Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
i. Maisha ya Seyyid Abdul Qadir (Qsa).<br />
Seyyid Abdul Qadir ni Muajemi. Naye ni mashuhuri si<br />
katika Ardhi tu, bali hata Mbinguni pia. Yeye ni Sheikh wa<br />
Waislam na ni kiigizo kwa Mawalii na watu wema. Seyyid Abdul<br />
Qadir alikuwa Imamu wa Siddikin na A`arifiyn.<br />
Sharafu yake kwa Mawalii wenzake ni kama Sharafu ya<br />
Nabii Muhammad kwa Mitume wenzake.<br />
ii. Kuzaliwa kwake:<br />
Seyyid Abdul Qadir alizaliwa katika kijiji cha Jeilan huko<br />
Iraq. <strong>Al</strong>izaliwa usiku wa kuamkia Mwezi mosi wa Ramadhani<br />
mwaka 470. A.H.<br />
Bi Fatma alichukua mimba ya mtoto huyo na hali ya kuwa<br />
umri wake ni miaka 60. Wakati ambao hapana tamaa ya kupata<br />
mtoto yeyote.<br />
Siku hiyo aliyomzaa Seyyid Abdul Qadir ilizagaa Nuru<br />
ambayo ilitapakaa kijiji kizima. Mambo hayakuwa hayo tu, lakini<br />
hapakuwa na mtu yeyote aliyethubutu kuuangalia uso wake kwa<br />
mng‟aro na haiba yake.<br />
Tabia zake zafanana na zile za Seyydina Muhammad<br />
(Saw). Uzuri wake ni ule kama wa Nabii Yusuf (A.s). Ukweli wake<br />
unalingana na Seyyidna Abu-Bakar. (R.a) Haki yake ni kama ile ya<br />
Seyyidna Omar (R.a), na upole wake wa Seyyidna Othman. (Ra).<br />
iii. (a) Nasabu yake kwa kuumeni<br />
Yeye ni Seyyid Abdul Qadir bin Mussa bin Abdillah<br />
1.