Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Kiambatanishi cha 3<br />
Rasilimali kwa Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />
Ulinzi na Usalama kwa Watetezi wa<br />
<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />
Kiongozi kipya cha Ulinzi kwa Watetezi wa<br />
<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />
Ulinzi wa Kimataifa (2009)<br />
Madhumuni ya kiongozi hiki kipya ni kuwaongezea<br />
watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu maarifa na<br />
nyenzo ambazo zinawe<strong>za</strong> kuwa <strong>za</strong> manufaa kwa<br />
kuboresha uelewa wao juu ya usalama na ulinzi.<br />
Kuna matumaini kwamba kiongozi hiki kitasaidia<br />
mafunzo juu ya usalama na ulinzi na kuwasaidia<br />
watetezi kufanya tathmini <strong>za</strong>o wenyewe <strong>za</strong> hatari<br />
na kufafanua kanuni na taratibu <strong>za</strong> usalama na<br />
ambazo zitaambatana na mazingira yao maalum.<br />
Kiongozi hiki ni matokeo ya uzoefu wa pamoja<br />
wa <strong>za</strong>idi ya miaka 25 wa wajumbe wa Ulinzi wa<br />
Kimataifa katika kufanya kazi na haki <strong>za</strong> binadamu<br />
na sheria ya kibinadamu na katika ulinzi wa watetezi<br />
wa haki <strong>za</strong> binadamu na makundi mengine yenye<br />
mazingira magumu. Uzoefu wa wajumbe wa<br />
Ulinzi wa Kimataifa unatokana na kujihusisha na<br />
kushiriki kwao kwa mara ya kwan<strong>za</strong> katika Vikosi<br />
vya Amani vya Kimataifa - kazi na muundo wa ugani<br />
wa Vikosi vya Amani vya Kimataifa. Tumekuwa<br />
na fursa ya kujifun<strong>za</strong> na kubadilishana uzoefu na<br />
maarifa na mamia ya watetezi ugani, hali kadhalika<br />
katika warsha, mikutano na majadiliano juu ya<br />
usalama. Mengi ya maudhui ya kiongozi hiki tayari<br />
yameshatumika kwa vitendo, ama katika kazi ya<br />
ulinzi au katika warsha <strong>za</strong> mafunzo na watetezi.<br />
Kiongozi hiki ni matunda ya majadiliano yote haya,<br />
na tuna deni kubwa kwa watetezi walioshiriki kwa<br />
mchango wao.<br />
Chanzo: http://www.protectionline.org/New-Protection-<br />
Manual-for-<strong>Human</strong><br />
Kitabu cha mafunzo kuhusu usalama: Hatua<br />
thabiti kwa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />
walio hatarini<br />
’Front Line’ (2011)<br />
Kitabu cha mafunzo kuhusu Usalama kimebuniwa<br />
ili kuinua mwamko katika masuala ya usalama<br />
na kuwasaidia watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />
kufikiria namna ya kupungu<strong>za</strong> vitisho. Kitabu<br />
hiki kinawasaidia watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />
kujifun<strong>za</strong> hatua <strong>za</strong> kuunda mpango wa usalama -<br />
kwa watu binafsi na kwa mashirika. Kinafuata njia<br />
ya utaratibu wa kutathmini hali ya usalama wao na<br />
kuendele<strong>za</strong> mikakati na mbinu <strong>za</strong> kupungu<strong>za</strong> hatari<br />
na uwezekano wa kupata madhara.<br />
Chanzo: http://www.frontlinedefenders.org/files/<br />
Workbook_ENG.pdf<br />
Usalama katika Kis<strong>and</strong>uku<br />
’Front Line’ na Mbinu <strong>za</strong> Pamoja <strong>za</strong> Teknolojia<br />
(2011)<br />
Usalama katika s<strong>and</strong>uku-ni juhudi <strong>za</strong> Mbinu <strong>za</strong><br />
Pamoja <strong>za</strong> Teknolojia na ‘Front Line’. Iliundwa ili<br />
kutimi<strong>za</strong> mahitaji ya usalama na faragha ya mfumo<br />
wa kupokea na kutuma taarifa kwa tarakimu, ya<br />
mawakili na watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu. Usalama<br />
katika kis<strong>and</strong>uku ni pamoja na Jinsi ya ku<strong>and</strong>aa<br />
kijarida, ambayo inazungumzia masuala kadhaa<br />
muhimu ya usalama wa mfumo wa kupokea na<br />
kutuma taarifa kwa tarakimu. Pia hutoa mkusanyiko<br />
wa Miongozo-kwa-Vitendo kila mmoja ukiwa na<br />
programu fulani ya kompyuta isiyolipiwa au chombo<br />
cha programu ya kompyuta ya chanzo wazi, pamoja<br />
na maelekezo ya jinsi ya kutumia chombo hicho<br />
kulinda kompyuta yako, kulinda taarifa <strong>za</strong>ko au<br />
kudumisha faragha ya mawasiliano yako ya Intaneti.<br />
Chanzo Rasmi: http://security.ngoinabox.org/<br />
Kiingere<strong>za</strong>: https://security.ngoinabox.org/en<br />
Kifaransa: https://security.ngoinabox.org/fr<br />
Kiarabu: https://security.ngoinabox.org/ar<br />
Mwongozo makini wa Kulinda Usalama wa<br />
Utambulisho wako na Dhamana ya Mt<strong>and</strong>ao<br />
wa Intaneti Wakati wa Kutumia Simu <strong>za</strong><br />
Mkononi (2011)<br />
Mwongozo huu ume<strong>and</strong>ikwa kwa ajili ya raia<br />
wa Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, ambao<br />
wanataka kutumia teknolojia kwa usalama<br />
kuwasiliana, kupanga, na kupeana data (taarifa<br />
mpya, habari, vyombo vya habari nk), lakini inawe<strong>za</strong><br />
kutumiwa na mtu yeyote katika mt<strong>and</strong>ao wa intaneti<br />
anayetaka kulinda faragha na usalama wake mahali<br />
popote. Ume<strong>and</strong>ikwa kwa ajili ya hadhira kubwa<br />
iliyo na elimu ya wastani ya kompyuta, ambao<br />
wangependa kujua hatua wanazowe<strong>za</strong> kuchukua ili<br />
kuwa salama <strong>za</strong>idi katika mt<strong>and</strong>ao wa intaneti na<br />
wakati wa kutumia vyombo vya simu <strong>za</strong> mikononi.<br />
Mwongozo huu una vidokezo na nyenzo <strong>za</strong><br />
<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili 63