16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

inadamu nchini, kutambua matatizo maalum<br />

na kutoa mapendekezo juu ya jinsi matatizo hayo<br />

yanavyowe<strong>za</strong> kutatuliwa. Kwa msingi wa madaraka<br />

yake, Mw<strong>and</strong>ishi Maalum anatakiwa kuangalia<br />

kwa makini hali ya watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

nchini. Hata hivyo, mchakato huu unadhamiriwa<br />

kutoa tathmini huru na isiyo na upendeleo, ambayo<br />

itakuwa ya msaada kwa watendaji wote katika<br />

kuimarisha mchango wa watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu hali kadhalika ulinzi wao.<br />

(I)Taarifa ya Mwaka kwa Mkutano Mkuu<br />

wa Umoja wa Mataifa na Bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong> la Umoja wa Mataifa<br />

Mw<strong>and</strong>ishi Maalum huwasilisha taarifa ya mwaka<br />

kwa Mkutano Mkuu hali kadhalika kwa Bara<strong>za</strong> la<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> akielezea shughuli yake ya mwaka,<br />

ugunduzi, na mapendekezo, ikiwa ni pamoja na<br />

kesi zote alizoshughulikia na majibu yoyote kutoka<br />

kwa Mataifa tokana na hatua <strong>za</strong> haraka au barua <strong>za</strong><br />

madai.<br />

Tangu kuanzishwa kwa madaraka haya, wakati wa<br />

vikao vya Mkutano Mkuu na vilevile Bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong><br />

<strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>, washika madaraka hawa wawili hadi<br />

sasa wamekuwa na taarifa madhubuti <strong>za</strong> umma<br />

zikilaani tabia ya Madola kwa watetezi wana<strong>of</strong>anya<br />

kazi katika ngazi ya kitaifa, zikitilia mkazo juu ya<br />

ukweli kwamba baadhi ya watetezi huwa hatarini<br />

<strong>za</strong>idi wakati wa vipindi vya uchaguzi wa kitaifa<br />

wanapojaribu kushiriki katika mchakato wa uchaguzi<br />

wa kitaifa.<br />

Mshika madaraka wa sasa, Bibi Margaret Sekaggya,<br />

pia ametoa taarifa juu ya masuala muhimu<br />

kuhusiana na mada hii. Mwaka 2010, taarifa<br />

yake juu ya hali ya watetezi wanawake wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu iligusa masuala makubwa ya tabia ya<br />

mwenendo wa kufanya mapenzi na utambulisho wa<br />

kijinsia. Taarifa ya hivi karibuni inachukua muundo<br />

wa ufafanuzi juu ya Azimio hili, ikitoa uchambuzi wa<br />

haki zilizomo humo. Chombo hiki chenye manufaa<br />

cha kumbukumbu <strong>za</strong> watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

kinapatikana kwenye tovuti ya OHCHR katika:<br />

http://www.ohchr.org/<br />

Documents/Issues/Defenders/<br />

CommentarytoDeclarationondefendersJuly2011.pdf<br />

Maelezo ya anwani kwa kupeleka mapendekezo na kwa<br />

mawasiliano <strong>za</strong>idi<br />

Mw<strong>and</strong>ishi Maalum juu ya hali ya watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu,<br />

Bibi. Margaret Sekaggya<br />

k/k Ofisi ya Ubalozi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> – Palais Wilson<br />

Ofisi ya Umoja wa Mataifa, Geneva<br />

CH 1211 Geneva 10<br />

Switzerl<strong>and</strong><br />

Kuwasilisha madai ya uvunjaji sheria dhidi ya mtetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu:<br />

Barua pepe: urgent-action@ohchr.org au faksi: +41(0)<br />

22.917.90.06<br />

Tume ya Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu - Mw<strong>and</strong>ishi Maalum<br />

kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

Katika kikao chake cha kawaida cha 35,<br />

kilich<strong>of</strong>anyika tarehe 21 Mei – 4 Juni 2004 huko<br />

Banjul, Gambia, Tume ya Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu kiliamua kumteua<br />

Kamishna Janaiba Johm, kama Mw<strong>and</strong>ishi Maalum<br />

mpya kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> barani<br />

Afrika . Nafasi yake ilichukuliwa na Bibi Reine<br />

Alapini-Gansou mwezi Desemba, mwaka 2005,<br />

mwanasheria kutoka Benin, ambaye alishika nafasi<br />

hiyo hadi mwaka 2009. Mheshimiwa Mohamed<br />

Khalfallah alishika nafasi hii mwaka 2010, na<br />

kufuatiwa na Bibi Lucy Asuagbor kutoka mwezi<br />

Novemba mwaka 2010 hadi mwezi Novemba mwaka<br />

2011. Kwa sasa nafasi hii imeshikwa tena na Bibi.<br />

Reine Alapini-Gansou. Tume ya Afrika kuhusu <strong>Haki</strong><br />

<strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu ni chombo cha kwan<strong>za</strong><br />

cha haki <strong>za</strong> binadamu kik<strong>and</strong>a kuunda utaratibu<br />

maalum wa kushughulikia ulinzi wa haki <strong>za</strong> watetezi.<br />

Uamuzi wa kumteua Mw<strong>and</strong>ishi Maalum wa<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu ni hatua ya<br />

kushughulikia hatari kubwa inayowakabili watetezi<br />

katika Afrika na haja ya kujenga msisitizo maalum<br />

ndani ya Tume ili kuchungu<strong>za</strong>, kutoa taarifa na<br />

kuchukua hatua juu ya taarifa kuhusu hali ya<br />

watetezi barani.<br />

Tume iliamua kumkabidhi Mw<strong>and</strong>ishi Maalum<br />

madaraka yafuatayo:<br />

• Kutafuta, kupokea, kuchungu<strong>za</strong> na kuchukua<br />

hatua juu ya taarifa ya hali ya watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu katika Afrika;<br />

• Kuwasilisha taarifa katika Kikao cha Kawaida cha<br />

Tume ya Afrika juu ya hali ya watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu barani Afrika;<br />

• Kushirikiana na kuanzisha mazungumzo na nchi<br />

wanachama, Taasisi <strong>za</strong> Taifa <strong>za</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>,<br />

mabara<strong>za</strong> baina ya serikali husika, mifumo ya<br />

kimataifa na ya kik<strong>and</strong>a ya ulinzi wa watetezi wa<br />

haki <strong>za</strong> binadamu, watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

na wadau wengine;<br />

• Kuendele<strong>za</strong> na kupendeke<strong>za</strong> mikakati madhubuti<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili 7

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!