16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Sura ya 4<br />

Kampeni <strong>za</strong> Utetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

Mikakati ya kuendesha kampeni, kushawishi, na<br />

kazi ya utetezi vinawe<strong>za</strong> kutumika kama <strong>za</strong>na na<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu katika kazi yao ya<br />

kulinda haki <strong>za</strong> watu wengine. Malengo ya kufanya<br />

kampeni ni kuleta mabadiliko chanya, kuwafanya<br />

watu watekeleze dhamira <strong>za</strong>o au kutimi<strong>za</strong> wajibu na<br />

majukumu yao. Pia zinawe<strong>za</strong> kutumika katika kuku<strong>za</strong><br />

uelewa wa masuala fulani kwa mapana. Makala hii<br />

inataka kutoa maelezo ya jumla ya msingi juu ya<br />

namna ya kubuni mikakati ya kampeni inay<strong>of</strong>aa kwa<br />

masuala mbalimbali na asili 19 t<strong>of</strong>auti <strong>za</strong> mashirika.<br />

Kufanya kampeni juu ya haki <strong>za</strong> binadamu ni<br />

njia muhimu ya kutafuta ukiukwaji wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu na kuwafidia wale ambao haki <strong>za</strong>o<br />

zimekiukwa. Watu binafsi na jamii wanawe<strong>za</strong><br />

kutetea haki <strong>za</strong>o wenyewe (angalia ukuaji wa hivi<br />

karibuni wa uhamasishaji wa raia) au wengine<br />

wanawe<strong>za</strong> kufanya kampeni kwa niaba yao, hasa<br />

pale ambapo makundi hayana ufahamu wa haki <strong>za</strong>o<br />

wenyewe au ushawishi wa kudai mabadiliko. Kwa<br />

mujibu wa Kifungu cha 1 cha Azimio la Umoja wa<br />

Mataifa kuhusu Watetezi 20 wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>,<br />

“Kila mmoja ana haki, mtu mmoja mmoja na kwa<br />

kushirikiana na wengine, kuku<strong>za</strong> na kujitahidi kwa<br />

ajili ya ulinzi na utekele<strong>za</strong>ji wa haki <strong>za</strong> binadamu na<br />

uhuru wa msingi katika ngazi <strong>za</strong> mkoa, taifa na ya<br />

kimataifa”. Kwa kweli, kila mtu ana haki ya kufanya<br />

kampeni kwa ajili ya haki <strong>za</strong> wengine pia na <strong>za</strong>o<br />

wenyewe.<br />

Mipango ya kampeni<br />

Ili kampeni iwe ya mafanikio, lazima malengo<br />

yawekwe kutegemea na mabadiliko unayotaka<br />

kuleta. Malengo haya ni lazima yawe maalum,<br />

yanayopimika, yanayotekelezeka, yenye uhalisia na<br />

wakati maalum. Ili kujua malengo yako ni maalum<br />

au yanapimika namna gani, lazima kwan<strong>za</strong> ujiulize<br />

kile wewe mwenyewe unachotumaini na kutarajia<br />

kuwa kitakuwa t<strong>of</strong>auti baada ya kampeni.<br />

19 Makala halisi ya Carol Magambo na kufanyiwa marekebisho<br />

na Rachel Nicholson Kiambatanishi cha vyombo vya habari<br />

vya Kijamii (Sura ya 4.5) na Neil Blazevic<br />

20 Jina kamili la Azimio ni: Azimio kuhusu <strong>Haki</strong> na Majukumu ya<br />

Watu binafsi, Makundi na Vyombo Vya Kijamii Kuendele<strong>za</strong> na<br />

Kulinda Kiulimwengu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> Zinazotambuliwa<br />

na Uhuru wa Msingi. Inawe<strong>za</strong> kupatikana kupitia Ofisi ya<br />

Ubalozi wa Umoja wa Mataifa wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: http://<br />

www.ohchr.org/english/law/freedom.htm<br />

Pili, inabidi ufanyike utafiti ili kupata taarifa kwa ajili<br />

ya mkakati wa kampeni yako. Kuelewa kikamilifu<br />

masuala yaliyo hatarini ndiko kutakakosaidia uundaji<br />

wa mkakati madhubuti. Hii itakusaidia kufafanua<br />

tatizo unalojaribu kutatua na kufahamu, kwa mfano,<br />

nani hukiuka na kwa nini haya hutokea. Unap<strong>of</strong>anya<br />

utafiti ni lazima pia uweze kujibu maswali kama vile<br />

ni ujumbe gani tunaojaribu kutoa na ni mabadiliko<br />

gani tunayotaka kuyapata Kwa nini tunataka<br />

mabadiliko haya Tunamlenga nani – ni wadau na<br />

wabeba jukumu gani walio na ushawishi juu ya suala<br />

hili Tulifanye namna gani jambo hili na tutumie<br />

njia ipi Je, ni kwa njia ya intaneti, simu, vyombo<br />

vya habari, mihadhara, mijadala, ma<strong>and</strong>amano,<br />

maonyesho au ma<strong>and</strong>alizi ya dua Juhudi zetu<br />

tuzilenge wapi Je, ni katika ngazi ya mahali husika,<br />

kitaifa, kik<strong>and</strong>a au kimataifa Na mwisho kampeni<br />

hiyo itafanyika lini Mtu anap<strong>of</strong>anya utafiti juu<br />

ya masuala ya kampeni, inabidi aunde njia bora<br />

ya kufikia malengo na kutumia mchanganyiko wa<br />

mbinu mbalimbali <strong>za</strong> kampeni ambazo tutaziangalia<br />

baadaye. Majadiliano ya timu ya kampeni juu ya<br />

mbinu <strong>za</strong> kutumia yatathibitika kuwa ya manufaa<br />

kwani itabidi faida na hasara <strong>za</strong>ke zipimwe.<br />

Huu ni mfano wa kampeni maalum, inayokwenda<br />

hatua kwa hatua kupitia utafiti na mchakato wa<br />

mpango:<br />

Wewe ni shirika la kijamii la kiraia nchini Ug<strong>and</strong>a<br />

ambaye unataka kuona Muswada wa Sheria ya<br />

Mahusiano ya Nchini unapitishwa. Inabidi ujiulize,<br />

kwa nini tunahitaji Muswada huu upitishwe<br />

Kutoa usawa kwa wanawake na wanaume katika<br />

mambo yanayohusiana na ndoa, talaka na mali ya<br />

familia.<br />

Kwa nini mpaka sasa haijapitishwa<br />

Kutokana na upin<strong>za</strong>ni toka idara fulani <strong>za</strong> jamii.<br />

Watu gani wana ushawishi katika mukhtadha huu<br />

Wabunge, Mawaziri na wafanyakazi wa Wi<strong>za</strong>ra ya<br />

Jinsia.<br />

Sawa, kwa hiyo tutawashawishije watekeleze<br />

Je, hilo linawe<strong>za</strong> kufanywa kwa kutia sahihi maombi,<br />

ma<strong>and</strong>amano au mikutano ya hadhara, au utetezi<br />

binafsi kwa njia ya barua na mikutano itafaa <strong>za</strong>idi<br />

Nani mwingine anafanyia kazi suala hili – tunawe<strong>za</strong><br />

kuunda mit<strong>and</strong>ao na mashirika mengine ya vyama<br />

28<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!