Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu, watendaji wasiokuwa<br />
wa kiserikali na chama cha kiraia inapaswa kuwa<br />
lengo la msingi. katika hatua yoyote ya kuchukua.<br />
Kuelezea umuhimu wa kuchukua hatua <strong>za</strong> pamoja<br />
kwa niaba ya ulinzi bora wa watetezi wa haki <strong>za</strong><br />
binadamu, inahitaji kueleweka kiasi cha ukubwa wa<br />
eneo la kujihusisha nalo linalowe<strong>za</strong> na ambalo ni<br />
lazima lifanyiwe kazi. <strong>Kutetea</strong> mageuzi ya sheria na<br />
sera ni eneo moja tu linalohitaji kushughulikiwa kwa<br />
juhudi. Ushawishi kwa ajili ya kupitishwa kwa Azimio<br />
la Umoja wa Mataifa kuhusu watetezi wa haki <strong>za</strong><br />
binadamu kama chombo cha kitaifa chenye masharti<br />
ya kisheria, na kuanzisha mikakati ya kuhakikisha<br />
uzingatiaji wake vitasaidia wazo la watetezi wa haki<br />
<strong>za</strong> binadamu kwa ujumla pamoja na watetezi wa<br />
haki <strong>za</strong> binadamu hasa. Wakati huo huo itawe<strong>za</strong><br />
kuwawajibisha watendaji wasio wa kiserikali kwa<br />
ukiukaji wa haki <strong>za</strong> watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu.<br />
Hata hivyo, marekebisho ya sheria hayawezi kuwa<br />
suluhisho pekee. Mabadiliko hayo yanahitaji kwenda<br />
sambamba na kulenga mawazo na miundo ambayo<br />
husaidia kuendele<strong>za</strong> hali iliyopo sasa ya kutokuwa<br />
na usawa na fikra <strong>za</strong> hali ya kuwa mwanamme na<br />
ya kuwa mwanamke. Matatizo yanayowakumba<br />
watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu tena na tena toka<br />
ndani ya jamii na familia <strong>za</strong>o kwa misingi ya kazi<br />
yao yanahitaji kuchukua hatua <strong>za</strong> ziada zinazolenga<br />
imani zinazoidhinishwa na mila na utamaduni. Kwa<br />
hiyo, kwa kufanya kampeni na uhamasishaji kwa<br />
jamii ni muhimu.<br />
Mbali na kazi ya kushawishi iliyoelezwa hapo<br />
juu, watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu wana<strong>of</strong>anya<br />
kazi mahali hapo wana hatari maalum kabisa<br />
zinazowakabili katika kazi <strong>za</strong>o na uwezo wao wa<br />
kutoa mchango kwa usalama wao wenyewe bado<br />
haujatumika kikamilifu. Sehemu nyingine <strong>za</strong> kitabu<br />
hiki zinajaribu kuwaunga mkono watetezi wa haki<br />
<strong>za</strong> binadamu kwa kuwapa taarifa juu ya usimamizi<br />
wa usalama wao wenyewe na tathmini ya hatari.<br />
Sehemu ya rejea katika kitabu hiki pia inatoa vitabu<br />
maelezo <strong>za</strong>idi ambayo kwa pamoja yatawawezesha<br />
watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu kupata mafundisho<br />
kwa ajili ya mahitaji yao maalum ya usalama.<br />
Mashirika kadhaa kwa sasa yanatoa msaada kwa<br />
ajili ya ulinzi wa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu. Kati<br />
yao shirika la ‘Front Line’ na ‘Urgent Action Fund<br />
for Women’ ambayo maelezo yao ya mawasiliano<br />
na maelezo mafupi ya fani yao ya kazi yanawe<strong>za</strong><br />
kupatikana katika kiambatanisho cha kitabu hiki.<br />
Utambuzi<br />
Uundaji wa programu mbalimbali ili kutambua na<br />
kuheshimu kazi ya kishujaa ya watetezi wa haki<br />
<strong>za</strong> binadamu inawe<strong>za</strong> kutumika kwa manufaa ya<br />
