Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
ya ulinzi bora kwa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />
na kufuatilia mapendekezo yake;<br />
• Kuonge<strong>za</strong> ufahamu na kuhimi<strong>za</strong> utekele<strong>za</strong>ji wa<br />
Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Watetezi wa<br />
<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> barani Afrika.<br />
• Ili kutekele<strong>za</strong> madaraka yake, Mw<strong>and</strong>ishi<br />
Maalum hupokea na kuchungu<strong>za</strong> taarifa kutoka<br />
vyanzo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na mashirika<br />
yasiyo ya kiserikali, na masuala ya rufaa <strong>za</strong> haraka<br />
kuhusu uvunjaji sheria dhidi ya watetezi wa haki<br />
<strong>za</strong> binadamu katika k<strong>and</strong>a.<br />
Tangu kuanzishwa kwa madaraka haya, Wa<strong>and</strong>ishi<br />
Maalum pia wamedumisha mawasiliano ya mara<br />
kwa mara na watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu kupitia<br />
ushiriki wao katika mikutano ya kimataifa na<br />
kik<strong>and</strong>a. Washika madaraka hawa pia walifanya ziara<br />
kadhaa <strong>za</strong> nchi, ikiwa ni pamoja na ziara ya pamoja<br />
na taarifa kwa vyombo vya habari na Mw<strong>and</strong>ishi<br />
Maalum wa Umoja wa Mataifa (ta<strong>za</strong>ma hapo juu).<br />
Vilevile Mw<strong>and</strong>ishi Maalum amewahamasisha watu<br />
binafsi na mashirika yasiyo ya kiserikali kuwasilisha<br />
kesi kuhusiana na watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />
kwa Tume ya Afrika. Chini ya Mkataba wa Afrika wa<br />
<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu, Tume ya Afrika<br />
kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu inapewa<br />
madaraka ya kupokea na kushughulikia mawazo<br />
kutoka kwa watu binafsi na mashirika (Kifungu cha<br />
55). Mtu yeyote anawe<strong>za</strong> kuwasilisha ujumbe kwa<br />
Tume ya Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong><br />
<strong>za</strong> Watu kukemea ukiukwaji wa haki <strong>za</strong> binadamu.<br />
Mlalamikaji au mw<strong>and</strong>ishi wa ujumbe huo si lazima<br />
ahusiane na mtendewa kinyume cha haki, lakini<br />
mwathirika huyo lazima atajwe. Mawazo yote lazima<br />
ya<strong>and</strong>ikwe, na kutumwa kwa Katibu au Mwenyekiti<br />
wa Tume ya Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong><br />
<strong>za</strong> Watu. Hakuna fomu au muundo maalum ambao<br />
lazima ufuatwe katika ku<strong>and</strong>ika mawazo hayo.<br />
Maelezo ya anwani kwa kupeleka mapendekezo na mawasiliano<br />
<strong>za</strong>idi:<br />
Tume ya Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu<br />
31 Bijilo Annex Layout, Wilaya ya Kaskazini ya Kombo<br />
Mkoa wa Magharibi<br />
S.L.B. 673<br />
Banjul, Gambia<br />
Miongozo ya Umoja Ulaya kuhusu<br />
Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />
Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya kwan<strong>za</strong> ulipitisha<br />
“Kuhakikisha Ulinzi - Miongozo ya Umoja wa Nchi<br />
<strong>za</strong> Ulaya kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>”<br />
mwezi Juni 2004, na toleo jipya lilisambazwa katika<br />
mwaka 2008. Miongozo 2 hii inatoa mapendekezo<br />
yanayotekelezeka kwa ajili ya kuimarisha hatua <strong>za</strong><br />
Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya kuunga mkono mawasiliano<br />
ya watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu katika balozi <strong>za</strong><br />
nchi wanachama wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya na<br />
nchi zinazoendelea katika ngazi zote pamoja na<br />
katika mikutano ya haki <strong>za</strong> binadamu ya vyombo<br />
mbalimbali, kama vile Bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />
la Umoja wa Mataifa. Miongozo hii ni sehemu<br />
ya jitihada <strong>za</strong> Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya kuhimi<strong>za</strong><br />
heshima ya haki ya kutetea haki <strong>za</strong> binadamu. Hutoa<br />
mwongozo kwa vitendo kwa ujumbe wa Umoja wa<br />
Nchi <strong>za</strong> Ulaya katika nchi zinazoendelea juu ya hatua<br />
wanazowe<strong>za</strong> kuchukua kwa niaba ya watetezi wa<br />
haki <strong>za</strong> binadamu walio hatarini, na kupendeke<strong>za</strong><br />
njia <strong>za</strong> kuunga mkono na kusaidia watetezi wa haki<br />
<strong>za</strong> binadamu, katika mukhtadha wa Sera ya Pamoja<br />
ya Nje na Usalama ya Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya.<br />
Miongozo hii pia hutoa msaada kwa ajili ya Taratibu<br />
Maalum <strong>za</strong> Bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> la Umoja<br />
wa Mataifa, ikiwa ni pamoja na Mw<strong>and</strong>ishi Maalum<br />
wa Umoja wa Mataifa kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />
<strong>Binadamu</strong>, na mifumo mingine ya kik<strong>and</strong>a (kama<br />
vile Mw<strong>and</strong>ishi Maalum wa Tume ya Afrika kuhusu<br />
<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu kuhusu watetezi<br />
wa haki <strong>za</strong> binadamu). Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya<br />
husaidia kanuni zilizomo katika Azimio la Umoja<br />
wa Mataifa kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>.<br />
Hatua <strong>za</strong> vitendo<br />
a) Ufuatiliaji, utoaji taarifa na tathmini.<br />
Wakuu wa Balozi <strong>za</strong> nchi wanachama wa Umoja<br />
wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya tayari wanaombwa kutoa taarifa<br />
<strong>za</strong> mara kwa mara juu ya hali ya haki <strong>za</strong> binadamu<br />
katika nchi ambazo zimeteuliwa. Balozi mbalimbali<br />
zinatarajiwa kushughulikia hali ya watetezi wa haki<br />
<strong>za</strong> binadamu katika taarifa <strong>za</strong>o, zikibainisha hasa<br />
tukio la vitisho au mashambulizi yoyote dhidi ya<br />
watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu.<br />
b) Wajibu wa Balozi <strong>za</strong> Nchi Wanachama<br />
wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya na ujumbe<br />
wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya katika<br />
kuwasaidia na kuwalinda watetezi wa haki<br />
<strong>za</strong> binadamu.<br />
Ujumbe wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya (yaani, balozi<br />
<strong>za</strong> nchi wanachama wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya na<br />
ujumbe wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya) wanafanya<br />
kazi kubwa katika kutekele<strong>za</strong> sera <strong>za</strong> Umoja wa Nchi<br />
<strong>za</strong> Ulaya kwa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu. Balozi<br />
<strong>za</strong> nchi wanachama wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya na<br />
2 Inapatikana katika http://www.consilium.europa.eu/uedocs/cmsUpload/GuidelinesDefenders.pdf<br />
8<br />
<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili