08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

i. Maisha ya Seyyid Abdul Qadir (Qsa).<br />

Seyyid Abdul Qadir ni Muajemi. Naye ni mashuhuri si<br />

katika Ardhi tu, bali hata Mbinguni pia. Yeye ni Sheikh wa<br />

Waislam na ni kiigizo kwa Mawalii na watu wema. Seyyid Abdul<br />

Qadir alikuwa Imamu wa Siddikin na A`arifiyn.<br />

Sharafu yake kwa Mawalii wenzake ni kama Sharafu ya<br />

Nabii Muhammad kwa Mitume wenzake.<br />

ii. Kuzaliwa kwake:<br />

Seyyid Abdul Qadir alizaliwa katika kijiji cha Jeilan huko<br />

Iraq. <strong>Al</strong>izaliwa usiku wa kuamkia Mwezi mosi wa Ramadhani<br />

mwaka 470. A.H.<br />

Bi Fatma alichukua mimba ya mtoto huyo na hali ya kuwa<br />

umri wake ni miaka 60. Wakati ambao hapana tamaa ya kupata<br />

mtoto yeyote.<br />

Siku hiyo aliyomzaa Seyyid Abdul Qadir ilizagaa Nuru<br />

ambayo ilitapakaa kijiji kizima. Mambo hayakuwa hayo tu, lakini<br />

hapakuwa na mtu yeyote aliyethubutu kuuangalia uso wake kwa<br />

mng‟aro na haiba yake.<br />

Tabia zake zafanana na zile za Seyydina Muhammad<br />

(Saw). Uzuri wake ni ule kama wa Nabii Yusuf (A.s). Ukweli wake<br />

unalingana na Seyyidna Abu-Bakar. (R.a) Haki yake ni kama ile ya<br />

Seyyidna Omar (R.a), na upole wake wa Seyyidna Othman. (Ra).<br />

iii. (a) Nasabu yake kwa kuumeni<br />

Yeye ni Seyyid Abdul Qadir bin Mussa bin Abdillah<br />

1.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!