Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Hupote<strong>za</strong> udhibiti wa hali hiyo, hukwama<br />
Kukabiliwa na ukatili, unyama na ushushaji hadhi wa<br />
mahusiano ya binadamu kunawe<strong>za</strong> kuharibu imani<br />
ya mtu katika ubinadamu na kuonge<strong>za</strong> uchungu<br />
kwa Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>. Kukabiliana<br />
na uzoefu wa kiwewe kunawe<strong>za</strong> kuamsha uzoefu<br />
wa kiwewe kwa Mtetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />
mwenyewe – nani huamua jukumu la msaidizi<br />
Unap<strong>of</strong>anya kazi katika vikundi ambavyo hupata<br />
kiwewe kitokanacho na watu wengine, inawezekana<br />
kujenga mta<strong>za</strong>mo usiobadilishika (“kila mtu ametoka<br />
kutaka kunikamata” au “ni wakala wa serikali”),<br />
kuunda upya uhai wa mshambulizi/mhanga wa<br />
uhalifu na kumsingizia mwanatimu dhaifu. Timu<br />
na hata mashirika yamevunjika kwa sababu hii,<br />
hasa kama mahali hapana sera au mahusiano ya<br />
kushughulikia masuala kwa njia ya kudhibiti athari<br />
mbaya.<br />
Unyong’onyevu wa mwili<br />
Kwa mujibu wa mwanasaikolojia wa New York<br />
Herbert J. Freudenberger, Daktari wa Falsafa,<br />
ambaye aliunda istilahi hii. Unyong’onyevu wa mwili<br />
ni hali ya uchovu au kuchanganyikiwa unaoletwa<br />
na kujihusisha kwa dhati katika jambo, mtindo<br />
wa maisha, au uhusiano ambao umeshindwa<br />
kufanikisha matunda yaliyotarajiwa. Unyong’onyevu<br />
wa mwili ni tatizo lilioundwa kwa nia njema, kwa<br />
sababu hutokea wakati watu wanapojaribu kufikia<br />
malengo yasiyowezekana na kuishia kudho<strong>of</strong>isha<br />
nguvu <strong>za</strong>o na kupote<strong>za</strong> mawasiliano kwa wao<br />
wenyewe na wengine.<br />
Sababu <strong>za</strong> unyong’onyevu wa mwili:<br />
Mzigo mkubwa/uliokithiri wa hisia<br />
Sifa maalum binafsi mahsusi (Utu, huruma,<br />
uelewa) dhidi ya kuchanganyikiwa<br />
Mta<strong>za</strong>mo unaozingatia mteja - “mshtuko wa<br />
ukweli”<br />
Migogoro ya majukumu: wanawake na<br />
unyong’onyevu wa mwili - hisia <strong>za</strong> wasiwasi<br />
na hatia dhidi ya “ mwanamke mwenye uwezo<br />
uliokithiri” au “mama wa nyumbani mwenye<br />
uwezo uliokithiri”<br />
Jambo la m<strong>za</strong>ha kuhusu unyong’onyevu wa mwili<br />
ni kwamba inachotokea kwa mtu huyo huyo<br />
ambaye awali alikuwa na shauku na kujaa nguvu<br />
na mawazo mapya aliposhirikishwa kwan<strong>za</strong> katika<br />
kazi au hali mpya. Mtu wa aina hii kwa ujumla huwa<br />
na matarajio makubwa sana ya kile kinachowe<strong>za</strong><br />
kufanikishwa. Wakati muda unapokwenda na<br />
malengo yote kut<strong>of</strong>anikiwa, shauku hufa na<br />
aina ya unyong’onyevu hujijenga. Badala ya<br />
kupungu<strong>za</strong> malengo au kukubali ukweli, huzuia<br />
kuchanganyikiwa na mtu binafsi hujaribu <strong>za</strong>idi.<br />
Mambo matatu huhusishwa na unyong’onyevu wa<br />
mwili:<br />
Dalili<br />
Mgogoro wa majukumu: mtu ambaye ana<br />
majukumu yanayokin<strong>za</strong>na ataan<strong>za</strong> kujisikia<br />
kuingizwa katika p<strong>and</strong>e nyingi na atajaribu<br />
kufanya kila kitu vizuri kwa usawa bila kuweka<br />
vipaumbele. Matokeo yatakuwa hisia <strong>za</strong> uchovu<br />
au uchovu unaohusishwa na unyong’onyevu wa<br />
mwili<br />
Utata wa majukumu: Mtu binafsi hajui<br />
kinachotarajiwa toka kwake. Anajua kuwa<br />
anatarajiwa kuwa mfanyakazi mzuri lakini hana<br />
uhakika hasa wa jinsi ya kutekele<strong>za</strong> hayo kwa<br />
sababu hana mtindo au miongozo ya majukumu<br />
ya kufuata. Matokeo yake ni kwamba hahisi<br />
kuwa amekamilisha chochote cha manufaa hata<br />
kidogo.<br />
Kuzidiwa na majukumu: Mtu binafsi hawezi<br />
kukataa na huendelea kuchukua majukumu<br />
<strong>za</strong>idi ya uwezo wake wa kuyashughulikia hadi<br />
hatimaye hupata unyong’onyevu wa mwili.<br />
Mwanzo huwa pole pole. Dalili <strong>za</strong> awali ni pamoja<br />
na uchovu kihisia na kimwili; hali ya kutengwa,<br />
wasiwasi, kukosa uvumilivu, kutokuwa na shauku<br />
na hisia <strong>za</strong> kutovutiwa kiasi kwamba mtu huan<strong>za</strong><br />
kuchukia kazi inayohusika na watu ambao ni sehemu<br />
ya kazi hiyo. Katika hali mbaya, mtu ambaye hapo<br />
kwan<strong>za</strong> alijali sana kuhusu programu au kikundi<br />
atajihami kufikia kikomo cha kutojali tena hata<br />
kidogo.<br />
Uchovu wa kihisia, kiakili, kimwili<br />
Hisia <strong>za</strong> kukosa msaada na kukata tama<br />
Hisia <strong>za</strong> kutojua chochote<br />
Dalili <strong>za</strong> kimwili: maumivu ya kichwa, udhaifu,<br />
kujinyoosha mno, maumivu ya shingo na<br />
mabega, maumivu ya tumbo, kuongezeka uzito,<br />
kupungua kwa kinga hadi kupata maambukizi,<br />
matatizo ya kukosa usingizi<br />
Dalili <strong>za</strong> kihisia: huzuni kubwa, kuhisi kukosa<br />
msaada, kukata tamaa (“roho yangu ilikufa”).<br />
Dalili <strong>za</strong> kiakili: mta<strong>za</strong>mo hasi, kutoshawishika na<br />
umbali katika mahusiano ya binadamu, wasiwasi<br />
26<br />
<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili