16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu, watendaji wasiokuwa<br />

wa kiserikali na chama cha kiraia inapaswa kuwa<br />

lengo la msingi. katika hatua yoyote ya kuchukua.<br />

Kuelezea umuhimu wa kuchukua hatua <strong>za</strong> pamoja<br />

kwa niaba ya ulinzi bora wa watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu, inahitaji kueleweka kiasi cha ukubwa wa<br />

eneo la kujihusisha nalo linalowe<strong>za</strong> na ambalo ni<br />

lazima lifanyiwe kazi. <strong>Kutetea</strong> mageuzi ya sheria na<br />

sera ni eneo moja tu linalohitaji kushughulikiwa kwa<br />

juhudi. Ushawishi kwa ajili ya kupitishwa kwa Azimio<br />

la Umoja wa Mataifa kuhusu watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu kama chombo cha kitaifa chenye masharti<br />

ya kisheria, na kuanzisha mikakati ya kuhakikisha<br />

uzingatiaji wake vitasaidia wazo la watetezi wa haki<br />

<strong>za</strong> binadamu kwa ujumla pamoja na watetezi wa<br />

haki <strong>za</strong> binadamu hasa. Wakati huo huo itawe<strong>za</strong><br />

kuwawajibisha watendaji wasio wa kiserikali kwa<br />

ukiukaji wa haki <strong>za</strong> watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu.<br />

Hata hivyo, marekebisho ya sheria hayawezi kuwa<br />

suluhisho pekee. Mabadiliko hayo yanahitaji kwenda<br />

sambamba na kulenga mawazo na miundo ambayo<br />

husaidia kuendele<strong>za</strong> hali iliyopo sasa ya kutokuwa<br />

na usawa na fikra <strong>za</strong> hali ya kuwa mwanamme na<br />

ya kuwa mwanamke. Matatizo yanayowakumba<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu tena na tena toka<br />

ndani ya jamii na familia <strong>za</strong>o kwa misingi ya kazi<br />

yao yanahitaji kuchukua hatua <strong>za</strong> ziada zinazolenga<br />

imani zinazoidhinishwa na mila na utamaduni. Kwa<br />

hiyo, kwa kufanya kampeni na uhamasishaji kwa<br />

jamii ni muhimu.<br />

Mbali na kazi ya kushawishi iliyoelezwa hapo<br />

juu, watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu wana<strong>of</strong>anya<br />

kazi mahali hapo wana hatari maalum kabisa<br />

zinazowakabili katika kazi <strong>za</strong>o na uwezo wao wa<br />

kutoa mchango kwa usalama wao wenyewe bado<br />

haujatumika kikamilifu. Sehemu nyingine <strong>za</strong> kitabu<br />

hiki zinajaribu kuwaunga mkono watetezi wa haki<br />

<strong>za</strong> binadamu kwa kuwapa taarifa juu ya usimamizi<br />

wa usalama wao wenyewe na tathmini ya hatari.<br />

Sehemu ya rejea katika kitabu hiki pia inatoa vitabu<br />

maelezo <strong>za</strong>idi ambayo kwa pamoja yatawawezesha<br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu kupata mafundisho<br />

kwa ajili ya mahitaji yao maalum ya usalama.<br />

Mashirika kadhaa kwa sasa yanatoa msaada kwa<br />

ajili ya ulinzi wa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu. Kati<br />

yao shirika la ‘Front Line’ na ‘Urgent Action Fund<br />

for Women’ ambayo maelezo yao ya mawasiliano<br />

na maelezo mafupi ya fani yao ya kazi yanawe<strong>za</strong><br />

kupatikana katika kiambatanisho cha kitabu hiki.<br />

Utambuzi<br />

Uundaji wa programu mbalimbali ili kutambua na<br />

kuheshimu kazi ya kishujaa ya watetezi wa haki<br />

<strong>za</strong> binadamu inawe<strong>za</strong> kutumika kwa manufaa ya<br />

kampeni kwa ajili ya kuonekana na kutambuliwa<br />

kwa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu na changamoto<br />

<strong>za</strong>o maalum. Tuzo 35 <strong>za</strong> haki <strong>za</strong> binadamu zilizotolewa<br />

kwa wanawake watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

zinawe<strong>za</strong> kutumika kama motisha muhimu katika<br />

kazi yao, ambayo haishughulikii wazo lao binafsi tu<br />

bali pia hutoa fursa ya kuimarisha kuonekana kwa<br />

mafanikio na changamoto <strong>za</strong> watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu.<br />

