16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

• Kutafuta, kupata, kupokea na kuhifadhi taarifa<br />

zinazohusiana na haki <strong>za</strong> binadamu;<br />

• Kujenga na kujadili mawazo na kanuni mpya <strong>za</strong><br />

haki <strong>za</strong> binadamu na kutetea kukubalika kwake;<br />

• Kuwasilisha maoni na mapendekezo kwa<br />

mabara<strong>za</strong> na wakala wa serikali na mashirika<br />

yanayohusika na masuala ya umma kwa ajili<br />

ya kuboresha utendaji wake wa kazi na kuleta<br />

umakini kwa kipengele chochote cha kazi yao<br />

ambao unawe<strong>za</strong> kuzorotesha utekele<strong>za</strong>ji wa haki<br />

<strong>za</strong> binadamu;<br />

• Kutoa malalamiko kuhusu sera rasmi na<br />

vitendo vinavyohusiana na haki <strong>za</strong> binadamu na<br />

malalamiko hayo kuchunguzwa;<br />

• Kutoa mapendekezo na msaada wa kisheria<br />

wenye sifa <strong>za</strong> kitaalamu au ushauri na msaada<br />

mwingine katika utetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu;<br />

• Kuhudhuria kesi <strong>za</strong> hadhara, mashtaka na hukumu<br />

ili kutathmini uzingativu wao wa sheria ya kitaifa<br />

na wajibu wa haki <strong>za</strong> binadamu kimataifa;<br />

• Kupata fursa na mawasiliano na mashirika<br />

yasiyo ya kiserikali na serikali mbalimbali bila<br />

kipingamizi;<br />

• Kunufaika na ufumbuzi thabiti;<br />

• Kutumia kihalali kazi au taaluma ya mtetezi wa<br />

haki <strong>za</strong> binadamu;<br />

• Kuweka ulinzi wa uhakika chini ya sheria ya kitaifa<br />

katika kuonyesha hisia dhidi ya au kupinga, kwa<br />

njia ya amani, vitendo au makosa yanayodhaniwa<br />

na Serikali kwamba yanasababisha ukiukaji wa<br />

haki <strong>za</strong> binadamu;<br />

• Kutafuta, kupokea na kutumia rasilimali kwa<br />

lengo la kulinda haki <strong>za</strong> binadamu (pamoja na<br />

kupokea fedha kutoka nje ya nchi).<br />

(E) Hoja nyingine<br />

Azimio linaonekana kwa baadhi ya wakosoaji<br />

kama matokeo yasiyoridhisha, kwa kuzingatia<br />

muda uliochukua nchi wanachama kukubaliana<br />

na ma<strong>and</strong>iko na ukweli kwamba ina vifungu fulani<br />

ambavyo bado vinazorotesha haki <strong>za</strong> watetezi.<br />

Madaraka ya Mw<strong>and</strong>ishi Maalum wa<br />

Umoja wa Mataifa kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong><br />

<strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

Mwaka 2000, chini ya miaka miwili baada ya<br />

kupitishwa kwa Azimio hili, Tume ya Umoja wa<br />

Mataifa ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> kwa pamoja ilipitisha<br />

Azimio 2000/61 ambalo lilimtaka Katibu Mkuu<br />

kuteua Mwakilishi Maalum wa watetezi wa haki<br />

<strong>za</strong> binadamu. Huu ulikuwa utaratibu wa kwan<strong>za</strong><br />

kuundwa katika ngazi ya kimataifa katika kulinda<br />

haki <strong>za</strong> binadamu kwa mujibu wa haki zilizotajwa<br />

katika Azimio. Bi Hina Jilani, mwanasheria maarufu<br />

wa haki <strong>za</strong> binadamu kutoka Pakistan, aliteuliwa<br />

kuwa Mwakilishi Maalum wa kwan<strong>za</strong>. Mrithi wa<br />

Tume ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>, bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong> la Umoja wa Mataifa, liliamua kuendelea<br />

na madaraka hayo kwa muda wa miaka mitatu<br />

mfululizo mnamo mwaka 2008 (azimio 7/8) na<br />

mwaka 2011 (Azimio 16/5). Mwezi Machi mwaka<br />

2008, Bi Margaret Sekaggya, hakimu wa Ug<strong>and</strong>a<br />

na Mwenyekiti wa <strong>za</strong>mani wa Tume ya <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong> ya Ug<strong>and</strong>a, aliteuliwa kwenye madaraka,<br />

ambayo hapo ilibadilisha cheo na kuwa Mw<strong>and</strong>ishi<br />

Maalum wa hali ya watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu.<br />

Mw<strong>and</strong>ishi Maalum hufanya shughuli katika<br />

uhuru kamili wa nchi yoyote, si mfanyakazi wa<br />

Umoja wa Mataifa na hapati mshahara. Madaraka<br />

ya Mw<strong>and</strong>ishi Maalum ni kufanya shughuli kuu<br />

zifuatazo:<br />

• Kutafuta, kupokea, kuchungu<strong>za</strong> na kushughulikia<br />

taarifa juu ya hali ya watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu;<br />

• Kuanzisha ushirikiano na kufanya mazungumzo<br />

na Serikali na watendaji wengine wenye nia ya<br />

kuendele<strong>za</strong> na kutekele<strong>za</strong> kwa ufanisi Azimio hili;<br />

• Kutoa mapendekezo ya mikakati madhubuti<br />

iliyo bora kwa kuwalinda watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu na kufuatilia mapendekezo hayo;<br />

• Kuingi<strong>za</strong> mti<strong>za</strong>mo wa kijinsia katika kazi yake<br />

yote.<br />

Bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> lilizisisiti<strong>za</strong> Serikali zote<br />

kushirikiana na Mw<strong>and</strong>ishi Maalum na kutoa taarifa<br />

zote zinazoombwa. Mw<strong>and</strong>ishi Maalum anaombwa<br />

kuwasilisha taarifa ya kila mwaka kwa Bara<strong>za</strong> hili na<br />

Bara<strong>za</strong> Kuu.<br />

(A) Mta<strong>za</strong>mo mpana wa utekele<strong>za</strong>ji wa<br />

Azimio<br />

Madaraka rasmi ya Mw<strong>and</strong>ishi Maalum ni ya<br />

ujumla sana, yanayohitaji utambuzi wa mikakati,<br />

vipaumbele na shughuli <strong>za</strong> kuitekele<strong>za</strong>. “Ulinzi”<br />

wa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu ndio suala kuu<br />

4<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!