kampeni kwa ajili ya kuonekana na kutambuliwa<br />
kwa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu na changamoto<br />
<strong>za</strong>o maalum. Tuzo 35 <strong>za</strong> haki <strong>za</strong> binadamu zilizotolewa<br />
kwa wanawake watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />
zinawe<strong>za</strong> kutumika kama motisha muhimu katika<br />
kazi yao, ambayo haishughulikii wazo lao binafsi tu<br />
bali pia hutoa fursa ya kuimarisha kuonekana kwa<br />
mafanikio na changamoto <strong>za</strong> watetezi wa haki <strong>za</strong><br />
binadamu.<br />
Mfano wa programu kama hiyo ni ‘International<br />
Women <strong>of</strong> Courage Award’(Tuzo ya Kimataifa ya<br />
Wanawake Jasiri) iliyotolewa na Mke wa Rais wa<br />
Marekani Michelle Obama na Katibu wa Nchi Hillary<br />
Clinton mwaka 2010. 36 Tuzo hiyo ilitolewa kwa<br />
Mwanasheria wa Kenya, Ann Njogu, Mwenyekiti<br />
wa CREAW, kituo cha sheria kinachotoa msaada<br />
wa kisheria na warsha kuhusu haki <strong>za</strong> wanawake<br />
kwa wanawake maskini kutoka maeneo ya vijijini.<br />
Miongoni mwa programu nyingine <strong>za</strong> haki <strong>za</strong><br />
binadamu, Ann pia alisaidia kampeni kwa ajili ya<br />
katiba mpya na kufanya kazi katika miradi inayohusu<br />
ujinsia, urithi wa mjane na mahari. Kama sehemu<br />
ya kazi yake, Ann amekabiliwa na matukio mabaya<br />
katika kuendele<strong>za</strong> haki <strong>za</strong> wanawake; amekuwa<br />
akitishiwa, kukamatwa na kushambuliwa. Licha<br />
ya yote haya, Ann bado anaamua kuendelea na<br />
kazi yake, akionyesha juhudi kubwa kwa haki <strong>za</strong><br />
binadamu.<br />
Kwa ujumla,, ni muhimu kwa watetezi wa haki<br />
<strong>za</strong> binadamu wenyewe kutambua na kukabiliana<br />
kwa bidii na changamoto. Hii inawe<strong>za</strong> kufanywa<br />
vizuri <strong>za</strong>idi kwa kushirikiana na kuunda mikakati<br />
inayostahili kukabiliana na ukosefu wa usawa wa<br />
msingi katika jamii, jambo ambalo kwa bahati<br />
mbaya bado pia linaonekana katika harakati <strong>za</strong><br />
haki <strong>za</strong> binadamu. Kupata watetezi wen<strong>za</strong> kujiunga<br />
katika harakati <strong>za</strong> haki <strong>za</strong> binadamu, itanufaisha<br />
jambo hili, kwa kutumia uwezo wao na kupanua<br />
wigo wa ushawishi. Watendaji wa Serikali na wasio<br />
wa Serikali kutambua changamoto mahsusi <strong>za</strong><br />
watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu linapaswa liwe jambo<br />
la kuzingatia <strong>za</strong>idi la utetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />
35 Kwa mfano ‘Ginetta Sagan Fund Award’, ‘Front Line Award’,<br />
‘Martin Ennals Award for <strong>Human</strong> <strong>Rights</strong> Defenders’, ‘REEBOK<br />
<strong>Human</strong> <strong>Rights</strong> Award’ au ‘Robert F. Kennedy <strong>Human</strong> <strong>Rights</strong><br />
Award’.<br />
36 ‘<strong>Human</strong> <strong>Rights</strong> Watch’, “Defending Women in Kenya” (<strong>Kutetea</strong><br />
Wanawake nchini Kenya)” tarehe 19 Aprili, 2010. http://www.<br />
hrw.org/en/news/2010/04/19/defending-women-kenya<br />
(ilipatikana tarehe 1/12/11)<br />
38<br />
<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili