08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mavazi yake yalikuwa ya fahari, kama mavazi ya kifalme. Mavazi<br />

hayo aliyavaa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu.<br />

Siku moja alipita mtu mwenye haja na akavua nguo hizo<br />

akampa yeye. <strong>Al</strong>itoa Joho ambalo thamani yake yadi moja ni<br />

Dinari 20; yaani Sh. 240/-<strong>Al</strong>itoa na kilemba ambacho thamanai<br />

yake ni Dinari 70,000 yaani sh. 840,000/- .<br />

xvi. Wake zake<br />

Seyyid Abdul Qadir hapo mwanzoni mwake alikaaa muda<br />

mrefu sana bila ya kuoa. <strong>Al</strong>ikaa muda mrefu kwa Ibaada na<br />

alichelea kuvaana na mambo ya ndoa asije akashughulika na<br />

akapunguza Ibaada zake kwa mshughuliko wa wakeze. Siku moja<br />

aliendewa na Mtume(Saw) akamwambia aoe. Kwa kupata nasaha<br />

hiyo ndipo alipooa, na alioa wake wanne.<br />

xvii Watoto wake:<br />

Watoto aliozaa Seyyid Abdul Qadir ni 49. Katika hao 27<br />

walikuwa watoto wanaume na 22 walikuwa wanawake.<br />

Hawa wafuatao ni miongoni mwa hao watoto wa kiume wa<br />

Seyyid Abdul Qadir aliowaacha baada ya kufa:-<br />

1. Sheikh Abdul Wahab<br />

2. Sheikh Abdul Razak<br />

3. Sheikh Abdul Aziz<br />

4. Sheikh Abdul Jabbar<br />

5. Sheikh Abdul Ghafur<br />

6. Sheikh Abdul Ghina<br />

12.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!