16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Hupote<strong>za</strong> udhibiti wa hali hiyo, hukwama<br />

Kukabiliwa na ukatili, unyama na ushushaji hadhi wa<br />

mahusiano ya binadamu kunawe<strong>za</strong> kuharibu imani<br />

ya mtu katika ubinadamu na kuonge<strong>za</strong> uchungu<br />

kwa Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>. Kukabiliana<br />

na uzoefu wa kiwewe kunawe<strong>za</strong> kuamsha uzoefu<br />

wa kiwewe kwa Mtetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

mwenyewe – nani huamua jukumu la msaidizi<br />

Unap<strong>of</strong>anya kazi katika vikundi ambavyo hupata<br />

kiwewe kitokanacho na watu wengine, inawezekana<br />

kujenga mta<strong>za</strong>mo usiobadilishika (“kila mtu ametoka<br />

kutaka kunikamata” au “ni wakala wa serikali”),<br />

kuunda upya uhai wa mshambulizi/mhanga wa<br />

uhalifu na kumsingizia mwanatimu dhaifu. Timu<br />

na hata mashirika yamevunjika kwa sababu hii,<br />

hasa kama mahali hapana sera au mahusiano ya<br />

kushughulikia masuala kwa njia ya kudhibiti athari<br />

mbaya.<br />

Unyong’onyevu wa mwili<br />

Kwa mujibu wa mwanasaikolojia wa New York<br />

Herbert J. Freudenberger, Daktari wa Falsafa,<br />

ambaye aliunda istilahi hii. Unyong’onyevu wa mwili<br />

ni hali ya uchovu au kuchanganyikiwa unaoletwa<br />

na kujihusisha kwa dhati katika jambo, mtindo<br />

wa maisha, au uhusiano ambao umeshindwa<br />

kufanikisha matunda yaliyotarajiwa. Unyong’onyevu<br />

wa mwili ni tatizo lilioundwa kwa nia njema, kwa<br />

sababu hutokea wakati watu wanapojaribu kufikia<br />

malengo yasiyowezekana na kuishia kudho<strong>of</strong>isha<br />

nguvu <strong>za</strong>o na kupote<strong>za</strong> mawasiliano kwa wao<br />

wenyewe na wengine.<br />

Sababu <strong>za</strong> unyong’onyevu wa mwili:<br />

Mzigo mkubwa/uliokithiri wa hisia<br />

Sifa maalum binafsi mahsusi (Utu, huruma,<br />

uelewa) dhidi ya kuchanganyikiwa<br />

Mta<strong>za</strong>mo unaozingatia mteja - “mshtuko wa<br />

ukweli”<br />

Migogoro ya majukumu: wanawake na<br />

unyong’onyevu wa mwili - hisia <strong>za</strong> wasiwasi<br />

na hatia dhidi ya “ mwanamke mwenye uwezo<br />

uliokithiri” au “mama wa nyumbani mwenye<br />

uwezo uliokithiri”<br />

Jambo la m<strong>za</strong>ha kuhusu unyong’onyevu wa mwili<br />

ni kwamba inachotokea kwa mtu huyo huyo<br />

ambaye awali alikuwa na shauku na kujaa nguvu<br />

na mawazo mapya aliposhirikishwa kwan<strong>za</strong> katika<br />

kazi au hali mpya. Mtu wa aina hii kwa ujumla huwa<br />

na matarajio makubwa sana ya kile kinachowe<strong>za</strong><br />

kufanikishwa. Wakati muda unapokwenda na<br />

malengo yote kut<strong>of</strong>anikiwa, shauku hufa na<br />

aina ya unyong’onyevu hujijenga. Badala ya<br />

kupungu<strong>za</strong> malengo au kukubali ukweli, huzuia<br />

kuchanganyikiwa na mtu binafsi hujaribu <strong>za</strong>idi.<br />

Mambo matatu huhusishwa na unyong’onyevu wa<br />

mwili:<br />

Dalili<br />

Mgogoro wa majukumu: mtu ambaye ana<br />

majukumu yanayokin<strong>za</strong>na ataan<strong>za</strong> kujisikia<br />

kuingizwa katika p<strong>and</strong>e nyingi na atajaribu<br />

kufanya kila kitu vizuri kwa usawa bila kuweka<br />

vipaumbele. Matokeo yatakuwa hisia <strong>za</strong> uchovu<br />

au uchovu unaohusishwa na unyong’onyevu wa<br />

mwili<br />

Utata wa majukumu: Mtu binafsi hajui<br />

kinachotarajiwa toka kwake. Anajua kuwa<br />

anatarajiwa kuwa mfanyakazi mzuri lakini hana<br />

uhakika hasa wa jinsi ya kutekele<strong>za</strong> hayo kwa<br />

sababu hana mtindo au miongozo ya majukumu<br />

ya kufuata. Matokeo yake ni kwamba hahisi<br />

kuwa amekamilisha chochote cha manufaa hata<br />

kidogo.<br />

Kuzidiwa na majukumu: Mtu binafsi hawezi<br />

kukataa na huendelea kuchukua majukumu<br />

<strong>za</strong>idi ya uwezo wake wa kuyashughulikia hadi<br />

hatimaye hupata unyong’onyevu wa mwili.<br />

Mwanzo huwa pole pole. Dalili <strong>za</strong> awali ni pamoja<br />

na uchovu kihisia na kimwili; hali ya kutengwa,<br />

wasiwasi, kukosa uvumilivu, kutokuwa na shauku<br />

na hisia <strong>za</strong> kutovutiwa kiasi kwamba mtu huan<strong>za</strong><br />

kuchukia kazi inayohusika na watu ambao ni sehemu<br />

ya kazi hiyo. Katika hali mbaya, mtu ambaye hapo<br />

kwan<strong>za</strong> alijali sana kuhusu programu au kikundi<br />

atajihami kufikia kikomo cha kutojali tena hata<br />

kidogo.<br />

Uchovu wa kihisia, kiakili, kimwili<br />

Hisia <strong>za</strong> kukosa msaada na kukata tama<br />

Hisia <strong>za</strong> kutojua chochote<br />

Dalili <strong>za</strong> kimwili: maumivu ya kichwa, udhaifu,<br />

kujinyoosha mno, maumivu ya shingo na<br />

mabega, maumivu ya tumbo, kuongezeka uzito,<br />

kupungua kwa kinga hadi kupata maambukizi,<br />

matatizo ya kukosa usingizi<br />

Dalili <strong>za</strong> kihisia: huzuni kubwa, kuhisi kukosa<br />

msaada, kukata tamaa (“roho yangu ilikufa”).<br />

Dalili <strong>za</strong> kiakili: mta<strong>za</strong>mo hasi, kutoshawishika na<br />

umbali katika mahusiano ya binadamu, wasiwasi<br />

26<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!