16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ya ulinzi bora kwa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

na kufuatilia mapendekezo yake;<br />

• Kuonge<strong>za</strong> ufahamu na kuhimi<strong>za</strong> utekele<strong>za</strong>ji wa<br />

Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu Watetezi wa<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> barani Afrika.<br />

• Ili kutekele<strong>za</strong> madaraka yake, Mw<strong>and</strong>ishi<br />

Maalum hupokea na kuchungu<strong>za</strong> taarifa kutoka<br />

vyanzo mbalimbali, ikiwa ni pamoja na mashirika<br />

yasiyo ya kiserikali, na masuala ya rufaa <strong>za</strong> haraka<br />

kuhusu uvunjaji sheria dhidi ya watetezi wa haki<br />

<strong>za</strong> binadamu katika k<strong>and</strong>a.<br />

Tangu kuanzishwa kwa madaraka haya, Wa<strong>and</strong>ishi<br />

Maalum pia wamedumisha mawasiliano ya mara<br />

kwa mara na watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu kupitia<br />

ushiriki wao katika mikutano ya kimataifa na<br />

kik<strong>and</strong>a. Washika madaraka hawa pia walifanya ziara<br />

kadhaa <strong>za</strong> nchi, ikiwa ni pamoja na ziara ya pamoja<br />

na taarifa kwa vyombo vya habari na Mw<strong>and</strong>ishi<br />

Maalum wa Umoja wa Mataifa (ta<strong>za</strong>ma hapo juu).<br />

Vilevile Mw<strong>and</strong>ishi Maalum amewahamasisha watu<br />

binafsi na mashirika yasiyo ya kiserikali kuwasilisha<br />

kesi kuhusiana na watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

kwa Tume ya Afrika. Chini ya Mkataba wa Afrika wa<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu, Tume ya Afrika<br />

kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu inapewa<br />

madaraka ya kupokea na kushughulikia mawazo<br />

kutoka kwa watu binafsi na mashirika (Kifungu cha<br />

55). Mtu yeyote anawe<strong>za</strong> kuwasilisha ujumbe kwa<br />

Tume ya Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong><br />

<strong>za</strong> Watu kukemea ukiukwaji wa haki <strong>za</strong> binadamu.<br />

Mlalamikaji au mw<strong>and</strong>ishi wa ujumbe huo si lazima<br />

ahusiane na mtendewa kinyume cha haki, lakini<br />

mwathirika huyo lazima atajwe. Mawazo yote lazima<br />

ya<strong>and</strong>ikwe, na kutumwa kwa Katibu au Mwenyekiti<br />

wa Tume ya Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong><br />

<strong>za</strong> Watu. Hakuna fomu au muundo maalum ambao<br />

lazima ufuatwe katika ku<strong>and</strong>ika mawazo hayo.<br />

Maelezo ya anwani kwa kupeleka mapendekezo na mawasiliano<br />

<strong>za</strong>idi:<br />

Tume ya Afrika kuhusu <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu<br />

31 Bijilo Annex Layout, Wilaya ya Kaskazini ya Kombo<br />

Mkoa wa Magharibi<br />

S.L.B. 673<br />

Banjul, Gambia<br />

Miongozo ya Umoja Ulaya kuhusu<br />

Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya kwan<strong>za</strong> ulipitisha<br />

“Kuhakikisha Ulinzi - Miongozo ya Umoja wa Nchi<br />

<strong>za</strong> Ulaya kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>”<br />

mwezi Juni 2004, na toleo jipya lilisambazwa katika<br />

mwaka 2008. Miongozo 2 hii inatoa mapendekezo<br />

yanayotekelezeka kwa ajili ya kuimarisha hatua <strong>za</strong><br />

Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya kuunga mkono mawasiliano<br />

ya watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu katika balozi <strong>za</strong><br />

nchi wanachama wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya na<br />

nchi zinazoendelea katika ngazi zote pamoja na<br />

katika mikutano ya haki <strong>za</strong> binadamu ya vyombo<br />

mbalimbali, kama vile Bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

la Umoja wa Mataifa. Miongozo hii ni sehemu<br />

ya jitihada <strong>za</strong> Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya kuhimi<strong>za</strong><br />

heshima ya haki ya kutetea haki <strong>za</strong> binadamu. Hutoa<br />

mwongozo kwa vitendo kwa ujumbe wa Umoja wa<br />

Nchi <strong>za</strong> Ulaya katika nchi zinazoendelea juu ya hatua<br />

wanazowe<strong>za</strong> kuchukua kwa niaba ya watetezi wa<br />

haki <strong>za</strong> binadamu walio hatarini, na kupendeke<strong>za</strong><br />

njia <strong>za</strong> kuunga mkono na kusaidia watetezi wa haki<br />

<strong>za</strong> binadamu, katika mukhtadha wa Sera ya Pamoja<br />

ya Nje na Usalama ya Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya.<br />

Miongozo hii pia hutoa msaada kwa ajili ya Taratibu<br />

Maalum <strong>za</strong> Bara<strong>za</strong> la <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> la Umoja<br />

wa Mataifa, ikiwa ni pamoja na Mw<strong>and</strong>ishi Maalum<br />

wa Umoja wa Mataifa kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong>, na mifumo mingine ya kik<strong>and</strong>a (kama<br />

vile Mw<strong>and</strong>ishi Maalum wa Tume ya Afrika kuhusu<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> na <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> Watu kuhusu watetezi<br />

wa haki <strong>za</strong> binadamu). Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya<br />

husaidia kanuni zilizomo katika Azimio la Umoja<br />

wa Mataifa kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>.<br />

Hatua <strong>za</strong> vitendo<br />

a) Ufuatiliaji, utoaji taarifa na tathmini.<br />

Wakuu wa Balozi <strong>za</strong> nchi wanachama wa Umoja<br />

wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya tayari wanaombwa kutoa taarifa<br />

<strong>za</strong> mara kwa mara juu ya hali ya haki <strong>za</strong> binadamu<br />

katika nchi ambazo zimeteuliwa. Balozi mbalimbali<br />

zinatarajiwa kushughulikia hali ya watetezi wa haki<br />

<strong>za</strong> binadamu katika taarifa <strong>za</strong>o, zikibainisha hasa<br />

tukio la vitisho au mashambulizi yoyote dhidi ya<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu.<br />

b) Wajibu wa Balozi <strong>za</strong> Nchi Wanachama<br />

wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya na ujumbe<br />

wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya katika<br />

kuwasaidia na kuwalinda watetezi wa haki<br />

<strong>za</strong> binadamu.<br />

Ujumbe wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya (yaani, balozi<br />

<strong>za</strong> nchi wanachama wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya na<br />

ujumbe wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya) wanafanya<br />

kazi kubwa katika kutekele<strong>za</strong> sera <strong>za</strong> Umoja wa Nchi<br />

<strong>za</strong> Ulaya kwa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu. Balozi<br />

<strong>za</strong> nchi wanachama wa Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya na<br />

2 Inapatikana katika http://www.consilium.europa.eu/uedocs/cmsUpload/GuidelinesDefenders.pdf<br />

8<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!