><br />

hifadhi. Sheria zisizothibitishwa kwa ajili ya asasi<br />

zisizo <strong>za</strong> kiserikali zimekuwa zikitumika katika baadhi<br />

ya kesi, kuzuia fursa <strong>za</strong> fedha na pia shughuli <strong>za</strong> haki<br />

<strong>za</strong> binadamu, wakati sheria <strong>za</strong> vyombo vya habari<br />

mara nyingi hutafsiriwa na kutumiwa kiholela na<br />

kunyima uhuru wa kujiele<strong>za</strong>. Watetezi wa kundi la<br />

wachache katika mwenendo wa kufanya mapenzi<br />

wanaendelea kupigania wapate kutambuliwa<br />

kwamba haki <strong>za</strong> wasagaji, mashoga, wanaovutiwa<br />

kimapenzi na watu wa jinsia zote mbili, wenye jinsi<br />

mbili na wa jinsi tata ni haki <strong>za</strong> binadamu, wakati<br />

vitisho kutoka kwa watendaji wa serikali na wasio<br />

wa serikali vimejenga pengo la uhasama kwa<br />

watetezi hawa.<br />

Wakati changamoto hizi zinabadilika, nyenzo<br />

ambazo zipo kwa ajili ya watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu pia zimeendelezwa na kuwa <strong>za</strong> kisasa<br />

na <strong>za</strong> ufanisi <strong>za</strong>idi. Matumizi kamili ya nyenzo hizi<br />

kwa njia ya kimkakati ni changamoto na uwezekano<br />

wa kuwapa nguvu watetezi madhubuti wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu.<br />

Kujihusisha na mifumo ya kimataifa na kik<strong>and</strong>a<br />

ya haki <strong>za</strong> binadamu ni moja ya njia bora <strong>za</strong>idi <strong>za</strong><br />

kujenga utumbuzi wa masuala ya haki <strong>za</strong> binadamu<br />

na hata kuhitaji wadau wabeba majukumu<br />

kushughulika rasmi. Sura ya 1 ina mjadala wa njia<br />

hizi na matumizi yake ya ufanisi.<br />

juhudi <strong>za</strong>o ziwe endelevu. Sura ya 2 na 3 zinahusu<br />

usimamizi wa usalama na kupungu<strong>za</strong> mfadhaiko kwa<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu kwa mtiririko huo.<br />

Mikakati kwa ajili ya kuendesha kampeni inajadiliwa<br />

katika Sura ya 4, ambayo imerekebishwa kwa<br />

majadiliano ya nyenzo <strong>za</strong> vyombo vya habari vya<br />

kijamii kwa ajili ya kufikia malengo ya utetezi katika<br />

Sura ya 4.5.<br />

Changamoto na mikakati maalum ya kutetea haki <strong>za</strong><br />

wanawake na haki <strong>za</strong> kundi la wachache katika tabia<br />

ya mwenendo wa kufanya mapenzi zinashughulikiwa<br />

katika Sura ya 5 na 6 kwa mtiririko huo.<br />

Hatimaye viambatanisho vya rejea vimerekebishwa<br />

kujumuisha machapisho yanayohusiana <strong>za</strong>idi na<br />

mashirika yanayoshughulika na watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu.<br />

Tumefurahi kuwe<strong>za</strong> kufanikisha kitabu hiki<br />

kupatikana kwa Kiingere<strong>za</strong>, Kifaransa, Kiarabu,<br />

Kiswahili, Kiamhari, na Kisomalia, hivyo<br />

kufanya kiwafikie watu wengi katika k<strong>and</strong>a hii.<br />

Tunamshukuru mfadhili wetu mkuu katika mradi<br />

huu, Shirika la Ushirikiano wa Maendeleo ya<br />

Kimataifa la Uswidi.<br />

Mradi wa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> Afrika ya<br />

Mashariki na Pembe ya Afrika unawashukuru kwa<br />

dhati wote waliochangia kitabu hiki cha rejea kwa<br />

maoni yao, hali kadhalika kwa kazi yao endelevu<br />

katika huduma ya haki <strong>za</strong> binadamu.<br />

Mradi wa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> Afrika ya<br />

Mashariki na Pembe ya Afrika unatoa kitabu hiki<br />

kwa heshima ya wale wote waliopote<strong>za</strong> maisha yao<br />

katika kupigania haki <strong>za</strong> binadamu. Tuungane katika<br />

kujenga maisha bora ya baadaye.<br />

Hassan Shire Sheikh<br />

Mkurugenzi Mtendaji / Mwenyekiti<br />

Mradi/Mt<strong>and</strong>ao wa watetezi wa Afrika ya Mashariki<br />

na Pembe ya Afrika.<br />

Matunzo binafsi na usalama wa kitaalamu kwa<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu ni muhimu ili<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili 1

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!