Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Kiambatanishi cha 2<br />
Rejea kuhusu Taratibu <strong>za</strong> Kimataifa na Kik<strong>and</strong>a<br />
Taratibu <strong>za</strong> Kik<strong>and</strong>a na Kimataifa<br />
Tume ya Afrika Kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />
<strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu<br />
Ikiwa imeanzishwa na Mkataba wa Afrika kuhusu<br />
<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu, Tume hii<br />
ilian<strong>za</strong> kutumika tarehe 21 Oktoba, 1986 baada ya<br />
kupitishwa jijini Nairobi (Kenya) mwaka 1981 na<br />
Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Shirika<br />
la Umoja wa Afrika, Tume ya Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />
<strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu inahusika na kuhakikisha<br />
uendele<strong>za</strong>ji na ulinzi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />
Watu katika Bara la Afrika. Tume hii ina makao yake<br />
makuu mjini Banjul, Gambia.<br />
<strong>Africa</strong>n Commission on <strong>Human</strong> <strong>and</strong> Peoples’ <strong>Rights</strong><br />
31 Bijilo Annex Layout, Kombo North District<br />
Western Region<br />
S.L.P. 673<br />
Banjul, Gambia<br />
Barua pepe: achpr@achpr.org<br />
Simu: (220) 4410 505/4410 506<br />
Faksi: (220) 4410 504<br />
Tovuti rasmi: http://www.achpr.org<br />
Mwongozo kwa ajili ya Ushiriki katika<br />
Chama cha Kiraia: Utaratibu wa Nchi wa<br />
utoaji Taarifa ya Tume ya Afrika kuhusu<br />
<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu<br />
Huduma <strong>za</strong> Kimataifa <strong>za</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>,<br />
Chama cha <strong>Haki</strong>, Amani na Demokrasia, na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />
<strong>Binadamu</strong> <strong>za</strong> ‘Conectas’ (2011)<br />
Mkataba wa Afrika hutoa majukumu maalum ya<br />
Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika ili kutekele<strong>za</strong><br />
Mkataba wa Afrika katika ngazi ya nchi. Hasa, kila<br />
mwakilishi wa nchi atawasilisha kila miaka miwili,<br />
kuanzia tarehe Mkataba unapoan<strong>za</strong> kutumika,<br />
taarifa juu ya hatua <strong>za</strong> kisheria au nyinginezo<br />
zilizochukuliwa, kwa lengo la kutimi<strong>za</strong> haki na<br />
uhuru unaotambuliwa na ulioahidiwa na Mkataba<br />
huo (Kifungu cha 62). hutoa fursa ya kutathmini<br />
hatua <strong>za</strong> Serikali ili kuendele<strong>za</strong> haki zilizolindwa<br />
katika Tume ya Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na<br />
<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu na itifaki <strong>za</strong>ke, kubaini vikwazo ili<br />
kufanikisha haki hizi, na ku<strong>and</strong>aa mapendekezo<br />
kwa ajili ya kuboresha utekele<strong>za</strong>ji wake nchini. <br />
Ushiriki wa vyama vya kiraia ni muhimu kwa ajili<br />
ya kut<strong>of</strong>autisha na taarifa ya serikali, kuhakikisha<br />
kuwa Tume ina picha sahihi ya hali ya mahali husika<br />
na watu wake. Kwa ujumla, wawakilishi wa Serikali<br />
wameonyesha ushiriki duni katika mchakato huu:<br />
taarifa <strong>za</strong> wawakilishi wa nchi wengi zimepitwa na<br />
wakati; Serikali zinashindwa kushiriki kikamilifu<br />
katika Tume ya Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong><br />
<strong>za</strong> Watu; na Tume haina uwezo wa kuhakikisha<br />
ufuatiliaji una<strong>of</strong>aa na utekele<strong>za</strong>ji wa mapendekezo<br />
yake. Kwa kiasi kikubwa, vyama vya kiraia vichache<br />
hushiriki mara kwa mara katika vikao vya Tume ya<br />
Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu na vile<br />
vinavyoshiriki mara nyingi havizingatii utaratibu<br />
wa utoaji wa taarifa <strong>za</strong> Nchi. Zaidi ya hayo, ushauri<br />
unaopatikana juu ya ushiriki wa vyama vya kiraia<br />
kwa Tume ya Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong><br />
<strong>za</strong> Watu hautilii sana maanani utaratibu huu. <br />
Mwongozo huu ni juhudi <strong>za</strong> kukabiliana na pengo<br />
hili na kuhamasisha vyama vya kiraia kushiriki<br />
kwa kiwango cha juu <strong>za</strong>idi katika mchakato huu.<br />
Inatoa taarifa <strong>za</strong> msingi, ikielezea changamoto na<br />
kushirikiana vidokezo vinavyohusu uzoefu halisi toka<br />
kwa vyama vya kiraia vinavy<strong>of</strong>anya kazi na Tume ya<br />
Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu.<br />
Chanzo: http://www.ishr.ch/component/docman/doc_<br />
download/1325-road-map-to-the-ahcpr-english<br />
Kifaransa: http://www.ishr.ch/component/docman/doc_<br />
download/1326-roadmap-to-the-achpr-french<br />
Kanuni <strong>za</strong> Utaratibu wa Tume ya Afrika<br />
ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu<br />
Kanuni <strong>za</strong> utaratibu huimarisha miongozo ya<br />
utendaji wa siku hadi siku ya Tume ya Afrika kuhusu<br />
<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu. Hii ni pamoja<br />
na muundo wa Tume, mamlaka yake, na utoaji wa<br />
taarifa na taratibu ndogo.<br />
Chanzo: http://www.achpr.org/english/ROP/Rules%<br />
20<strong>of</strong>% 20Procedure.pdf<br />
Mkataba wa Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />
<strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu<br />
Mkataba wa Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na<br />
<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu (Mkataba wa Banjul), ambao ulian<strong>za</strong><br />
kutumika mwaka 1986, ni chombo muhimu <strong>za</strong>idi cha<br />
haki <strong>za</strong> binadamu katika ngazi ya k<strong>and</strong>a.<br />
<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili 59