16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Sheria hii mpya inaharamisha kufanya ukeketaji<br />

na kupeleka mtu nje ya nchi kufanyiwa ukeketaji.<br />

Wajumbe wa Chama cha Wabunge Wanawake wa<br />

Kenya walisema ilikuwa siku ya kihistoria:<br />

“Nimepigania kwa miaka 18 hadi<br />

kufanikisha sheria hii. Leo ni siku ya uhuru<br />

kwa wanawake. Wanaume walipata uhuru<br />

wao mwaka 1963 - lakini leo wanawake<br />

wamefanikiwa kupata uhuru wao kutoka<br />

kwenye mikono ya kikatili ya jamii” 27<br />

alisema Sophia Abdi Noor.<br />

Pamoja na kwamba sheria hiyo ni hatua ya kipekee<br />

ya kusonga mbele, huchukua <strong>za</strong>idi ya sheria pekee<br />

kutokome<strong>za</strong> kweli vitendo hivyo ambavyo vimejikita<br />

mizizi yake katika utamaduni, na Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong>i wanaendelea kushiriki katika kampeni 28<br />

hii.<br />

Ug<strong>and</strong>a:<br />

Chini Ug<strong>and</strong>a, mashirika ya wanawake; Akina<br />

Mama wa Afrika, ‘Action Aid International Ug<strong>and</strong>a’,<br />

‘Isis-WICCE’ na ‘Women’s Network Ug<strong>and</strong>a’<br />

walijaribu kufanya igizo lililoitwa “Mazungumzo<br />

ya Uke”, ambalo lilihadithia tukio kubwa la ukatili<br />

wa kijinsia dhidi ya wanawake ikiwa ni pamoja<br />

na ukeketaji, kujamiiana kwa maharimu, na<br />

unyanyasaji wa kijinsia. Hata hivyo mchezo ambao<br />

ulikuwa wa mafanikio uli<strong>of</strong>anyika nchini Kenya,<br />

ulipigwa marufuku na Bara<strong>za</strong> la Habari kwa madai<br />

ya kutuku<strong>za</strong> kile walichoita ngono kinyume cha<br />

kawaida, yaani kupiga punyeto, usagaji na ushoga.<br />

Utekele<strong>za</strong>ji wa Bara<strong>za</strong> ulifikia kuweka kizuizi cha<br />

uhuru wa kujiele<strong>za</strong> na uthibitisho wa nguvu ya<br />

mfumo dume ambao bado umetawala katika<br />

vyombo vingi vya kutoa maamuzi. Katika mchakato<br />

wa mjadala mkali wa umma, wa<strong>and</strong>aaji walijengewa<br />

uadui na kashfa na viongozi wa serikali na watu<br />

wengine maarufu katika jamii. Katika tukio la<br />

hivi karibuni <strong>za</strong>idi, Waziri wa Maadili na Uadilifu<br />

“alishauri” hoteli kuu nchini Ug<strong>and</strong>a isitoe ukumbi<br />

kwa ajili ya warsha juu ya haki <strong>za</strong> wafanyabiashara<br />

women-africa<br />

27 Kama hapo juu. Kwa mujibu wa makala ya habari hizi<br />

wakati wa kilele cha Umoja wa Afrika mwezii Juni ambao<br />

ulipendeke<strong>za</strong> kupigwa marufuku kwa ukeketaji, Benin, Ivory<br />

Coast, Djibouti, Egypt, Eritrea, Ethiopia, Ghana, Guinea, Niger,<br />

Nigeria, Kenya, Jamhuri ya Afrika ya Kati, Senegal, Chad,<br />

Tan<strong>za</strong>nia, Togo na Ug<strong>and</strong>a walikuwa na sheria ya kupinga<br />

