16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kiambatanishi cha 2<br />

Rejea kuhusu Taratibu <strong>za</strong> Kimataifa na Kik<strong>and</strong>a<br />

Taratibu <strong>za</strong> Kik<strong>and</strong>a na Kimataifa<br />

Tume ya Afrika Kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu<br />

Ikiwa imeanzishwa na Mkataba wa Afrika kuhusu<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu, Tume hii<br />

ilian<strong>za</strong> kutumika tarehe 21 Oktoba, 1986 baada ya<br />

kupitishwa jijini Nairobi (Kenya) mwaka 1981 na<br />

Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Shirika<br />

la Umoja wa Afrika, Tume ya Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu inahusika na kuhakikisha<br />

uendele<strong>za</strong>ji na ulinzi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

Watu katika Bara la Afrika. Tume hii ina makao yake<br />

makuu mjini Banjul, Gambia.<br />

<strong>Africa</strong>n Commission on <strong>Human</strong> <strong>and</strong> Peoples’ <strong>Rights</strong><br />

31 Bijilo Annex Layout, Kombo North District<br />

Western Region<br />

S.L.P. 673<br />

Banjul, Gambia<br />

Barua pepe: achpr@achpr.org<br />

Simu: (220) 4410 505/4410 506<br />

Faksi: (220) 4410 504<br />

Tovuti rasmi: http://www.achpr.org<br />

Mwongozo kwa ajili ya Ushiriki katika<br />

Chama cha Kiraia: Utaratibu wa Nchi wa<br />

utoaji Taarifa ya Tume ya Afrika kuhusu<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu<br />

Huduma <strong>za</strong> Kimataifa <strong>za</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>,<br />

Chama cha <strong>Haki</strong>, Amani na Demokrasia, na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong> <strong>za</strong> ‘Conectas’ (2011)<br />

Mkataba wa Afrika hutoa majukumu maalum ya<br />

Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika ili kutekele<strong>za</strong><br />

Mkataba wa Afrika katika ngazi ya nchi. Hasa, kila<br />

mwakilishi wa nchi atawasilisha kila miaka miwili,<br />

kuanzia tarehe Mkataba unapoan<strong>za</strong> kutumika,<br />

taarifa juu ya hatua <strong>za</strong> kisheria au nyinginezo<br />

zilizochukuliwa, kwa lengo la kutimi<strong>za</strong> haki na<br />

uhuru unaotambuliwa na ulioahidiwa na Mkataba<br />

huo (Kifungu cha 62). 
 hutoa fursa ya kutathmini<br />

hatua <strong>za</strong> Serikali ili kuendele<strong>za</strong> haki zilizolindwa<br />

katika Tume ya Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu na itifaki <strong>za</strong>ke, kubaini vikwazo ili<br />

kufanikisha haki hizi, na ku<strong>and</strong>aa mapendekezo<br />

kwa ajili ya kuboresha utekele<strong>za</strong>ji wake nchini. 

<br />

Ushiriki wa vyama vya kiraia ni muhimu kwa ajili<br />

ya kut<strong>of</strong>autisha na taarifa ya serikali, kuhakikisha<br />

kuwa Tume ina picha sahihi ya hali ya mahali husika<br />

na watu wake. Kwa ujumla, wawakilishi wa Serikali<br />

wameonyesha ushiriki duni katika mchakato huu:<br />

taarifa <strong>za</strong> wawakilishi wa nchi wengi zimepitwa na<br />

wakati; Serikali zinashindwa kushiriki kikamilifu<br />

katika Tume ya Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong><br />

<strong>za</strong> Watu; na Tume haina uwezo wa kuhakikisha<br />

ufuatiliaji una<strong>of</strong>aa na utekele<strong>za</strong>ji wa mapendekezo<br />

yake. Kwa kiasi kikubwa, vyama vya kiraia vichache<br />

hushiriki mara kwa mara katika vikao vya Tume ya<br />

Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu na vile<br />

vinavyoshiriki mara nyingi havizingatii utaratibu<br />

wa utoaji wa taarifa <strong>za</strong> Nchi. Zaidi ya hayo, ushauri<br />

unaopatikana juu ya ushiriki wa vyama vya kiraia<br />

kwa Tume ya Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong><br />

<strong>za</strong> Watu hautilii sana maanani utaratibu huu. 

<br />

Mwongozo huu ni juhudi <strong>za</strong> kukabiliana na pengo<br />

hili na kuhamasisha vyama vya kiraia kushiriki<br />

kwa kiwango cha juu <strong>za</strong>idi katika mchakato huu.<br />

Inatoa taarifa <strong>za</strong> msingi, ikielezea changamoto na<br />

kushirikiana vidokezo vinavyohusu uzoefu halisi toka<br />

kwa vyama vya kiraia vinavy<strong>of</strong>anya kazi na Tume ya<br />

Afrika ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu.<br />

Chanzo: http://www.ishr.ch/component/docman/doc_<br />

download/1325-road-map-to-the-ahcpr-english<br />

Kifaransa: http://www.ishr.ch/component/docman/doc_<br />

download/1326-roadmap-to-the-achpr-french<br />

Kanuni <strong>za</strong> Utaratibu wa Tume ya Afrika<br />

ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu<br />

Kanuni <strong>za</strong> utaratibu huimarisha miongozo ya<br />

utendaji wa siku hadi siku ya Tume ya Afrika kuhusu<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu. Hii ni pamoja<br />

na muundo wa Tume, mamlaka yake, na utoaji wa<br />

taarifa na taratibu ndogo.<br />

Chanzo: http://www.achpr.org/english/ROP/Rules%<br />

20<strong>of</strong>% 20Procedure.pdf<br />

Mkataba wa Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu<br />

Mkataba wa Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu (Mkataba wa Banjul), ambao ulian<strong>za</strong><br />

kutumika mwaka 1986, ni chombo muhimu <strong>za</strong>idi cha<br />

haki <strong>za</strong> binadamu katika ngazi ya k<strong>and</strong>a.<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili 59

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!