08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Juu ya kuwa wamo ndani ya safari pamoja, Seyyid Abdul<br />

Qadir kabisa alikuwa hamjui mtu anayefuatana naye. Lakini alikuja<br />

kumjua baadaye hapo alipokwenda Baghdad kumkagua.<br />

Seyyid Abdul Qadir alisoma kwa juhudi na ari kubwa na<br />

aliwashinda wenzake wote kwa Ilmu na ufasaha wa lugha. Na<br />

alikuwa jogoo mkubwa wa Madhehebu ya Shafi na Hambali. Na<br />

alikuwa akijibu na akifutu masuali kwa Madhehebu hayo mawili.<br />

Lakini yeye mwenyewe alikuwa akifuata madhehebu ya Hambal.<br />

vi. Katika baadhi ya Ilmu alizosoma.<br />

(i) Qur an (Tafsiri)<br />

(ii) Fiqh<br />

(iii) Hadith<br />

(iv) Usuli-fiq<br />

(v) Tarikh (historia)<br />

(vi) Tasawuf<br />

(vii) Lugha. n.k.<br />

vii. Masheikh zake:<br />

Seyyid Abdul Qadir amesoma Ilmu kwa Masheikh wengi<br />

na kila mmoja katabahari katika fanni mbalimbali. Masheikh<br />

wenyewe ni:-<br />

1 Sheikh Abdil-Wafa <strong>Al</strong>i Bin Ukayl.<br />

2. Sheikh Abi Said-al-Mubaraq.<br />

3. Sheikh Abdil Khatib Mahfudh<br />

Kaludhany.<br />

4.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!