Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mtoto wa kike kugeuka mwanaume.<br />
10.Hekaya:-<br />
Mtu mmoja alimwendea Seyyid Abdul Qadir kumtaka<br />
amuombee dua ili apate mtoto mwanamme. Ghawth alijibu,<br />
“Nimeshakuombea kwa Mungu na atakupa huyo umtakaye”. Yule<br />
Bwana alimpata mtoto, lakini alikuwa mwanamke. Kwa hivyo<br />
alimchukua mpaka kwa Sheikh na kumwambia, “Mimi nilimtaka<br />
mtoto wa kiume, si wa kike”. Seyyid Abdul Qadir alisema: “Basi<br />
mfunike nguo na umrudishe nyumbani, utaona yatakayotokea“.<br />
Mara tu alipofika nyumbani alimwona yule mtoto wa kike<br />
amegeuka kuwa mtoto wa kiume. Kama alivyotaka hasa.<br />
Tajiri kuwaona ngamia wake waliopotea:<br />
11. Hekaya:-<br />
Siku moja Tajiri mmoja alikuwa akisubiri msafara ili<br />
afuatane nao kwenda kufamya biashara. <strong>Al</strong>ikuwa na ngamia 6<br />
ambao amewatwisha magunia ya sukari.<br />
Walipofika katikati ya njia. Ngamia wake walipotea pamoja<br />
na mizigo yao. <strong>Al</strong>iwatafuta sana, lakini hakuwaona. Basi akapiga<br />
ukelele, “Ewe Seyyid Abdul Qadir, ngamia wangu wamepotea<br />
pamoja na mizigo yao”. Kutazama mbele yake alimwona mtu<br />
amevaa nguo nyeupe anampungia mkono, <strong>Al</strong>ipokwenda kule<br />
hakumwona yule mtu bali aliwaona wale ngamia wake pamoja na<br />
mizigo yao.<br />
Ndege kusikiliza maneno:<br />
21.