08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Seyyid Abdbul Qadir alimwita yule Daktari Mnasara akampa ile<br />

minyororo ya dhahabu pamoja na yale matandiko ya hariri. Pale<br />

yule Mnasara alisilimu mbele ya Sheikh Seyyid Abdul Qadir kwa<br />

kuona mambo ya siri na karama zake.<br />

Kufuturu chakula cha peponi:<br />

9. Hekaya:-<br />

Seyyid Abdul Qadir alikaa Riadha siku 40 kwa kufanya<br />

Ibada. Siku zote hizo alikuwa ndani ya Siami (funga). Ilimpitia<br />

rohoni mwake kutokufuturu kitu chochote isipokuwa maji mpaka<br />

Mwenyezi Mungu amteremshie chakula cha peponi.<br />

Ilipofika siku ya 38, aliona sakafu ya nyumba inapasuka na<br />

alimwona mtu mwenye birika ya dhahabu katika mkono mmoja na<br />

katika mkono wa pili alikuwa amechukua sahani ya fedha yenye<br />

matunda. Tena hivyo vitu aliviweka mbele ya Seyyid Abdul Qadir.<br />

Seyyid Abdul Qadir aliuliza, “Vitu gani hivi?” Yule<br />

mtumishi alijibu, “Hivyo ni vyakula nimepewa nikuletee.” Seyyid<br />

Abdul Qadir alisema: “Mtume amekataza kulia vyombo vya<br />

dhahabu na fedha. Viondoe hivyo vitu“. Yule Rohani alitoka mbio<br />

na vyombo vyake. Lakini ulipofika wakati wa kufuturu, alishuka<br />

Malaika na sahani iliyojaaa chakula. Yule Malaika alisema: “Ewe<br />

Ghawthil-A`adham, hii ni dhifa yako inayotoka kwa Mwenyezi<br />

Mungu. Seyyid Abdbul Qadir alipokea kile chakula akala yeye<br />

pamoja na wengi wa marafiki zake. Na Mwenyezi Mungu<br />

humruzuku amtakae pasina kudhani kama ataipata riziki hiyo kwa<br />

muda huo.<br />

20.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!