Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
12. Hekaya:-<br />
Siku moja alikaa Seyyid Abdul Qadir, anazungumza. Basi<br />
akasema: “Lau kama Mwenyezi Mungu angetaka kumleta Ndege<br />
rangi ya kijani kusikilza maneno yangu, basi angekuja”. Baada ya<br />
kumaliza kusema hivi, mara alitokea ndege mzuri wa rangi ile ile<br />
ya kijani. <strong>Al</strong>iingia ndani ya mkono wa kanzu yake kusikiliza<br />
maneno wala hakonekana tena mahala alikokwenda.<br />
Kukatika ndege vipande vipande:<br />
13. Hekaya:-<br />
Siku moja Seyyid Andul Qadir alikuwa akizungumza, Mara<br />
akaja ndege mzuri wa rangi ya kijani akatua mbele yake ili<br />
kusikiliza maneno yake. Seyyid Abdul Qadir akasma, “Lau<br />
ningemwambia huyu ndege kufa na kukatika vipande vipande basi<br />
angalikufa.” Basi pale pale alianguka na akakatika vipande.<br />
Kuhujumiwa simba mbele ya banda la farasi<br />
14. Hekaya:-<br />
<strong>Al</strong>ikuwapo Walii mmoja jina lake Sheikh Ahmad<br />
Zamdah. Sheikh Ahmad alikuwa akipanda simba na kutembea<br />
naye anapokwenda kwa Mawalii wengine. Pale anapofika humtaka<br />
mwenyeji wake ampe Ng‟ombe mmoja, yaani chakula cha simba<br />
wake. Siku moja yule Sheikh Ahmad alifika Baghdad na akaenda<br />
kwa Seyyid Abdul Qadir.<br />
22.