Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
• Kutafuta, kupata, kupokea na kuhifadhi taarifa<br />
zinazohusiana na haki <strong>za</strong> binadamu;<br />
• Kujenga na kujadili mawazo na kanuni mpya <strong>za</strong><br />
haki <strong>za</strong> binadamu na kutetea kukubalika kwake;<br />
• Kuwasilisha maoni na mapendekezo kwa<br />
mabara<strong>za</strong> na wakala wa serikali na mashirika<br />
yanayohusika na masuala ya umma kwa ajili<br />
ya kuboresha utendaji wake wa kazi na kuleta<br />
umakini kwa kipengele chochote cha kazi yao<br />
ambao unawe<strong>za</strong> kuzorotesha utekele<strong>za</strong>ji wa haki<br />
<strong>za</strong> binadamu;<br />
• Kutoa malalamiko kuhusu sera rasmi na<br />
vitendo vinavyohusiana na haki <strong>za</strong> binadamu na<br />
malalamiko hayo kuchunguzwa;<br />
• Kutoa mapendekezo na msaada wa kisheria<br />
wenye sifa <strong>za</strong> kitaalamu au ushauri na msaada<br />
mwingine katika utetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu;<br />
• Kuhudhuria kesi <strong>za</strong> hadhara, mashtaka na hukumu<br />
ili kutathmini uzingativu wao wa sheria ya kitaifa<br />
na wajibu wa haki <strong>za</strong> binadamu kimataifa;<br />
• Kupata fursa na mawasiliano na mashirika<br />
yasiyo ya kiserikali na serikali mbalimbali bila<br />
kipingamizi;<br />
• Kunufaika na ufumbuzi thabiti;<br />
• Kutumia kihalali kazi au taaluma ya mtetezi wa<br />
haki <strong>za</strong> binadamu;<br />
• Kuweka ulinzi wa uhakika chini ya sheria ya kitaifa<br />
katika kuonyesha hisia dhidi ya au kupinga, kwa<br />
njia ya amani, vitendo au makosa yanayodhaniwa<br />
na Serikali kwamba yanasababisha ukiukaji wa<br />
haki <strong>za</strong> binadamu;<br />
• Kutafuta, kupokea na kutumia rasilimali kwa<br />
lengo la kulinda haki <strong>za</strong> binadamu (pamoja na<br />
kupokea fedha kutoka nje ya nchi).<br />
(E) Hoja nyingine<br />
Azimio linaonekana kwa baadhi ya wakosoaji<br />
kama matokeo yasiyoridhisha, kwa kuzingatia<br />
muda uliochukua nchi wanachama kukubaliana<br />
na ma<strong>and</strong>iko na ukweli kwamba ina vifungu fulani<br />
ambavyo bado vinazorotesha haki <strong>za</strong> watetezi.<br />
Madaraka ya Mw<strong>and</strong>ishi Maalum wa<br />
Umoja wa Mataifa kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong><br />
<strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />
Mwaka 2000, chini ya miaka miwili baada ya<br />
kupitishwa kwa Azimio hili, Tume ya Umoja wa<br />
Mataifa ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> kwa pamoja ilipitisha<br />
Azimio 2000/61 ambalo lilimtaka Katibu Mkuu<br />
kuteua Mwakilishi Maalum wa watetezi wa haki<br />
<strong>za</strong> binadamu. Huu ulikuwa utaratibu wa kwan<strong>za</strong><br />
kuundwa katika ngazi ya kimataifa katika kulinda<br />
haki <strong>za</strong> binadamu kwa mujibu wa haki zilizotajwa<br />
katika Azimio. Bi Hina Jilani, mwanasheria maarufu<br />
wa haki <strong>za</strong> binadamu kutoka Pakistan, aliteuliwa<br />
kuwa Mwakilishi Maalum wa kwan<strong>za</strong>. Mrithi wa<br />
Tume ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>, bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />
<strong>Binadamu</strong> la Umoja wa Mataifa, liliamua kuendelea<br />
na madaraka hayo kwa muda wa miaka mitatu<br />
mfululizo mnamo mwaka 2008 (azimio 7/8) na<br />
mwaka 2011 (Azimio 16/5). Mwezi Machi mwaka<br />
2008, Bi Margaret Sekaggya, hakimu wa Ug<strong>and</strong>a<br />
na Mwenyekiti wa <strong>za</strong>mani wa Tume ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />
<strong>Binadamu</strong> ya Ug<strong>and</strong>a, aliteuliwa kwenye madaraka,<br />
ambayo hapo ilibadilisha cheo na kuwa Mw<strong>and</strong>ishi<br />
Maalum wa hali ya watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu.<br />
Mw<strong>and</strong>ishi Maalum hufanya shughuli katika<br />
uhuru kamili wa nchi yoyote, si mfanyakazi wa<br />
Umoja wa Mataifa na hapati mshahara. Madaraka<br />
ya Mw<strong>and</strong>ishi Maalum ni kufanya shughuli kuu<br />
zifuatazo:<br />
• Kutafuta, kupokea, kuchungu<strong>za</strong> na kushughulikia<br />
taarifa juu ya hali ya watetezi wa haki <strong>za</strong><br />
binadamu;<br />
• Kuanzisha ushirikiano na kufanya mazungumzo<br />
na Serikali na watendaji wengine wenye nia ya<br />
kuendele<strong>za</strong> na kutekele<strong>za</strong> kwa ufanisi Azimio hili;<br />
• Kutoa mapendekezo ya mikakati madhubuti<br />
iliyo bora kwa kuwalinda watetezi wa haki <strong>za</strong><br />
binadamu na kufuatilia mapendekezo hayo;<br />
• Kuingi<strong>za</strong> mti<strong>za</strong>mo wa kijinsia katika kazi yake<br />
yote.<br />
Bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> lilizisisiti<strong>za</strong> Serikali zote<br />
kushirikiana na Mw<strong>and</strong>ishi Maalum na kutoa taarifa<br />
zote zinazoombwa. Mw<strong>and</strong>ishi Maalum anaombwa<br />
kuwasilisha taarifa ya kila mwaka kwa Bara<strong>za</strong> hili na<br />
Bara<strong>za</strong> Kuu.<br />
(A) Mta<strong>za</strong>mo mpana wa utekele<strong>za</strong>ji wa<br />
Azimio<br />
Madaraka rasmi ya Mw<strong>and</strong>ishi Maalum ni ya<br />
ujumla sana, yanayohitaji utambuzi wa mikakati,<br />
vipaumbele na shughuli <strong>za</strong> kuitekele<strong>za</strong>. “Ulinzi”<br />
wa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu ndio suala kuu<br />
4<br />
<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili