16.01.2015 Views

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

Kutetea Haki za Binadamu - East and Horn of Africa Human Rights ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

kuzungum<strong>za</strong> wazi. H<strong>of</strong>u ya kukataliwa na kutengwa<br />

na jamii inawe<strong>za</strong> kushawishi mtetezi asiseme kweli<br />

juu ya suala nyeti. Kwa kawaida kuna fursa ndogo<br />

ya kimbilio salama <strong>za</strong>idi ya nyumbani kwao mtetezi<br />

anapokuwa katika tishio. Matendo ya ukatili wa<br />

kimwili na kingono ndani ya familia unaosababishwa<br />

na kazi ya mwanamke kama mtetezi mara nyingi<br />

yatashughulikiwa kama “suala la ndani” na<br />

mamlaka ambapo mhalifu atapata adhabu ndogo<br />

au kutoadhibiwa kabisa. Ni hizi hali zinazoendelea<br />

ndizo zinazopelekea uwajibikaji ulioboreshwa wa<br />

watendaji wasiokuwa wa kiserikali na utambuzi wa<br />

haki <strong>za</strong> wanawake watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

kutetea haki <strong>za</strong> wengine bado kuwa changamoto<br />

kubwa.<br />

Hatua ndogo <strong>za</strong> kuleta mabadiliko<br />

Ni njia gani nyingine inayowe<strong>za</strong> kufanikisha ulinzi<br />

bora <strong>za</strong>idi kwa wanawake watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu Kwa hakika hakuna jibu rahisi kwa<br />

swali hili. Hata hivyo, tokana na ufafanuzi wa<br />

hapo juu, inakuwa wazi kwamba njia hiyo iwe ya<br />

wafuasi wengi, wakishughulikia vyanzo halisi vya<br />

ubaguzi unaoendelea ambao husababisha hatari<br />

mahususi kwa watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu. Hii<br />

itabidi ikusudie kubadilisha itikadi ya wahalifu na<br />

kuunda miundo na taasisi katika jamii ambayo<br />

inawe<strong>za</strong> kutoa ulinzi sawa kwa raia wote bila kujali<br />

jinsi. Hili halifanyiki kwa muda mfupi, na makala<br />

hii hawezi kudai kutoa ufumbuzi kwa hali ya<br />

kutokuwa na usawa inayoendelea katika jamii yetu.<br />

Hata hivyo, hujaribu kutoa mawazo ya utekele<strong>za</strong>ji<br />

kwa madhumuni ya kushughulikia madhara<br />

maalum yanayowe<strong>za</strong> kuwapata watetezi wa haki<br />

<strong>za</strong> binadamu katika mta<strong>za</strong>mo 33 wa muda mrefu.<br />

Kampeni ya kimataifa juu ya watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu iliyotajwa hapo juu ni mfano mzuri wa<br />

kujaribu kujenga mabadiliko ya pamoja. Imetokana<br />

na jitihada <strong>za</strong> mit<strong>and</strong>ao kati ya vikundi vya haki<br />

<strong>za</strong> wanawake na mashirika ya haki <strong>za</strong> binadamu,<br />

na hivyo kuleta pamoja utaalamu na hamasa toka<br />

misingi mbalimbali. Lengo la kampeni lililotangazwa<br />

ni kuunga mkono haki <strong>za</strong> binadamu duniani kote<br />

katika juhudi <strong>za</strong>o <strong>za</strong> kuendele<strong>za</strong> haki <strong>za</strong> wengine.<br />

Hata hivyo, kampeni inakusudia kulenga wale<br />

watetezi walio hatarini kutokana na jinsi <strong>za</strong>o na/au<br />

utambulisho wa kijinsia. Ili kufanikisha hili, mkazo<br />

utawekwa juu ya “kuendele<strong>za</strong> mikakati changanuzi<br />

na ya kisiasa ya pamoja kwa kuimarisha ulinzi wa<br />

wanawake watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu katika<br />

muktadha mpana <strong>za</strong>idi wa kuthibitisha dhamira<br />

33 Sehemu nyingine <strong>za</strong> kitabu hutoa ushauri wa jinsi ya kushughulikia<br />

matatizo ya usalama ya watu binafsi. Angalia sura<br />

“Watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> katika vitisho: Mta<strong>za</strong>mo wa<br />

Ugani kwa Kazi <strong>za</strong>o” na “Vyombo vya Kimataifa na Kik<strong>and</strong>a<br />

kwa Ulinzi wa Wateteai wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>”.<br />

zilizotambuliwa kimataifa kwa kanuni <strong>za</strong> demokrasia<br />

na haki <strong>za</strong> binadamu na uhuru ulimwenguni.”Hii<br />

ina maana inabidi juhudi <strong>za</strong> kitaifa na kimataifa<br />

ziendelezwe bega kwa bega kuyapa uzito maelezo<br />

ya kitaifa na wakati huo huo kutumia nguvu <strong>za</strong><br />

harakati <strong>za</strong> kimataifa katika kuanzisha na kutia<br />

msukumo wa mabadiliko. Kiufanisi hii ina maana<br />

kwamba watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu wanahitaji<br />

kuji<strong>and</strong>aa. Katika ngazi ya kitaifa changamoto hii ni<br />

kuunganisha pamoja watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu<br />

na kutambua vikwazo wanavyokabiliwa navyo kwa<br />

msingi wa kazi yao na jinsi <strong>za</strong>o. Hii inabidi ifanywe<br />

kwa kuzingatia mfumo wa sasa wa kijamii, kisheria,<br />

kisiasa na kiutamaduni uliopo ambamo watetezi wa<br />

haki <strong>za</strong> binadamu hufanyia kazi na ambao wakati<br />

huo huo huathiri ubaguzi wao na uwezekano wao<br />

wa kuathirika. Ni kwa uchambuzi wa wazi wa<br />

vyanzo halisi vya ubaguzi na ukosefu wa usalama<br />

tu ndio unaowe<strong>za</strong> kuendele<strong>za</strong> vyombo muhimu vya<br />

mabadiliko. Mikutano ya mashauriano ya kitaifa<br />

kama ile iliy<strong>of</strong>anyika nchini Togo au Nepal 34 inawe<strong>za</strong><br />

kuwa chaguo moja la kuwaunganisha watetezi wa<br />

haki <strong>za</strong> binadamu kwa ajili ya mipango ya uchambuzi<br />

na mkakati. Hata hivyo huwa muhimu kuhusisha<br />

harakati kubwa <strong>za</strong> kitaifa <strong>za</strong> haki <strong>za</strong> binadamu<br />

katika hatua yoyote ama kama lengo la kampeni<br />

au mbia wa mabadiliko. Kujenga kukubalika na<br />

kuungwa mkono kwa ujumla kati ya harakati kubwa<br />

<strong>za</strong> watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu juu ya uhalali<br />

wa madai ya watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu kuwa<br />

washirika sawa katika kutetea haki <strong>za</strong> binadamu liwe<br />

moja ya malengo.<br />

Njia zilizochaguliwa kushughulikia suala la vyanzo<br />

vya madhara maalum ya watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu hutegemea sana mazingira ya kitaifa.<br />

Hata hivyo, kampeni zilizolenga kushughulikia<br />

masuala hayo sambamba na changamoto <strong>za</strong> jumla<br />

<strong>za</strong> watetezi wa haki <strong>za</strong> binadamu zinawe<strong>za</strong> kutoa<br />

msaada mkubwa <strong>za</strong>idi na matokeo endelevu<br />

<strong>za</strong>idi. Vyombo na vitendo vilivyoainishwa inabidi<br />

vihusiane na kufaa kutumika katika hali ya sasa<br />

ya kushughulikia watendaji muhimu – hivyo<br />

mashauriano na chama cha kiraia kikubwa na<br />

kushirikiana mafunzo yaliyopatikana katika<br />

kampeni na utetezi yanawe<strong>za</strong> kuwa ya manufaa<br />

sana katika ku<strong>and</strong>aa kampeni thabiti yenye lengo.<br />

Ushiriki wa rasilimali watu na uzoefu katika<br />

hatua kama hizo lazima upatikane. Kujenga hali<br />

ambapo masuala mahususi ya watetezi wa haki <strong>za</strong><br />

binadamu yanashughulikiwa na kupata ulinzi kama<br />

ilivyoainishwa na serikali katika nyaraka <strong>za</strong> kimataifa<br />

kama vile Azimio la Umoja wa Mataifa juu ya<br />

34 Masimulizi yake na matukio yanay<strong>of</strong>anana nayo yanawe<strong>za</strong><br />

kupatikanakupitia http://www.defendingwomen-defendingrights.org/actions.php<br />

<strong>Kutetea</strong> <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong>: Kitabu cha Marejeo kwa watetezi wa <strong>Haki</strong> <strong>za</strong> <strong>Binadamu</strong> | Toleo la pili 37

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!