hili tayari. Kuna nchi tisa (zikiwemo zile ambazo ni kinyume<br />

cha sheria)ambako hutendeka sana: Djibouti, Egypt, Eritrea,<br />

Ethiopia, Guinea, Mali, Sierra Leone, Somalia na Sudan 85%<br />

ya wanawake hufanyiwa ukeketaji<br />

28 Makala ya Habari <strong>za</strong> Shirika la IRIN “Kenya: Legislation failing<br />

to curb FGM/C” tarehe 2 Juni, 2011. http://www.irinnews.<br />

org/report.aspxreportid=92869<br />

ya ngono ambayo ilisababisha wa<strong>and</strong>aaji kulazimika<br />

kuhamisha warsha hiyo.<br />

Ethiopia:<br />

Mwaka 2001, Serikali ya Ethiopia ilisimamisha<br />

kwa muda Chama cha Wanasheria Wanawake wa<br />

Ethiopia na kuzuia akaunti <strong>za</strong>ke kwa kile ilichoita<br />

“kujishughulisha na shughuli t<strong>of</strong>auti na zile<br />

walizoidhinishwa na sheria” 29 Hii ilitokea baada ya<br />

chama hiki kuilaumu Wi<strong>za</strong>ra ya <strong>Haki</strong> kwa kushindwa<br />

kufuatilia madai ya mhalifu ipasavyo juu ya ukatili<br />

majumbani unaoendelea. Chama cha Wanasheria<br />

Wanawake wa Ethiopia, moja ya mashirika yasiyo ya<br />

kiserikali lililo bora nchini Ethiopia linal<strong>of</strong>anya kazi<br />

ya usawa na haki <strong>za</strong> kijamii, liliacha mamia ya kesi<br />

<strong>za</strong> ukatili majumbani bila kushughulikiwa wakati wa<br />

kipindi cha kusimamishwa. Kitendo hiki cha Serikali<br />

kilionyesha ukiukwaji wa wazi wa uhuru wa kujiele<strong>za</strong><br />

na haki ya kusamba<strong>za</strong> habari. Hata hivyo, Chama<br />

cha Wanasheria Wanawake wa Ethiopia, baadaye<br />

kiliwe<strong>za</strong> kufanikiwa kurudishiwa utekele<strong>za</strong>ji wake<br />

kwa maamuzi ya mahakama baada ya Waziri wa<br />

Sheria kuhamishiwa wi<strong>za</strong>ra t<strong>of</strong>auti. Mbinu kama<br />

hizi huendelea kutumika na serikali ya Mashariki<br />

na Pembe ya Afrika. Katika kukabiliana na hali hii,<br />

Mw<strong>and</strong>ishi Maalum wa Umoja wa Mataifa juu ya<br />

hali ya watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu, Margaret<br />

Sekaggya, ali<strong>and</strong>ikia suala hili ndani ya taarfa<br />

iliyotolewa Desemba 2010 katika ma<strong>and</strong>alizi ya kikao<br />

cha 13 cha Bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>. Mw<strong>and</strong>ishi<br />

huyu anaagi<strong>za</strong> kuwa hakuna nchi inayoruhusiwa<br />

kuchukua hatua ya “vitisho, kuele<strong>za</strong> habari <strong>za</strong><br />

mtu, kunyang’anya mali, kusimamisha shughuli na<br />

kutoshirikisha katika michakato ya kitaifa ya ushauri”<br />

kwa misingi ya ubaguzi.<br />

Changamoto <strong>za</strong> kijinsia<br />

Changamoto ya dhahiri ambayo huwakabili<br />

wanawake watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu katika<br />

kazi <strong>za</strong>o ni kwamba mara nyingi ujinsia wa mtetezi<br />

ni muhimu katika kampeni dhidi ya kazi <strong>za</strong>o. Mara<br />

nyingi wanawake watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

ni walengwa kwa njia ambayo inalenga katika<br />

kuwaum.i<strong>za</strong> wao kama wanawake 30 , kama vile<br />

29 Shirika la ‘<strong>Human</strong> <strong>Rights</strong> Watch’ (2001) Ethiopia: Serikali Yavamia<br />

Wanasheria Wanawake, tarehe 17 Oktoba, 2001. http://<br />

www.hrw.org/press/2001/10/ethiopia-1017-ltr.htm<br />

30 A/HRC/16/44, Taarifa ya Margaret Sekaggya ya Mw<strong>and</strong>ishi<br />

Maalum kuhusu Hali ya Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

kwa Bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>, tarehe 20 Desemba, 2010.<br />

Inapatikana katika aya ya 87 ukurasa wa 17. Taarifa hii inazungumzia<br />

taarifa iliyopelekwa mwaka 2005 toka Jamhuri ya<br />

Afrika ya Kati kuhusu jaribio la kumbaka binti wa mwanamke<br />

mtetezi, na tishio la kumbaka mwanaharakati wa watu<br />

wafanyao mapenzi kinyume cha desturi nchini Kenya.<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili 35

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!