08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mtoto wa kike kugeuka mwanaume.<br />

10.Hekaya:-<br />

Mtu mmoja alimwendea Seyyid Abdul Qadir kumtaka<br />

amuombee dua ili apate mtoto mwanamme. Ghawth alijibu,<br />

“Nimeshakuombea kwa Mungu na atakupa huyo umtakaye”. Yule<br />

Bwana alimpata mtoto, lakini alikuwa mwanamke. Kwa hivyo<br />

alimchukua mpaka kwa Sheikh na kumwambia, “Mimi nilimtaka<br />

mtoto wa kiume, si wa kike”. Seyyid Abdul Qadir alisema: “Basi<br />

mfunike nguo na umrudishe nyumbani, utaona yatakayotokea“.<br />

Mara tu alipofika nyumbani alimwona yule mtoto wa kike<br />

amegeuka kuwa mtoto wa kiume. Kama alivyotaka hasa.<br />

Tajiri kuwaona ngamia wake waliopotea:<br />

11. Hekaya:-<br />

Siku moja Tajiri mmoja alikuwa akisubiri msafara ili<br />

afuatane nao kwenda kufamya biashara. <strong>Al</strong>ikuwa na ngamia 6<br />

ambao amewatwisha magunia ya sukari.<br />

Walipofika katikati ya njia. Ngamia wake walipotea pamoja<br />

na mizigo yao. <strong>Al</strong>iwatafuta sana, lakini hakuwaona. Basi akapiga<br />

ukelele, “Ewe Seyyid Abdul Qadir, ngamia wangu wamepotea<br />

pamoja na mizigo yao”. Kutazama mbele yake alimwona mtu<br />

amevaa nguo nyeupe anampungia mkono, <strong>Al</strong>ipokwenda kule<br />

hakumwona yule mtu bali aliwaona wale ngamia wake pamoja na<br />

mizigo yao.<br />

Ndege kusikiliza maneno:<br />

21.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!