Mfano wa programu kama hiyo ni ‘International<br />

Women <strong>of</strong> Courage Award’(Tuzo ya Kimataifa ya<br />

Wanawake Jasiri) iliyotolewa na Mke wa Rais wa<br />

Marekani Michelle Obama na Katibu wa Nchi Hillary<br />

Clinton mwaka 2010. 36 Tuzo hiyo ilitolewa kwa<br />

Mwanasheria wa Kenya, Ann Njogu, Mwenyekiti<br />

wa CREAW, kituo cha sheria kinachotoa msaada<br />

wa kisheria na warsha kuhusu haki <strong>za</strong> wanawake<br />

kwa wanawake maskini kutoka maeneo ya vijijini.<br />

Miongoni mwa programu nyingine <strong>za</strong> haki <strong>za</strong><br />

binadamu, Ann pia alisaidia kampeni kwa ajili ya<br />

katiba mpya na kufanya kazi katika miradi inayohusu<br />

ujinsia, urithi wa mjane na mahari. Kama sehemu<br />

ya kazi yake, Ann amekabiliwa na matukio mabaya<br />

katika kuendele<strong>za</strong> haki <strong>za</strong> wanawake; amekuwa<br />

akitishiwa, kukamatwa na kushambuliwa. Licha<br />

ya yote haya, Ann bado anaamua kuendelea na<br />

kazi yake, akionyesha juhudi kubwa kwa haki <strong>za</strong><br />

binadamu.<br />

Kwa ujumla,, ni muhimu kwa watetezi wa haki<br />

<strong>za</strong> binadamu wenyewe kutambua na kukabiliana<br />

kwa bidii na changamoto. Hii inawe<strong>za</strong> kufanywa<br />

vizuri <strong>za</strong>idi kwa kushirikiana na kuunda mikakati<br />

inayostahili kukabiliana na ukosefu wa usawa wa<br />

msingi katika jamii, jambo ambalo kwa bahati<br />

mbaya bado pia linaonekana katika harakati <strong>za</strong><br />

haki <strong>za</strong> binadamu. Kupata watetezi wen<strong>za</strong> kujiunga<br />

katika harakati <strong>za</strong> haki <strong>za</strong> binadamu, itanufaisha<br />

jambo hili, kwa kutumia uwezo wao na kupanua<br />

wigo wa ushawishi. Watendaji wa Serikali na wasio<br />

wa Serikali kutambua changamoto mahsusi <strong>za</strong><br />

watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu linapaswa liwe jambo<br />

la kuzingatia <strong>za</strong>idi la utetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

35 Kwa mfano ‘Ginetta Sagan Fund Award’, ‘Front Line Award’,<br />

‘Martin Ennals Award for <strong>Human</strong> <strong>Rights</strong> Defenders’, ‘REEBOK<br />

<strong>Human</strong> <strong>Rights</strong> Award’ au ‘Robert F. Kennedy <strong>Human</strong> <strong>Rights</strong><br />

Award’.<br />

36 ‘<strong>Human</strong> <strong>Rights</strong> Watch’, “Defending Women in Kenya” (<strong>Kutetea</strong><br />

Wanawake nchini Kenya)” tarehe 19 Aprili, 2010. http://www.<br />

hrw.org/en/news/2010/04/19/defending-women-kenya<br />

(ilipatikana tarehe 1/12/11)<br />

38<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!