16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mikakati ya ulinzi ni migumu, kwa sababu lazima<br />

izingatie mambo ambayo yanaathiri usalama<br />

wa wengine (kufuatia, kwa mfano, mfumo wa<br />

vitisho-udhaifu-uwezo), pia jinsi wanavy<strong>of</strong>anya<br />

wengine katika kujilinda wenyewe (mikakati<br />

yao ya kukabiliana). Ili kukabiliana na utata huu,<br />

tumeunda Mfumo wa Uendeshaji kwa Ulinzi<br />

wa Ugani, unaotumika kwa watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu 15 . Mfumo huu lazima uwe wa ufafanuzi<br />

<strong>za</strong>idi kuliko orodha rahisi ya kuzingatia: Ni lazima<br />

utafakari mwingiliano na ushirikiano na migongano<br />

ya vyombo vya aina zote vinavy<strong>of</strong>anya kazi katika<br />

ulinzi, ili kutathmini matokeo ya aina mbalimbali au<br />

shughuli <strong>za</strong> ulinzi kwa njia ya mpangilio <strong>za</strong>idi ambao<br />

ndio uliopo sasa.<br />

Mfumo wa Uendeshaji kwa Ulinzi wa Ugani ni<br />

chombo kikubwa na rahisi kutumika, kuchanganywa<br />

na kudhibitiwa katika hali t<strong>of</strong>auti <strong>za</strong> shughuli <strong>za</strong><br />

ulinzi zinaz<strong>of</strong>anywa na serikali, mashirika ya nchini<br />

na mashirika yasiyo ya kiserikali, watu walioathirika<br />

na mashirika ya kimataifa na mashirika yasiyo ya<br />

kiserikali yaliyohusishwa. Mfumo huu unawe<strong>za</strong><br />

kutumika na mtu binafsi kwa chombo chochote<br />

kati ya hivyo, wakati ikifanya au kufikiria kufanya<br />

shughuli <strong>za</strong> ulinzi, au kwa makundi ya vyombo hivyo,<br />

pamoja na mta<strong>za</strong>mo wa sekta nzima.<br />

Mfumo wa Uendeshaji kwa Ulinzi wa Ugani una<br />

hatua sita:<br />

1. Uchambuzi wa mazingira na matukio;<br />

2. Uchambuzi wa hatari (vitisho, udhaifu, uwezo);<br />

3. Mikakati ya kukabiliana ya kundi athirika;<br />

4. Hatua zilizochukuliwa na taasisi nyingine;<br />

5. Hatua <strong>za</strong> kuchukua: Mikakati na Mipango;<br />

6. Tathmini ya athari.<br />

Hizi hatua 6 zinawe<strong>za</strong> kuchukuliwa pamoja na<br />

watetezi ambao ulinzi wa usalama wao unapitiwa<br />

upya, ili kupata mfumo wa pamoja wa ulinzi, ambao<br />

ndio lengo la mwisho la mchakato mzima.<br />

Hatua <strong>za</strong>idi katika usalama na ulinzi wa<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

• Mafunzo katika usimamizi na mipango ya usalama<br />

(kukiwa na watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu wa aina<br />

mbalimbali, inabidi mafunzo haya yarekebishwe<br />

kulingana na mazingira na uwezo wa aina<br />

mbalimbali).<br />

• Kuingi<strong>za</strong> suala la usalama katika mipango ya<br />

kawaida ya kazi.<br />

• Kutoa nyenzo muhimu kwa ajili ya usimamizi wa<br />

usalama wa watetezi: rasilimali watu, fedha, njia<br />

<strong>za</strong> kiufundi, n.k<br />

Ili kufikia malengo haya, tunawe<strong>za</strong> kuchukua angalau<br />

hatua 16 zifuatazo:<br />

Mfumo wa Uendeshaji kwa Ulinzi wa Ugani (au<br />

chombo kingine chenye lengo linal<strong>of</strong>anana) unawe<strong>za</strong><br />

kutumika kupitia mahitaji ya usalama na ulinzi wa<br />

watetezi walio katika vitisho katika mazingira teule.<br />

• Semina au warsha <strong>za</strong> mafunzo katika usalama<br />

na ulinzi: Mafunzo yanawe<strong>za</strong> kuwa pamoja na<br />

uchambuzi wa pamoja (kwa kutumia Mfumo wa<br />

Uendeshaji kwa Ulinzi wa Ugani) uliotajwa katika<br />

kipengele kilichotangulia, ili hatua zote mbili<br />

zichukuliwe kwa mpigo.<br />

• Semina au warsha <strong>za</strong> kufuatilia na kusaidia<br />

mipango ya maendeleo na usalama iliyoundwa<br />

baada ya mafunzo (warsha hizo lazima zifanyike<br />

katika kipindi cha miezi 6-12 baada ya mafunzo<br />

ya awali).<br />

• Kutoa vitabu vya mwongozo wa usalama na ulinzi<br />

na nyaraka <strong>za</strong> kumbukumbu.<br />

• Utafiti <strong>za</strong>idi ili kuboresha usalama na ulinzi wa<br />

watetezi.<br />

Kitengo cha Utafiti na Mafunzo ya Ofisi ya Ulaya ya<br />

PBI kwa sasa kinazifanyia kazi mada hizi, na lengo<br />

letu ni kupanua kazi hii kwa njia ya ushirikiano na<br />

mashirika yasiyo ya kiserikali na taasisi nyingine,<br />

ambazo zina lengo la pamoja la kushughulikia vizuri<br />

mahitaji ya usalama na ulinzi wa watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu.<br />

Hapa tutaorodhesha mapendekezo kadhaa ya<br />

malengo ya kutimi<strong>za</strong> kwa ajili ya usalama na ulinzi<br />

wa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu:<br />

15 Kazi hii bado inaendelea na imefikiriwa pia itumiwe na IDP,<br />

wafadhili, vyama vya wafanyakazi, nk.<br />

16 Kitengo cha Utafiti na Mafunzo cha Ofisi ya Ulaya ya PBI<br />

tayari kinafanyia kazi , pamoja na NGO nyingine kama vile<br />

vyama vya kijamii vya kimataifa.<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili 17

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!