16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Sura ya 1:<br />

Vyombo vya Kimataifa na Kik<strong>and</strong>a kwa Ulinzi wa Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong><br />

Sura hii inatoa historia ya nyuma ya Azimio la Umoja<br />

wa Mataifa kuhusu <strong>Haki</strong> na Wajibu wa Watu binafsi,<br />

Makundi na Vyombo vya Jamii ili Kuku<strong>za</strong> na Kulinda<br />

<strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> Zinazotambuliwa Kiulimwengu na<br />

Uhuru wa Kimsingi (kwa kawaida linajulikana kama<br />

“Azimio juu ya watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu”) na<br />

maelezo ya jumla ya Azimio lenyewe. Pia inaelezea<br />

taratibu maalum zifuatazo <strong>za</strong> ulinzi kimataifa na<br />

kik<strong>and</strong>a kwa ajili ya watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>,<br />

madaraka na mbinu <strong>za</strong>o <strong>za</strong> kazi:<br />

1. Mw<strong>and</strong>ishi Maalum wa Umoja wa Mataifa<br />

kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

2. Mw<strong>and</strong>ishi Maalum kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong> barani Afrika<br />

3. Miongozo ya Umoja wa Nchi <strong>za</strong> Ulaya kuhusu<br />

Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

Wasomaji wanahimizwa kuendele<strong>za</strong> utekele<strong>za</strong>ji<br />

wa viwango vya kimataifa vilivyomo katika Tamko<br />

la Umoja wa Mataifa kuhusu watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu ambazo zinawalinda watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu duniani kote na kutumia na kuimarisha<br />

taratibu zilizoelezwa katika mada hii. 1<br />

Historia ya nyuma ya Azimio la Umoja<br />

wa Mataifa kuhusu Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong><br />

<strong>Binadamu</strong><br />

Siku hizi, uendele<strong>za</strong>ji na ulinzi wa haki ya kutetea<br />

haki <strong>za</strong> binadamu hufanya mada yenye ongezeko<br />

la shauku duniani kote. Hata hivyo, kampeni ya<br />

kimataifa ya kuteka mawazo kimataifa juu ya hali ya<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu ilikuwa iki<strong>and</strong>aliwa<br />

vizuri na kuwekewa malengo <strong>za</strong>idi na <strong>za</strong>idi wakati wa<br />

miaka ya 1980.<br />

Barani Afrika, mfululizo wa mashauriano umekuwa<br />

na matokeo mazuri sana katika ufafanuzi<br />

wa Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu watetezi<br />

wa haki <strong>za</strong> binadamu. Kampeni <strong>za</strong> k<strong>and</strong>a ndogo<br />

na Afrika nzima ziliz<strong>of</strong>anyika mwaka 1998 kabla ya<br />

kupitishwa kwa azimio hilo, zilikuwa udhihirishaji<br />

wazi wa shauku na dhamira ya asasi zisizo <strong>za</strong><br />

kiserikali katika kutetea haki ya kutetea haki <strong>za</strong><br />

binadamu, na kuendesha kampeni ya kuweka<br />

mazingira bora ya kufanyia kampeni kwa ajili ya<br />

watetezi barani kote. Matokeo ya kampeni hizo<br />

katika Afrika yalitolewa katika Mkutano wa Paris<br />

1 Makala asilia ya Musa Gassama, na marekebisho na michango<br />

na Rachel Nicholson.<br />

wa Desemba 1998 na katika ma<strong>and</strong>iko ya Azimio<br />

la Umoja wa Mataifa kuhusu watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu.<br />

Katika kushughulikia hali mbaya inayowakabili<br />

watetezi, kwa azimio 53/144 la tarehe 9 Desemba<br />

1998, Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa<br />

kauli moja walipitisha Azimio kuhusu watetezi wa<br />

haki <strong>za</strong> binadamu. Hii ilikuwa baada ya <strong>za</strong>idi ya<br />

muongo mmoja wa kushawishi, kufanya kampeni<br />

na mazungumzo. Utaratibu wa kupanga miaka<br />

na matukio katika mchakato wa ku<strong>and</strong>aa rasimu<br />

ulian<strong>za</strong> mwezi Februari 1980 na kumalizika mwezi<br />

Februari 1997, na Mkutano Mkuu ulipitisha Azimio<br />

hilo tarehe 9 Desemba 1998, yaani miaka 18 ya<br />

majadiliano, zoezi la aina yake lililokwenda taratibu<br />

<strong>za</strong>idi katika historia ya Umoja wa Mataifa!<br />

Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu<br />

Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong><br />

(A) Maoni ya jumla<br />

Kupitishwa kwa Azimio la Umoja wa Mataifa kuhusu<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu mwaka 1998 lilikuwa<br />

tukio muhimu. Kwa kupitisha Azimio hilo, nchi<br />

wanachama walitambua:<br />

• hali mbaya ya watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

duniani kote;<br />

• kuwepo kwa haki ya watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu katika kutetea haki <strong>za</strong> binadamu,na<br />

• haja ya ushirikiano wa kimataifa katika kulinda<br />

haki hii ya kutetea haki <strong>za</strong> binadamu.<br />

Azimio si mkataba au desturi, hivyo si chombo<br />

kinach<strong>of</strong>unga kisheria. Hata hivyo:<br />

• Linawakilisha ushirikiano wa kimataifa wa kulinda<br />

haki <strong>za</strong> watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu duniani<br />

kote;<br />

• Linatambua uhalali wa shughuli <strong>za</strong> haki <strong>za</strong><br />

binadamu na haja ya shughuli hizi na wale<br />

wanaotekele<strong>za</strong> shughuli hizi kulindwa;<br />

• Linatoa mfumo wa kisheria wa kuwalinda<br />

2<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!