16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kiambatanishi cha 3<br />

Rasilimali kwa Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

Ulinzi na Usalama kwa Watetezi wa<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

Kiongozi kipya cha Ulinzi kwa Watetezi wa<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

Ulinzi wa Kimataifa (2009)<br />

Madhumuni ya kiongozi hiki kipya ni kuwaongezea<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu maarifa na<br />

nyenzo ambazo zinawe<strong>za</strong> kuwa <strong>za</strong> manufaa kwa<br />

kuboresha uelewa wao juu ya usalama na ulinzi.<br />

Kuna matumaini kwamba kiongozi hiki kitasaidia<br />

mafunzo juu ya usalama na ulinzi na kuwasaidia<br />

watetezi kufanya tathmini <strong>za</strong>o wenyewe <strong>za</strong> hatari<br />

na kufafanua kanuni na taratibu <strong>za</strong> usalama na<br />

ambazo zitaambatana na mazingira yao maalum.<br />

Kiongozi hiki ni matokeo ya uzoefu wa pamoja<br />

wa <strong>za</strong>idi ya miaka 25 wa wajumbe wa Ulinzi wa<br />

Kimataifa katika kufanya kazi na haki <strong>za</strong> binadamu<br />

na sheria ya kibinadamu na katika ulinzi wa watetezi<br />

wa haki <strong>za</strong> binadamu na makundi mengine yenye<br />

mazingira magumu. Uzoefu wa wajumbe wa<br />

Ulinzi wa Kimataifa unatokana na kujihusisha na<br />

kushiriki kwao kwa mara ya kwan<strong>za</strong> katika Vikosi<br />

vya Amani vya Kimataifa - kazi na muundo wa ugani<br />

wa Vikosi vya Amani vya Kimataifa. Tumekuwa<br />

na fursa ya kujifun<strong>za</strong> na kubadilishana uzoefu na<br />

maarifa na mamia ya watetezi ugani, hali kadhalika<br />

katika warsha, mikutano na majadiliano juu ya<br />

usalama. Mengi ya maudhui ya kiongozi hiki tayari<br />

yameshatumika kwa vitendo, ama katika kazi ya<br />

ulinzi au katika warsha <strong>za</strong> mafunzo na watetezi.<br />

Kiongozi hiki ni matunda ya majadiliano yote haya,<br />

na tuna deni kubwa kwa watetezi walioshiriki kwa<br />

mchango wao.<br />

Chanzo: http://www.protectionline.org/New-Protection-<br />

Manual-for-<strong>Human</strong><br />

Kitabu cha mafunzo kuhusu usalama: Hatua<br />

thabiti kwa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

walio hatarini<br />

’Front Line’ (2011)<br />

Kitabu cha mafunzo kuhusu Usalama kimebuniwa<br />

ili kuinua mwamko katika masuala ya usalama<br />

na kuwasaidia watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

kufikiria namna ya kupungu<strong>za</strong> vitisho. Kitabu<br />

hiki kinawasaidia watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

kujifun<strong>za</strong> hatua <strong>za</strong> kuunda mpango wa usalama -<br />

kwa watu binafsi na kwa mashirika. Kinafuata njia<br />

ya utaratibu wa kutathmini hali ya usalama wao na<br />

kuendele<strong>za</strong> mikakati na mbinu <strong>za</strong> kupungu<strong>za</strong> hatari<br />

na uwezekano wa kupata madhara.<br />

Chanzo: http://www.frontlinedefenders.org/files/<br />

Workbook_ENG.pdf<br />

Usalama katika Kis<strong>and</strong>uku<br />

’Front Line’ na Mbinu <strong>za</strong> Pamoja <strong>za</strong> Teknolojia<br />

(2011)<br />

Usalama katika s<strong>and</strong>uku-ni juhudi <strong>za</strong> Mbinu <strong>za</strong><br />

Pamoja <strong>za</strong> Teknolojia na ‘Front Line’. Iliundwa ili<br />

kutimi<strong>za</strong> mahitaji ya usalama na faragha ya mfumo<br />

wa kupokea na kutuma taarifa kwa tarakimu, ya<br />

mawakili na watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu. Usalama<br />

katika kis<strong>and</strong>uku ni pamoja na Jinsi ya ku<strong>and</strong>aa<br />

kijarida, ambayo inazungumzia masuala kadhaa<br />

muhimu ya usalama wa mfumo wa kupokea na<br />

kutuma taarifa kwa tarakimu. Pia hutoa mkusanyiko<br />

wa Miongozo-kwa-Vitendo kila mmoja ukiwa na<br />

programu fulani ya kompyuta isiyolipiwa au chombo<br />

cha programu ya kompyuta ya chanzo wazi, pamoja<br />

na maelekezo ya jinsi ya kutumia chombo hicho<br />

kulinda kompyuta yako, kulinda taarifa <strong>za</strong>ko au<br />

kudumisha faragha ya mawasiliano yako ya Intaneti.<br />

Chanzo Rasmi: http://security.ngoinabox.org/<br />

Kiingere<strong>za</strong>: https://security.ngoinabox.org/en<br />

Kifaransa: https://security.ngoinabox.org/fr<br />

Kiarabu: https://security.ngoinabox.org/ar<br />

Mwongozo makini wa Kulinda Usalama wa<br />

Utambulisho wako na Dhamana ya Mt<strong>and</strong>ao<br />

wa Intaneti Wakati wa Kutumia Simu <strong>za</strong><br />

Mkononi (2011)<br />

Mwongozo huu ume<strong>and</strong>ikwa kwa ajili ya raia<br />

wa Mashariki ya Kati na Afrika Kaskazini, ambao<br />

wanataka kutumia teknolojia kwa usalama<br />

kuwasiliana, kupanga, na kupeana data (taarifa<br />

mpya, habari, vyombo vya habari nk), lakini inawe<strong>za</strong><br />

kutumiwa na mtu yeyote katika mt<strong>and</strong>ao wa intaneti<br />

anayetaka kulinda faragha na usalama wake mahali<br />

popote. Ume<strong>and</strong>ikwa kwa ajili ya hadhira kubwa<br />

iliyo na elimu ya wastani ya kompyuta, ambao<br />

wangependa kujua hatua wanazowe<strong>za</strong> kuchukua ili<br />

kuwa salama <strong>za</strong>idi katika mt<strong>and</strong>ao wa intaneti na<br />

wakati wa kutumia vyombo vya simu <strong>za</strong> mikononi.<br />

Mwongozo huu una vidokezo na nyenzo <strong>za</strong><br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili 63

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!