08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

UTANGULIZI:<br />

“Assalamu alay–kum warah–matullahi –Taala wabarakatuh”.<br />

Namshukuru Mwenyezi Mungu Mtukufu kwa kunijaalia fikra<br />

na utashi wa kuandika kitabu hiki nilichokitambulisha kwa jina la<br />

Ghawth–l–A`adham, Seyyid Sheikh – Abdul – Qadir-Jaylani.<br />

(Qad-sa-Llahu-Siral-A`ziz)<br />

Makusudio yangu makubwa katika kuandika kitabu hiki ni<br />

kuelezea sifa na mwenendo wa maisha ya Bwana wa Mawalii na<br />

kipenzi cha Mwenyezi Mungu Mtukufu na Mtume (Saw).<br />

Ni Matarajio yetu Historia hii tuliyoiandika ndani ya kitabu<br />

hiki itahifadhika na kujenga kumbukumbu juu ya maisha ya watu<br />

wema kwa ujumla. Kuwakumbuka watu wema na kufuatisha<br />

matendo mema ni ufunguo wa kheri hapa duniani na Akhera.<br />

Insha <strong>Al</strong>lah Mwenyezi Mungu amjaalie kila la kheri msomaji<br />

wa kitabu hiki na amjaalie kuwa na matendo mema.<br />

“Eee Mwenyezi Mungu tujaalie sote<br />

mwishilio mwema na utujaalie kuwa<br />

watu wa peponi”<br />

(Aamiin).<br />

Sheikh Salim Ibn Mbarak – (Dar-weish – Mti Mkavu).<br />

S.L.P 8105<br />

Zawiya Kuu – Arusha.<br />

Tanzania (E.A).<br />

vii.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!